Waliooa au kuolewa kwa mahari ndogo, njoo tutete kidogo

Waliooa au kuolewa kwa mahari ndogo, njoo tutete kidogo

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Walioolewa au kuoa kwa mahari ya debe la mkaa, mahindi, mchele, pumba za kuku, sahani moja ya chipsi n.k au kwa mifugo kama kuku2, mbuzi 1, bata 3 n.k au kwa malikauli, njooni mtupe uzoefu sisi vijana. Wengine tunashindwa kuoa/kuolewa kutokana na kuogopa ukubwa wa mahari.

Karibuni.
 
Back
Top Bottom