Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Sisi ndo walimwengu hakuna kisichokosa sababuMbona umenijibu hivi??
Lengo la mada hii sio kubishana bali kuelimishana, sifaidiki chochote na ubishi usio na msingi.
Nimekwambia hivyo kama utaweza ushee nami hayo maarifa nilikua namaanisha. Kwako kama umeona nilikua nakudhihaki I'm sorry, btw haina shida sio lazima ushee nami.
Ngoja nifute hiyo comment
Ukiifuta hiyo comment inamaanisha haujiamini😀