Walioruhusu picha hii itumike hawakuwa wajinga

Walioruhusu picha hii itumike hawakuwa wajinga

Bila shaka ww pia ni RC hampendi kuchimba nyie binafsi maandiko, Mnalofundishwa mnabeba kama lilivyo bila kureason limetoka andiko gani.
Hakuna msalaba.
Yesu hakusema tusherehekee kuzaliwa kwake(xmass). Kwanza hakuzaliwa mwezi huo wa December ukitazama hata majira ya miaka ya kiyahudi.
Kwamtazamo wangu na kuuliza nikwamba Christmas imetengwa kusherehekea kuzaliwa kwa Yesu sio Tarehe aliyozaliwa Yesu.

Kilichohakika ni kwamba Yesu alizaliwa na ndicho kinachosherehekewa.

Sasa wahusika wanaosherehekea walitenga Tarehe hiyo kwasababu mbalimbali ambazo zinahitaji muda kuzijadili.

Kwa kuwa tunahakika Yesu alizaliwa na alikufa na kufufuka hivyo tunaadhimisha kuzaliwa kwake, kufufuka na kufa kwa Tarehe zinazoamuliwa kwa pamoja.

Kuna watu hawajui Tarehe zao za kuzaliwa ila wanauhakika walizaliwa na wametenga Tarehe za kusherehekea kuzaliwa kwao.
 
Hakika Dunia imejaa hadaa.
Historia imepindishwa sana kwa maslahi binafsi ya race's fulani.........?

Sio mpenzi sana wa mambo ya historical issues coz mambo mengi hayana prove na yana alot of contradiction.

Wengine watasema Yesu ni Nabii Issa, wengine Yesu ni mwafrika, wengine Yesu ni myahudi, wengine Yesu alikuwa mzungu na wengine Yesu hakuwepo bali ni myths tu.
Kila mmoja ukimuuliza atakwambia soma kitabu fulani utajua ukweli wa mambo na sio kitabu fulani kwa maana hicho ni udanganyifu mtupu. Ukiangalia ni kweli kwa maana hakuna aliyekuwepo wa kuthibitisha hilo. So inabakia kama Fumbo......?

Finally: Naona there is no point of return, kila mtu abaki na anacho kiamini.

I'm done.
I congratulate you for a wonderful topic even though it have some gimmick challenge.
Well done Sir👏
 
Angalau ungemtaja Ibni Sinna /Avicenna ningekuelewa
Kama unawafahamu wakina Ibn Sinna kwanini ulazimishe kwamba Leonardo na Imhotep ndiyo walikuwa na akili kuliko wengine ? Aidha utakuwa ni mtu unayependa sana dini au hujasoma sayansi na kufanya tafiti. Kiufupi, hakuna tafiti yoyote ya kisayansi hapa duniani ambayo inaweza kufanywa bila kutumia, The Scientific Method. Wasomi wa Ulaya akiwemo Leonardo walifanikiwa kwenye kazi zao baada ya kutumia mbinu za Al-Haytham kwenye tafiti.

Al-Haytham ndiye mwanasayansi wa kwanza kabisa kupendekeza kwamba, kwenye sayansi ni lazima kwanza kufanyike Observation, Hypothesis na Experimentation ili kukosoa, kurekebisha na kuendeleza kanuni za kisayansi zilizowekwa. Wewe unapokuja hapa na kusema kwamba Leonardo alikuwa na akili kuliko binadamu wengine, huku ujuzi wake ulijengwa kwenye kazi za Al-Haytham na wasomi wengine kama Bacon nashindwa kukuelewa vizuri.

