Waliong'ara ktk nafasi zao kama Jerry Silaa, Paul Makonda kwanini huondolewa

Waliong'ara ktk nafasi zao kama Jerry Silaa, Paul Makonda kwanini huondolewa

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
Ni nini kinasababisha Waliongara ktk nafasi zao kama Jerry Silaa, Paul Makonda kwanini huondolewa

Tuliona aluyekuwa waziri wa ardhi Jerry Silaa akifanya kazi vizuri na kutoa elimu kwa umma juu ya masuala ya umiliki ardhi, usimamizi wa mirathi n.k buree kwa raia kiasi wananchi

Kutokana na aina ya utendaji kazi wa Jerry Silaa raia wa kawaida wakaelewa somo la kujikinga na matapeli, mawakili uchwara na wasimamizi wa mirathi wanaopitilliza mamlaka waliyoaminiwa.
1721646931334.png


Alitekuwa Katibu mwenezi elimu na mafunzo wa chama dola kongwe CCM Paul Makonda naye alisaidia wananchi kupata haki yao kutokana na mifumo ya haki kushindwa kuwapa wananchi haki kwa wakati kupitia serikali ya mitaa, wilaya, mikoa hata serikali kuu lakini naye ameondolewa.
1721647169168.png

Je, kwa Tanzania mtu ukifanikiwa kuchapa kazi vizuri lazima uondolewe.

Freeman Mbowe naye kinara wa mfumo wa siasa za vyama vingi naye anasakamwa kwa kazi nzuri kuhakikisha upinzani unakuwa na nafasi ya kufanya watawala wajisajihishe naye anasakamwa.
1721647240998.png

Utamaduni huu wa kupiga vita wachapa kazi umetokea wapi ? Na ni kwa sababu gani.
 
Ni nini kinasababisha Waliongara ktk nafasi zao kama Jerry Silaa, Paul Makonda kwanini huondolewa

Tuliona aluyekuwa waziri wa ardhi Jerry Silaa akifanya kazi vizuri na kutoa elimu kwa umma juu ya masuala ya umiliki ardhi, usimamizi wa mirathi n.k buree kwa raia kiasi wanamcji wakaelewa somo kujikinga na matapeli.

Alitekuwa Katibu mwenezi elimu na mafunzo wa chama dola kongwe CCM Paul Makonda naye alisaidia wananchi kupata haki yao kutokana na mifumo ya haki kushindwa kuwapa wananchi haki kwa wakati kupitia serikali ya mitaa, wilaya, mikoa hata serikali kuu lakini naye ameondolewa.

Je, kwa Tanzania mtu ukifanikiwa kuchapa kazi vizuri lazima uondolewe.

Freeman Mbowe naye kinara wa mfumo wa siasa za vyama vingi naye anasakamwa kwa kazi nzuri kuhakikisha upinzani unakuwa na nafasi ya kufanya watawala wajisajihishe naye anasakamwa.

Utamaduni huu wa kupiga vita wachapa kazi umetokea wapi ? Na ni kwa sababu gani.
Wanang'ara kwa kuleta mabadiliko yoyote positive na yanayodumu au wanapiga tu makelele kwenye media na kukuza migogoro zaidi?
 
..Kwa kifupi wanawaamsha Watanganyika kuona jinsi Ccm ilivyooza na kushindwa kuongoza kwa miaka 63 toka uhuru.

..utaratibu aliokuwa akitumia Jerry Slaa ulitumiwa na Mzee Lukuvi kwa miaka 6. Kama ungekuwa unafanya kazi, au ni utaratibu sahihi, basi ilitakiwa Jerry Slaa akute wizara ya ardhi ikiwa safi.

..Wanakwenda kulia shida kwa Makonda na Jerry Slaa ni maelfu. Lakini wanaosikilizwa ni wachache sana. Kwa kifupi kupeleka shida kwenye hiyo mikutano ni sawa na kucheza bahati nasibu. Na zaidi mikutano hiyo inadhihirisha uovu na uozo wa serikali za Ccm.
 
Nchi zinazojielewa kiongozi akipatia pakubwa katika kazi huweza kudumu hadi changamoto inapoisha na mfumo mpya kujikita kudumu kutoka matokeo chanya.

Kwa nchi ya Tanzania ndiyo kwanza, watakuvuruga wabakie na mfumo mbovu.
 
Wanang'ara kwa kuleta mabadiliko yoyote positive na yanayodumu au wanapiga tu makelele kwenye media na kukuza migogoro zaidi?

Hivi kweli hukupata elimu bure aliyokuwa anatoa Jerry Silaa kuhusu umilikaji sahihi na urithi sahihi wa ardhi.
 
Ni nini kinasababisha Waliongara ktk nafasi zao kama Jerry Silaa, Paul Makonda kwanini huondolewa

Tuliona aluyekuwa waziri wa ardhi Jerry Silaa akifanya kazi vizuri na kutoa elimu kwa umma juu ya masuala ya umiliki ardhi, usimamizi wa mirathi n.k buree kwa raia kiasi wananchi

Kutokana na aina ya utendaji kazi wa Jerry Silaa raia wa kawaida wakaelewa somo la kujikinga na matapeli, mawakili uchwara na wasimamizi wa mirathi wanaopitilliza mamlaka waliyoaminiwa.
View attachment 3048842

Alitekuwa Katibu mwenezi elimu na mafunzo wa chama dola kongwe CCM Paul Makonda naye alisaidia wananchi kupata haki yao kutokana na mifumo ya haki kushindwa kuwapa wananchi haki kwa wakati kupitia serikali ya mitaa, wilaya, mikoa hata serikali kuu lakini naye ameondolewa.
View attachment 3048846
Je, kwa Tanzania mtu ukifanikiwa kuchapa kazi vizuri lazima uondolewe.

Freeman Mbowe naye kinara wa mfumo wa siasa za vyama vingi naye anasakamwa kwa kazi nzuri kuhakikisha upinzani unakuwa na nafasi ya kufanya watawala wajisajihishe naye anasakamwa.
View attachment 3048849
Utamaduni huu wa kupiga vita wachapa kazi umetokea wapi ? Na ni kwa sababu gani.
Migogoro ni mitaji ya watu,haitakiwi kwisha,la sivyo Mahakama zitakosa wateja!!
 
Mafisadi ni wenginkuliko waadlifu.Na waadilifu wananyanyasika kama jelly silaa

Title inasema Jerry. Body inasema Jerry. Wewe hiyo JELLY umeitoa wapi? Hata kuiga hamuwezi nyie watindiga?
 
Mfumo wa uteuzi hauko sawa.
Washauri wa Rais nao kuna wakati wanaegemea zaidi upande shibe kuliko upande wa njaa.
Nchi yetu ina watu wengi wenye madaraka na wenye fedha wasiyopenda kuguswa kwa lolote baya walilotenda so inapotokea mtu akapambana nao, nao huwa wako tayari kuhakikisha mtu huyo anaondolewa alipo, ndomana waadilifu wanabadilishwa au kutenguliwa wananchi wakibaki na mshangao.
 
Nchi yetu ina watu wengi wenye madaraka na wenye fedha wasiyopenda kuguswa kwa lolote baya walilotenda so inapotokea mtu akapambana nao,

Hiyo inaweza kuwa pia ni sababu ya kuondoa watendaji wazuri.

Maana mamlaka ya uteuzi haijali kama aliyekuwepo ameweza kukidhi matarajio wa wananchi wengi watu wa kawaida, bali huangalia maslahi ya kundi dogo wafaidika walio karibu na watawala.
 
Back
Top Bottom