Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Inawezekana hawa wanaangalia utu zaidindoa za namna hiyo zinapatikana kwa washika dini haswaaa, kuna jamaa yangu aliozeshwa tsh200 tena mke chombo.
utu wanaouangalia wao ni wakiimani zaidi, pia wanadai ndoa ya mahari ndogo ndo inabaraka zaidiInawezekana hawa wanaangalia utu zaidi
Sababu kuu ilikuwa ni nini?Sikutoa hata senti. Familia ya washua.
Mwambie aharakishe sasa, asicheleweshe kwa kisingizio cha mahari kubwa.Mie mahari yangu itakuwa mzinga mmoja ya konyagi
Naamini mtarajiwa wangu Sanchez magoli haitamshinda hii
Mwambie aharakishe sasa, asicheleweshe kwa kisingizio cha mahari kubwa.
Ungana na Joanah mkamilishe mamboMibado sijaoa...[emoji41][emoji41]
Labda niwe sijakuzaa mimi.Mie mahari yangu itakuwa mzinga mmoja ya konyagi
Naamini mtarajiwa wangu Sanchez magoli haitamshinda hii
Labda niwe sijakuzaa mimi.
Sababu kuu ilikuwa ni nini?
Labda niwe sijakuzaa mimi.
Sio chini ya milion 20 asietaka akapige hata nyeto siku ziende.Unataka iwe kama shilingi ngapi vile?[emoji1787]
Hapo ni sawa na kumuuza mtu kama kiroba cha mcheleSio chini ya milion 20 asietaka akapige hata nyeto siku ziende.
Mdogo wangu mbona hujawahi kunitambulisha huyu shemeji yanguMie mahari yangu itakuwa mzinga mmoja ya konyagi
Naamini mtarajiwa wangu Sanchez magoli haitamshinda hii