Waislamu na waarabu wana mchango mkubwa kwenye sayansi ya dunia hii ya leo. Mtu atayepingana na hili ni yule ambaye hafahamu sayansi na historia. Ndani ya kalifeti ya Abass kulikuwa na wasomi ambao wamefanya makubwa na kazi zao zilienda Ulaya kuleta mapinduzi ya kifikra baada ya Baghdad kuvamiwa na kuchomwa moto na Mongolia mwaka 1258. Nikupe mifano michache ili ukafanye tafiti zako binafsi:
  • Al- Khwarezmi, aliandika kuhusu mwenendo wa jua, nyota, mwezi na sayari, The Heliocentric Model, pamoja na kukokotoa kipenyo cha dunia hii, Circumference of the Earth, karne nyingi kabla hata Galileo hajafahamu kwamba dunia inazunguka jua. Akaenda mbali na kuwakosa wasomi wakubwa wa kigiriki kama Ptolemy na Euclid kuhusu jicho la binadamu linavyoingiza mwanga.
  • Ibin Bassal, peke yake alifanya tafiti ya zaidi ya jamii 200 ya mimea na kuigawanya, ambayo leo hii wanasayansi wanaitumia. Unaposoma Botany na Classification of Plants, msingi wake umejengwa kwenye akili za watu kama hawa. Hata mkatoliki Father Gregory Mendel alipokuwa anafanya tafiti kuhusu Garden Peas, msingi wake ujuzi wake ulitoka kwenye tafiti za watu kama Ibin Bassal.
  • Abu Saad Al-Al Ibn Sal, aliandika First Law of Refraction na baadaye akabuni Aclastic Lenses ambazo zinatumika kwenye miwani na kamera kwenye dunia ya leo hii.
Wako watu wengi mno kwenye dunia hii, hata wasomi wa Baghdad nao walichukua ujuzi kutoka India na Uajemi. Sayansi haijengwi wala haimilikiwi na mtu mmoja, hivyo unavyosema mbele za watu kwamba Leonardo na Imhotep ndiyo wenye akili zaidi napata wasiwasi mkubwa ni jinsi unavyoitazama dunia.
 
Kwanza nikukanushe dunia haijawai kuwa na watu wenye akili kama mnavyodangwanywa.

Pili uwepo wa wachoraji wenye akili na uwezo mkubwa wako wengi sana hata mitaani wapo, njoo uwaone watoto wanaoweza kukuchora mpka maungo yako ya sirini.

Tatu historia ya dunia imepindishwa kwa faida ya mzungu Tu, je vipi kuhusu Kemet iliyoongoza dunia nzima kwa zaid ya miaka 6000? Vip kuhusu utawala wa South afrika ya kale kabla ya ukolon, naongelea zaid ya miaka 5000bc sio hizo falme zenu za juzi hizo walizoongoza wafalme vibaraka, na je vip kuhusu ufalme wa Ethiopia ama kush ya kale ambayo ilikuwepo zaid ya miaka 6000 bc, siongelei hiyo ethiopia ya leo ya vibaraka wa kidini waliopewa Biblia za mchongo kuupa nguvu ukristo feki.

Dunia na historia mnayofundishwa ni kama 10% ya historia mnayotakiwa kujifunza, maana mashulen mnaanzia kusoma hivyo vijifalme vya waajem sjui warumi na takataka za kizungu, kumbe waliwai kuwepo wahindu, wachina na Waafrika kabla ya hizo dola za karibuni.

Kama dunia imepita maelfu ya miaka kwann mjifunze kuhusu historia inayogusa miaka maximum 7000 tu je miaka 30000 b.c nini kilikuwepo? Ni nani alitawala? Na wakina nani waliounda misingi ya dunia hii?

Jibu mnalipata kuwa mtu wa mwisho kupata dola kuongoza dunia kwa ujanja yaan mrumi ndie aliyeharibu historia hii ya dunia.

Dunia inanza ambapo maelfu ya miaka iliyopita kabla ya mgawanyo wa mabala, then inakuja historia ya chanzo cha Races dunian na mgawanyo wa makabila na matabaka ya rangi za watu+wanadamu, then inakuja historia ya falme 5 kubwa zilizotawala dunia miaka mingi iliyopita.

Ndipo zinakuja nyakati za giza ambapo warumi waliiba historia za watu wa kale na Jemedari wa kale wa jamii ya kiafrika ambaye babu za mama yake waliishi afrika mashariki ama babilon ya kale ama pia Edeni ya kale na baadae kuhamia central afrika ama Yerusalem ya kweli ya kale, na huko jemedari huyo alizaliwa kimiujiza yaan alizaliwa na Mama pasipo mimba yake kutungwa kwa muingiliano wa Me+Ke na hiyo zamani ilikuwa jambo la kawaida kwa mababu waliojua siri ya nguvu za Nuru Rohoni.

Mtu huyo alizaliwa afrika kwa mission maalumu na alikuwa mweusi kwakuwa Africa ni ya watu weusi, na mtu huyu alifanyiwa janja janja na wanadamu wa ngozi nyeupe kuuwawa, lkn alifufuka kimiujiza baada ya mission yake kukamilika aliondoka dunian kimazingara na kurudi Makao yake ambako ni nje ya mbingu za viumbe wa Roho za Nuru.

