Ni nini kinasababisha Waliongara ktk nafasi zao kama Jerry Silaa, Paul Makonda kwanini huondolewa
Tuliona aluyekuwa waziri wa ardhi Jerry Silaa akifanya kazi vizuri na kutoa elimu kwa umma juu ya masuala ya umiliki ardhi, usimamizi wa mirathi n.k buree kwa raia kiasi wananchi
Kutokana na aina ya utendaji kazi wa Jerry Silaa raia wa kawaida wakaelewa somo la kujikinga na matapeli, mawakili uchwara na wasimamizi wa mirathi wanaopitilliza mamlaka waliyoaminiwa.
Alitekuwa Katibu mwenezi elimu na mafunzo wa chama dola kongwe CCM Paul Makonda naye alisaidia wananchi kupata haki yao kutokana na mifumo ya haki kushindwa kuwapa wananchi haki kwa wakati kupitia serikali ya mitaa, wilaya, mikoa hata serikali kuu lakini naye ameondolewa.
Je, kwa Tanzania mtu ukifanikiwa kuchapa kazi vizuri lazima uondolewe.
Freeman Mbowe naye kinara wa mfumo wa siasa za vyama vingi naye anasakamwa kwa kazi nzuri kuhakikisha upinzani unakuwa na nafasi ya kufanya watawala wajisajihishe naye anasakamwa.
Utamaduni huu wa kupiga vita wachapa kazi umetokea wapi ? Na ni kwa sababu gani.
Tuliona aluyekuwa waziri wa ardhi Jerry Silaa akifanya kazi vizuri na kutoa elimu kwa umma juu ya masuala ya umiliki ardhi, usimamizi wa mirathi n.k buree kwa raia kiasi wananchi
Kutokana na aina ya utendaji kazi wa Jerry Silaa raia wa kawaida wakaelewa somo la kujikinga na matapeli, mawakili uchwara na wasimamizi wa mirathi wanaopitilliza mamlaka waliyoaminiwa.
Alitekuwa Katibu mwenezi elimu na mafunzo wa chama dola kongwe CCM Paul Makonda naye alisaidia wananchi kupata haki yao kutokana na mifumo ya haki kushindwa kuwapa wananchi haki kwa wakati kupitia serikali ya mitaa, wilaya, mikoa hata serikali kuu lakini naye ameondolewa.
Je, kwa Tanzania mtu ukifanikiwa kuchapa kazi vizuri lazima uondolewe.
Freeman Mbowe naye kinara wa mfumo wa siasa za vyama vingi naye anasakamwa kwa kazi nzuri kuhakikisha upinzani unakuwa na nafasi ya kufanya watawala wajisajihishe naye anasakamwa.
Utamaduni huu wa kupiga vita wachapa kazi umetokea wapi ? Na ni kwa sababu gani.