Waliooa wahudumu wa bar waje hapa kutoa ushuhuda

Waliooa wahudumu wa bar waje hapa kutoa ushuhuda

Watu weng tuna tabia ya kujaji watu kwa makundi bira ya kuangalia mmoja mmoja
Leo hii mwanamke mwenye tatoo anachukuliwa maraya sabu tunawajaji kwa kundi zima ila ukwel ni kwamba wapo walochora tatoo na sio maraya wala hawana chembe
Leo hii watu tunajaji ma barmed kwa group ila sio kwa mmoja mmoja yawezekana ma weita wa kike ni malaya ila sio wote

Tuache kujaji watu kwa magroup watu sio mchele tuanze kujaji mtu mmoja mmoja kwa mazingira yake

Leo hii watu wanaona ma bikra km ndo wake wa kuoa ila kuna watu wameoa hao ma bikra na ndoa zikafa ndani ya mda mfupi
Bint umeoa bikra baada tu yakuonja mboo ya mumewe akajua ilivyo tamu bas anabadilika apo apo na kuanza umalaya mwisho wa sku ndoa inakufa

Tuache kujaji watu kwa magroup wauza kuku, ma barmedi, wachora tatoo tujaji mtu mmoja mmoja kwa tabia zake sio kwa kundi kuna makahaba wanaolewa na wanatulia kwenye ndoa zao kuzid ata hao waliooa bikra
 
sio jambo baya, na wala sio jambo jipya gentleman..

ni jambo la kawaida kabisa na linaweza likawa na Neema na Baraka za Mungu ndani yake na ukaishia kua na familia nzuri, ya mfano kwa jamii na ya amani sana humu duniani.

Ilikua waka 2014 nikiwa mwanafunzi wa chuo kikuu, alikuwepo rafiki yangu mlokole akiishi bunju. Alikua ni gym trainer. Siku hiyo nilipata wasaha wa kwenda kumtembelea. Basi bana tukaenda kupata lunch bar na palikua na wahudumu warembo wengi sana.

Yelu rafiki yangu gym trainer mlokole akawa amemuelewa muhudumu moja kati ya waliokuja kutuhudumia.

My friend,
ilikua ni mwezi August 2014, na by December mwaka huo huo jamaa akafunga nae ndoa na binti akawa mlokole, muungwana akapata kazi Dubai, January 2015 akaenda zake Dubai na make wake hivi sasa wana watoto wa4, muungwana bado yupo Dubai anapiga kazi na kwasababu ya sheria ngumu za kazi za nchi hiyo, kwa sasa mkewe yupo nchini akiendelea na biashara huku akilea familia hiyo yenye furaha zaidi...

So, gentleman,
when God Says Yes, Nobody can say No. Yote yanawezekana kwa Imani šŸ’
Hivi haya maneno huwa mnayatoa wapi? Sheria zipi? Sema Uchumi haumruhusu tu
 
Mkuu nikuambie tu jambo, KUNGURU HAFUGIKI, Huyo demu wewe uwe unakula tu lakini sio kuweka ndani, utajuta. Kwanza ni waongo sana hao atakuambia ameacha kudanga kumbe analiwa Bado kimya kimya.
 
Bora uoe mwingine aje abadilike baadae. Kuliko kuoa mtu ambaye tungesema ameshabadilika. Mazingira ya bar si salama na ndoa Haina kujaribu
 
Back
Top Bottom