Kwanza nikukanushe dunia haijawai kuwa na watu wenye akili kama mnavyodangwanywa.
Pili uwepo wa wachoraji wenye akili na uwezo mkubwa wako wengi sana hata mitaani wapo, njoo uwaone watoto wanaoweza kukuchora mpka maungo yako ya sirini.
Tatu historia ya dunia imepindishwa kwa faida ya mzungu Tu, je vipi kuhusu Kemet iliyoongoza dunia nzima kwa zaid ya miaka 6000? Vip kuhusu utawala wa South afrika ya kale kabla ya ukolon, naongelea zaid ya miaka 5000bc sio hizo falme zenu za juzi hizo walizoongoza wafalme vibaraka, na je vip kuhusu ufalme wa Ethiopia ama kush ya kale ambayo ilikuwepo zaid ya miaka 6000 bc, siongelei hiyo ethiopia ya leo ya vibaraka wa kidini waliopewa Biblia za mchongo kuupa nguvu ukristo feki.
Dunia na historia mnayofundishwa ni kama 10% ya historia mnayotakiwa kujifunza, maana mashulen mnaanzia kusoma hivyo vijifalme vya waajem sjui warumi na takataka za kizungu, kumbe waliwai kuwepo wahindu, wachina na Waafrika kabla ya hizo dola za karibuni.
Kama dunia imepita maelfu ya miaka kwann mjifunze kuhusu historia inayogusa miaka maximum 7000 tu je miaka 30000 b.c nini kilikuwepo? Ni nani alitawala? Na wakina nani waliounda misingi ya dunia hii?
Jibu mnalipata kuwa mtu wa mwisho kupata dola kuongoza dunia kwa ujanja yaan mrumi ndie aliyeharibu historia hii ya dunia.
Dunia inanza ambapo maelfu ya miaka iliyopita kabla ya mgawanyo wa mabala, then inakuja historia ya chanzo cha Races dunian na mgawanyo wa makabila na matabaka ya rangi za watu+wanadamu, then inakuja historia ya falme 5 kubwa zilizotawala dunia miaka mingi iliyopita.
Ndipo zinakuja nyakati za giza ambapo warumi waliiba historia za watu wa kale na Jemedari wa kale wa jamii ya kiafrika ambaye babu za mama yake waliishi afrika mashariki ama babilon ya kale ama pia Edeni ya kale na baadae kuhamia central afrika ama Yerusalem ya kweli ya kale, na huko jemedari huyo alizaliwa kimiujiza yaan alizaliwa na Mama pasipo mimba yake kutungwa kwa muingiliano wa Me+Ke na hiyo zamani ilikuwa jambo la kawaida kwa mababu waliojua siri ya nguvu za Nuru Rohoni.
Mtu huyo alizaliwa afrika kwa mission maalumu na alikuwa mweusi kwakuwa Africa ni ya watu weusi, na mtu huyu alifanyiwa janja janja na wanadamu wa ngozi nyeupe kuuwawa, lkn alifufuka kimiujiza baada ya mission yake kukamilika aliondoka dunian kimazingara na kurudi Makao yake ambako ni nje ya mbingu za viumbe wa Roho za Nuru.
Mtu huyu ndiye habari zake wazungu wa kirumi waliiba na kukitengeneza kiumbe kiitwacho yesu kwa kukipa historia ya mtu huyo, na yesu huyo kibinadamu ni ufanano wa mwana wa mfalme wa rumi ya miaka ya 320, ivyo basi Yesu kama yesu hajawai kuwepo, Viongozi wenu wanayajua haya mambo.
Ubapozungumzia yesu unakuwa unamzungumzia JINI azazel/Zeus ambaye kiroho ni Jini/pepo lkn kibinadamu alipewa uhusika wa mtu mwenye ufanano na mwana wa mfalme wa rumi, ambaye ndie wakina Leonard da vinch walimchora, na Jini hili ndilo hucontrol tabia za ushoga&usagaji ndiomaana viongoz weng wa kidini wakipagawa na pepo hili huishia kuwalawiti watoto mfano mapadri&mashekhe wote wanatumia nguvu za hiki kiumbe.
Rumi hiyo ndio inatawala dunia leo hii kupitia mashirika mbalimbal dunian kama UN, WHO, UNHCR, mashirika ya muvi kama Hollywood, mashirika ya technolojia kama NASA, mashirika ya usambazwaji habari na media zote kubwa na mitandao mikubwa ya kijamii kama Fb, whatsApp, instagram, jamii za siri kama freemason&illuminat, mifumo ya siasa kama ubepari, ujamaa, mifumo ya kidemokrasia, pia Taasisi za Dini zote za ukristo&uislam ni mali yao hawa jamaa, hata lile taifa pendwa la israel ya mchongo ni wao walilitengeneza kwa kuakisi maisha ya wayahudi wa kwel ambao waliishi afrika na ambao ni watu weusi, na Taifa teule la kweli lilikuwepo hapa Africa central afrika katikati mwa afrika kutokea Eden ya kweli ambayo ni East Africa.
Jua kuwa picha ya yesu iliundwa kwa makusudi na lengo kubwa na Target ni mtu mweusi Tu, huko kwingine dunian hawahangaik nako bali Africa,
Ndioamaana ilitumika nguvu kubwa kueneza filam ya yesu kupitia mashirika ya kidini mikutanon na masemina mliyokuwa mkioneshwa Projection ya sinema ya yesu then majarida na vipeperushi mpaka leo wanagawa mashulen kwa watoto wanawaharibu akili mapema ili wasije kuujua ukweli.
Nguvu hii inayotumika kumdanganya mtu mweusi kupitia mafunzo ya kidini, ndio ile ktk dini zenu mnaita Chapa ya 666 yaan kumfanya mtu halisi wa dunia(mtu mweusi) asahau utambulisho wake kwa kutaka ama kutotaka ndiomaana mafunzo haya ama uongo huu haukwepeki kirahisi na ukiukwepa ni vigumu kusurvive dunian maana utatengwa na nchi zote kuwekewa vikwazo vya kila namna ama kuuwawa,
Na ukiukubali uongo huo ndio pale unakuwa umekufa kiroho kwa kukubali chapa ya mafundisho ya uongo, hivyo sahau kuhusu Ufalme wa mbingu, labda kwa Neema sana kulingana na matendo yako dunian.
Narudia tena, huyo yesu hajawai kuwepo, stori zoote za dini zote ni uongo, mitume wote na manabii waliishi Africa na walikuwa watu weusi, hamuwezi kuambiwa haya na wachungaji wenu maana watauwa soko la makanisa, jarbu kupeleleza utatajua haya.
Dunia inaongozwa na shetan mwenyewe by 100% dunian wanamuabudu shetan uwe unapenda ama hupendi ukweli ndio huu ama vip urudie asili ya kumuabudu muumba wa kweli ambaye wazungu na waarabu walichakachua mafundisho yake.
Niishie hapa msijekuchanganyikiwa.