Waliooa wahudumu wa bar waje hapa kutoa ushuhuda

Waliooa wahudumu wa bar waje hapa kutoa ushuhuda

Wazeee tuache utani mimi nimefolling love na muhudumu wa bar moja maarufu Hapa Dodoma jina naweka kapuni

Ila ukweli usemwe huyu muhudumu ananikosha sana wakuu namkubali mbaya

Wacha nijitoze wenda akatulia
Mkuu umenikumbusha.... kuna ka dada kanafanya kazi budget kule bahari beach kadogo dogo kanavaa miwani, nakaelewa kinoma sana kale kabinti.
 
Unawekeza kwa Malaya Mkuu. Utajua Hujui. Labda Uchape Ilale Usepe!!
Mku wa marangu mbona mm nilimzimia mhudumu pale kwa hosea mpaka leo n mke wangu na nimezaa nae watoto wa tatu. N maisha tu ndo yanawafanya kuwa barmed ila marangu ni pazuri sana has a mademu wa kuja wakifika marangu nawaona kama wapo uzunguni hawatamani kurudi hata kwao mkuu
 
Yaan,
Upo kwenye HIGH VOLTAGE ⚡ yaan ni Jambo la muda lazima short itokee😊😅
Ni Kama vile kuvuka barabara ukiwa umefumba macho lazima ugongwe na magari/bajaji/ pikipiki.

Nikama kuvuta sigara kwenye kituo Cha mafuta au kwenye mitungi ya gesi..
Mkuu umenitisha
Hawa tunaookotana mtaani ndio wana magonjwa kuliko. Hao pros wanajua kulinda afya zao.
Kbsa yaani demu ile nilipie da siku alikuja na ndomu siku ya kuzagamuana nilimuona a ajali San afu yake
 
Back
Top Bottom