Waliooa wahudumu wa bar waje hapa kutoa ushuhuda

Waliooa wahudumu wa bar waje hapa kutoa ushuhuda

Beba chombo weka ndani,mimi nilishaoa wawili wako poa tu,ila wa kwanza alikuwa na U.T.I sugu ilinisumbua sana mpaka kuisha

Siku ya kwanza namtaka nilimkurupukia kama nataka kumnunua akanigomea na mim ikabid nimuache tukanywa bia na kupiga story muda ulipofika nikasepa,ile kwenda mara nying pale ndo tukazoeana mpaka nikabeba chombo wakat huo mim nilkuwa mwanafunz
 
Beba chombo weka ndani,mimi nilishaoa wawili wako poa tu,ila wa kwanza alikuwa na U.T.I sugu ilinisumbua sana mpaka kuisha

Siku ya kwanza namtaka nilimkurupukia kama nataka kumnunua akanigomea na mim ikabid nimuache tukanywa bia na kupiga story muda ulipofika nikasepa,ile kwenda mara nying pale ndo tukazoeana mpaka nikabeba chombo wakat huo mim nilkuwa mwanafunz
Wew story yako ni kam yangu tu ila mm sikuwa mwanafunzi
 
Beba chombo weka ndani,mimi nilishaoa wawili wako poa tu,ila wa kwanza alikuwa na U.T.I sugu ilinisumbua sana mpaka kuisha

Siku ya kwanza namtaka nilimkurupukia kama nataka kumnunua akanigomea na mim ikabid nimuache tukanywa bia na kupiga story muda ulipofika nikasepa,ile kwenda mara nying pale ndo tukazoeana mpaka nikabeba chombo wakat huo mim nilkuwa mwanafunz
Wew story yako ni kam yangu tu ila mm sikuwa mwanafunzo
Nyuki hakumbatiwi
Una maana gani mkuu
 
Back
Top Bottom