Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Walaaaa, wanatulia vizuri tu.Thubutu.
Kicheche hashibi chakula cha kupewa.
Atapigiwa kama ngoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walaaaa, wanatulia vizuri tu.Thubutu.
Kicheche hashibi chakula cha kupewa.
Atapigiwa kama ngoma
Uchawi wenyewe ndo huku😂😂😂😂😂Mkuu kama ni ADELA hata mimi namkubali sana
Hawa tunaookotana mtaani ndio wana magonjwa kuliko. Hao pros wanajua kulinda afya zao.Usisahau kupima magonjwa kilaheri
Mkuu umenikumbusha.... kuna ka dada kanafanya kazi budget kule bahari beach kadogo dogo kanavaa miwani, nakaelewa kinoma sana kale kabinti.Wazeee tuache utani mimi nimefolling love na muhudumu wa bar moja maarufu Hapa Dodoma jina naweka kapuni
Ila ukweli usemwe huyu muhudumu ananikosha sana wakuu namkubali mbaya
Wacha nijitoze wenda akatulia
Kumbe Adela n maarufu ivi 😂Mkuu kama ni ADELA hata mimi namkubali sana
Melau ni nani ni masai mwezangu kbsa huyu nitapataje taarifa zakeKafuatilie mirathi ya Melau Mrema ndio utajifunza mengi zaidi
MwNgu umejuaje ni kweli ni platinum grill karibu na chako nichakoItakuwa ni platinum bar hiyo barmaid wake wanabahati yakuolewa🤣🤣🤣
Wakuu tuwaoe hawa watu tusiwapuuzeMkuu umenikumbusha.... kuna ka dada kanafanya kazi budget kule bahari beach kadogo dogo kanavaa miwani, nakaelewa kinoma sana kale kabinti.
Nadhani una umri mdogo sana kiasi cha kuto kuelewa chochote ambacho unajipa moyo kuhusu madhara yake.Maisha kaka akiamua kutulia utashangaa lkn ukimzingua anarudi tena porini kuwinda .
Hahaha anza wewe utupe mrejesho baada ya miaka 2Wakuu tuwaoe hawa watu tusiwapuuze
Natakar jins ya kumuachisha pombe za garamJillipue mkuu ,na mimi kuna muhudumu namzimia kinyoma , hebu wewe oa kwanza usipojeruhiwa mpaka krisimasi na mimi nifuate nyayo
Sawa babu naona upo na uzoefu naoHawa tunaookotana mtaani ndio wana magonjwa kuliko. Hao pros wanajua kulinda afya zao.
Mkuu umenitisha snaYaan,
Upo kwenye HIGH VOLTAGE ⚡ yaan ni Jambo la muda lazima short itokee😊😅
Ni Kama vile kuvuka barabara ukiwa umefumba macho lazima ugongwe na magari/bajaji/ pikipiki.
Nikama kuvuta sigara kwenye kituo Cha mafuta au kwenye mitungi ya gesi..
Mku wa marangu mbona mm nilimzimia mhudumu pale kwa hosea mpaka leo n mke wangu na nimezaa nae watoto wa tatu. N maisha tu ndo yanawafanya kuwa barmed ila marangu ni pazuri sana has a mademu wa kuja wakifika marangu nawaona kama wapo uzunguni hawatamani kurudi hata kwao mkuuUnawekeza kwa Malaya Mkuu. Utajua Hujui. Labda Uchape Ilale Usepe!!
Mkuu umenitishaYaan,
Upo kwenye HIGH VOLTAGE ⚡ yaan ni Jambo la muda lazima short itokee😊😅
Ni Kama vile kuvuka barabara ukiwa umefumba macho lazima ugongwe na magari/bajaji/ pikipiki.
Nikama kuvuta sigara kwenye kituo Cha mafuta au kwenye mitungi ya gesi..
Kbsa yaani demu ile nilipie da siku alikuja na ndomu siku ya kuzagamuana nilimuona a ajali San afu yakeHawa tunaookotana mtaani ndio wana magonjwa kuliko. Hao pros wanajua kulinda afya zao.
RIP in advance.Wazeee tuache utani mimi nimefolling love na muhudumu wa bar moja maarufu Hapa Dodoma jina naweka kapuni
Ila ukweli usemwe huyu muhudumu ananikosha sana wakuu namkubali mbaya
Wacha nijitoze wenda akatulia
Aliyekuwa mmiliki wa hoteli za Ngurdoto, Impala na yNaura springsMelau ni nani ni masai mwezangu kbsa huyu nitapataje taarifa zake