Walioruhusu picha hii itumike hawakuwa wajinga

Sahihi kabisa. Wazazi wake ndio walikua dunia na sio yeye Yesu, hasa baada ya kuanza kufanya huduma yake. Matajiri pia kama Zakayo walikua wanamfuata hivyo mali zao walimpatia pia ili kusapoti Quest yake.
Unatapata Shida kuchambua habari za Yesu na mtu ambaye hajawahi kugusa Bible hatakuelewa
 
Sipo kubishana nawe.

Mungu akikuhurumia atasema nawe utapolala, akili na mwili vitakapotulia.
okay YESU wa tandale nimekusoma....

Ila acha kutamani mademu kweli umeokoka

Yesu hakupiga mbususu kwahiyo baki tulia na Yesu Yesu wako jina.

Kusoma biblia sio kuelewa kusoma Quran tukufu sio kuelewa.

Umenipata MWINJIRISTI?
 
Wewe ni Roma mkatoliki ?
 
Nmesoma yote,
ila Hapa umenipiga kamba[emoji4][emoji116]

Ndio maana wasiojua wanapoona hiyo taswira ya yesu hua wanasema kwamba ni sura ya mwigizaji Brian Deacon…Si kweli, kwa maarifa waliyonayo RC hawawezi ruhusu hilo.
 
Huyo ndio Typical Msabato..
Msabato tukuru
Sina dini, Nina IMANI ktk YESU kristo.

Wasabato hawaamini juu ya Roho MTAKATIFU na kunena Kwa lugha ambazo zipo kibiblia.

Wamefungwa hapo, Kutokumwamini Roho wa YESU ni sawa na kutomwamini Yesu.

Dini hazipo kumpeleka mwanadamu Mbinguni Bali kuzimu,

Yesu ni zaidi ya dini. Tuongee naye kupitia Roho wake na kusoma neno tutaijua Kweli.
 
Tuanzie hapa, nahitaji uwepo wako.
 
 
Yesu kipindi hicho Hakuwa maarufu kama ambavyo sasa ni maarufu, hivyo sio rahisi kwa wachoraji na wachongaji WA Zama hizo kumchonga sanamu la Yesu kama kumbukumbu.

Zamani walichorwa Watu mashuhuri na Wafalme na Watawala.
Yesu hakuwa na umaarufu wowote katika kipindi hicho,
Zingatia aliishi miaka takribani 33 na miaka ya Kazi miaka isiyozidi 7.

Hivyo sio rahisi picha au mchoro au sanamu ya Yesu kufanywa Kwa kipindi hicho.

Yesu amepewa zaidi Promo na Wazungu katika Zama hizi,
Kisha falme na Dola la kirumi lilitumia mabavu
Kuwalazimisha Watu waamini katika Ukristo.

Ukitafakari Kwa kina utagundua kuwa, ni ulaghai na udanganyifu mkubwa uliofanyika
 
Kama Mwamposa na Kuhan Mussa ni maarufu ambao wanafanya vimiujiza vidogo vidogo kwa kutumia jina la Yesu, sembuse Yesu mwenye jina lake ambaye alikuwa anafanya Miracle kubwa zaidi zilizoshindikana vipofu wanaona, viziwi wanasikia, viwete wanatembea na wafu wanafufuka.

Mtu ambaye alichukiwa na kupingwa na wazee wa kanisa, viongozi wakubwa, pamoja na wafalme wakubwa wa zama hizo. Unathubutu kusema hakuwa maarufu.

Mbona inahitaji uelewa wa kawaida sana mtu kuelewa sijui nyie mataikon mnafeli wapi?
 
Huwezi kuamini uwepo wa Mungu halafu usiukubali Utatu mtakatifu. Dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu. Toka miaka miaka watu waliomuamini Mungu walikua na dini.
 
Inawezekana hakua na umaarufu kweli na hakuchorwa kipindi akiwepo. Ila wafuasi wake inawezekana waliagiza achorwe ili kuweka kumbukizi zake sahihi.

Yesu amepewa zaidi Promo na Wazungu katika Zama hizi,
Kisha falme na Dola la kirumi lilitumia mabavu
Kuwalazimisha Watu waamini katika Ukristo.

Ukitafakari Kwa kina utagundua kuwa, ni ulaghai na udanganyifu mkubwa uliofanyika
Aisee... Yesu alipewa prom???
Labda useme alipewa promo na wafuasi/wanafunzi wake. Na hilo ndio waliloagizwa kulifanya.

"Enendeni ulimwenguni kote mkawafanye mataifa kua wanafunzi wangu"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…