Waliooa wahudumu wa bar waje hapa kutoa ushuhuda

Waliooa wahudumu wa bar waje hapa kutoa ushuhuda

We weka ndani
Ila hakikisha anakata mawasiliano na wadau wake.
Kumbuka ni wale wadau Hadi wewe wakikuona wanakuita shem ndio wagumu Dem kuwaachia.
Halafu akupende wewe, nasisitiza.
Kila ukisafiri ukirudi mpime.
Ikiwezekana muhamishe Dodoma
 
We weka ndani
Ila hakikisha anakata mawasiliano na wadau wake.
Kumbuka ni wale wadau Hadi wewe wakikuona wanakuita shem ndio wagumu Dem kuwaachia.
Halafu akupende wewe, nasisitiza.
Kila ukisafiri ukirudi mpime.
Ikiwezekana muhamishe Dodoma
Mm naish hapa hapa ddm kumuamisha ni ngumu
 
Jamaa yangu m1 ameoa muhudumu wa bar. Pisi moja ya maana toka kondoa kama si Singida. Rangi ya maana haijui mikorogo. Inapata miaka zaidi ya mi4 sasa.
Kwa sasa wana watoto 2 na wanaishi fresh tu. Jamaa amefungua biashara dar na mkewe ndio anasimamia. Kwa kufupi wanaenda vizuri.
Ila kabla ya kumwoa wakati anapiga mzigo kimasihara, alikuwa akitutambia kwaamba demu anatoa tope.
Japo wapo kindoa kabisa nadhani jamaa bado anaendelea kula tope kama kawa. Si unajua mazoea hujenga tabia.
Babu mleta mada. Kazi kama umeielewa chukua tu ndugu yangu. Ila kama unapiga story na masela kitaa usimzungumzie negative zake...
Wanakujaga kutulia sababu ugumu wa maisha washaujua.
 
Wazeee tuache utani mm nimefolling love na muhudumu wa bar moja maarufu Hapa dodoma jina naweka kapuni

Ila ukweli usemwe huyu muhudumu ananikosha sna wakuu namkubali mbaya

Wacha nijitoze wenda aka tulia
sio jambo baya, na wala sio jambo jipya gentleman..

ni jambo la kawaida kabisa na linaweza likawa na Neema na Baraka za Mungu ndani yake na ukaishia kua na familia nzuri, ya mfano kwa jamii na ya amani sana humu duniani.

Ilikua waka 2014 nikiwa mwanafunzi wa chuo kikuu, alikuwepo rafiki yangu mlokole akiishi bunju. Alikua ni gym trainer. Siku hiyo nilipata wasaha wa kwenda kumtembelea. Basi bana tukaenda kupata lunch bar na palikua na wahudumu warembo wengi sana.

Yelu rafiki yangu gym trainer mlokole akawa amemuelewa muhudumu moja kati ya waliokuja kutuhudumia.

My friend,
ilikua ni mwezi August 2014, na by December mwaka huo huo jamaa akafunga nae ndoa na binti akawa mlokole, muungwana akapata kazi Dubai, January 2015 akaenda zake Dubai na make wake hivi sasa wana watoto wa4, muungwana bado yupo Dubai anapiga kazi na kwasababu ya sheria ngumu za kazi za nchi hiyo, kwa sasa mkewe yupo nchini akiendelea na biashara huku akilea familia hiyo yenye furaha zaidi...

So, gentleman,
when God Says Yes, Nobody can say No. Yote yanawezekana kwa Imani 🐒
 
Back
Top Bottom