Ayos
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 981
- 2,454
Aisee zile shanga anazovaaga sijui zina kazi gani maana nmemuuliza anijibu hataAdela nishamla mara mbili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee zile shanga anazovaaga sijui zina kazi gani maana nmemuuliza anijibu hataAdela nishamla mara mbili
Oya mwanangu 😂😂😂mtu kaoa mhudumu wa baa anaetoa tope, mndewa kaona aoe kabisa ili ale tope vizuri 😂😂😂 Mzee wa kupambaniaJamaa yangu m1 ameoa muhudumu wa bar. Pisi moja ya maana toka kondoa kama si Singida. Rangi ya maana haijui mikorogo. Inapata miaka zaidi ya mi4 sasa.
Kwa sasa wana watoto 2 na wanaishi fresh tu. Jamaa amefungua biashara dar na mkewe ndio anasimamia. Kwa kufupi wanaenda vizuri.
Ila kabla ya kumwoa wakati anapiga mzigo kimasihara, alikuwa akitutambia kwaamba demu anatoa tope.
Japo wapo kindoa kabisa nadhani jamaa bado anaendelea kula tope kama kawa. Si unajua mazoea hujenga tabia.
Babu mleta mada. Kazi kama umeielewa chukua tu ndugu yangu. Ila kama unapiga story na masela kitaa usimzungumzie negative zake...
Wanakujaga kutulia sababu ugumu wa maisha washaujua.
Hushuhuda! Anyway bar ni sehemu ya kutafuta chakula tu kama kwenye ndoa, oa tuumWazeee tuache utani mimi nimefolling love na muhudumu wa bar moja maarufu Hapa Dodoma jina naweka kapuni
Ila ukweli usemwe huyu muhudumu ananikosha sana wakuu namkubali mbaya
Wacha nijitoze wenda akatulia
Aaah basi nilizitumia sana...napeleka moto huku nazihesabu...ila sikufanikiwa kujua idadi yake maana nilikuwa napoteza hesabu kabla ya kuzimaliza!!!Aisee zile shanga anazovaaga sijui zina kazi gani maana nmemuuliza anijibu hata
avae bomu lililochomolewa pinJillipue mkuu ,na mimi kuna muhudumu namzimia kinyoma , hebu wewe oa kwanza usipojeruhiwa mpaka krisimasi na mimi nifuate nyayo
Wangu nilimpata akiwa mhudumu wa bar..nikaoa, tuna watoto wawili, darasa la tano na mwingine miaka mitatu...sijawahi kujuta! Sina cha kumpa nitampa tu mimba ...Kazi ya mtu sio utu wa mtu.
Kama anajielewa basi uhudumu wake wa baa ni shughuli ya kumuingizia kipato tu.
Kuna madada wa makanisani na misikitini lakini kutwa wanashinda nyumba za kulala wageni wakibadilisha mabwana.
Mkuu umejuaje ni Malaya?Unawekeza kwa Malaya Mkuu. Utajua Hujui. Labda Uchape Ilale Usepe!!
Thubutu.Hawana shida kabisa. Oa, weka ndani.
Yaan,Wazeee tuache utani mimi nimefolling love na muhudumu wa bar moja maarufu Hapa Dodoma jina naweka kapuni
Ila ukweli usemwe huyu muhudumu ananikosha sana wakuu namkubali mbaya
Wacha nijitoze wenda akatulia