wax
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 5,945
- 5,733
Kama sio bikra huyo ni mke wa mtuWazeee tuache utani mimi nimefolling love na muhudumu wa bar moja maarufu Hapa Dodoma jina naweka kapuni
Ila ukweli usemwe huyu muhudumu ananikosha sana wakuu namkubali mbaya
Wacha nijitoze wenda akatulia
Jichanganye utajuta baadae