Waliooa wamasai tupeane changamoto na ubora wao

hivi asili ya wamasai ni wapi?
 
HAHAHAHAHHAHAA[emoji23][emoji23]
 
Samani kina dada mlioachwa na Waume zenu Dar ....huku Dodoma Kuna Waarabu Koko noma Sana!
Sio wachoyo na dume akijichanganya tu kwisha habari yake!
Na Kama mwanaume anapendaga ule utamaduni wa Mashariki ya Kati Basi ameumia!
nipe connection mkuu
 
Ruaha mbuyuni, mtandika mpaka mahenge wamang'ati ndiyo wamejaa hapo, Waambiee vijana wako waache mawenge

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
 
Ruaha mbuyuni, mtandika mpaka mahenge wamang'ati ndiyo wamejaa hapo, Waambiee vijana wako waache mawenge

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app

Umekuja kuja kwa mbaaali, ingia ingia ndani ya barabara kidogo utapata eneo husika, ni kweli kuna mchanganyiko wa mang’ati na masai tunawatofautisha kwa mavazi yao, kwangu mimi kuna masai halafu kwenye maboma wamebaki wanawake wao tu wanaume wako mijini wanazurura.
 
Hahahaha hiyo ni njia yangu mkuu! Huwa napita sana nawaona..

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
 
Ukienda kusalimia kwao jipange kisaikolojia mana kuna kamchezo kakugegediana wake ukikuta upanga kwa nje ujue ndani mkeo anachezea ogo la jang'ombe a.k.a mkulunge sasa nenda tu kaoe umasaini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…