Mtu huyu ndiye habari zake wazungu wa kirumi waliiba na kukitengeneza kiumbe kiitwacho yesu kwa kukipa historia ya mtu huyo, na yesu huyo kibinadamu ni ufanano wa mwana wa mfalme wa rumi ya miaka ya 320, ivyo basi Yesu kama yesu hajawai kuwepo, Viongozi wenu wanayajua haya mambo.

Ubapozungumzia yesu unakuwa unamzungumzia JINI azazel/Zeus ambaye kiroho ni Jini/pepo lkn kibinadamu alipewa uhusika wa mtu mwenye ufanano na mwana wa mfalme wa rumi, ambaye ndie wakina Leonard da vinch walimchora, na Jini hili ndilo hucontrol tabia za ushoga&usagaji ndiomaana viongoz weng wa kidini wakipagawa na pepo hili huishia kuwalawiti watoto mfano mapadri&mashekhe wote wanatumia nguvu za hiki kiumbe.

Rumi hiyo ndio inatawala dunia leo hii kupitia mashirika mbalimbal dunian kama UN, WHO, UNHCR, mashirika ya muvi kama Hollywood, mashirika ya technolojia kama NASA, mashirika ya usambazwaji habari na media zote kubwa na mitandao mikubwa ya kijamii kama Fb, whatsApp, instagram, jamii za siri kama freemason&illuminat, mifumo ya siasa kama ubepari, ujamaa, mifumo ya kidemokrasia, pia Taasisi za Dini zote za ukristo&uislam ni mali yao hawa jamaa, hata lile taifa pendwa la israel ya mchongo ni wao walilitengeneza kwa kuakisi maisha ya wayahudi wa kwel ambao waliishi afrika na ambao ni watu weusi, na Taifa teule la kweli lilikuwepo hapa Africa central afrika katikati mwa afrika kutokea Eden ya kweli ambayo ni East Africa.

Jua kuwa picha ya yesu iliundwa kwa makusudi na lengo kubwa na Target ni mtu mweusi Tu, huko kwingine dunian hawahangaik nako bali Africa,

Ndioamaana ilitumika nguvu kubwa kueneza filam ya yesu kupitia mashirika ya kidini mikutanon na masemina mliyokuwa mkioneshwa Projection ya sinema ya yesu then majarida na vipeperushi mpaka leo wanagawa mashulen kwa watoto wanawaharibu akili mapema ili wasije kuujua ukweli.

Nguvu hii inayotumika kumdanganya mtu mweusi kupitia mafunzo ya kidini, ndio ile ktk dini zenu mnaita Chapa ya 666 yaan kumfanya mtu halisi wa dunia(mtu mweusi) asahau utambulisho wake kwa kutaka ama kutotaka ndiomaana mafunzo haya ama uongo huu haukwepeki kirahisi na ukiukwepa ni vigumu kusurvive dunian maana utatengwa na nchi zote kuwekewa vikwazo vya kila namna ama kuuwawa,

Na ukiukubali uongo huo ndio pale unakuwa umekufa kiroho kwa kukubali chapa ya mafundisho ya uongo, hivyo sahau kuhusu Ufalme wa mbingu, labda kwa Neema sana kulingana na matendo yako dunian.

Narudia tena, huyo yesu hajawai kuwepo, stori zoote za dini zote ni uongo, mitume wote na manabii waliishi Africa na walikuwa watu weusi, hamuwezi kuambiwa haya na wachungaji wenu maana watauwa soko la makanisa, jarbu kupeleleza utatajua haya.

Dunia inaongozwa na shetan mwenyewe by 100% dunian wanamuabudu shetan uwe unapenda ama hupendi ukweli ndio huu ama vip urudie asili ya kumuabudu muumba wa kweli ambaye wazungu na waarabu walichakachua mafundisho yake.

Niishie hapa msijekuchanganyikiwa.
Mkuu nimekupa vyema sana na ndio mana nimetoka kwenye mambo ya hizo dini.

Sasa vipi kuhusu mambo ya MAZIKO yaani mwanadamu anapokufa kimwili...Je,uzikaji umekaaje mana naona kila imani ina MAZIKO yake...

Nisaidie hapa niongeze kitu.
 
With no offense, ulichokiandika hapa ni logical fallacy, not all well intuitive scientist , physicist, mathematician and astronomers wa mataifa ya ulaya i.e Germany, walikua influenced na Kazi ya bwana ibin al-haytham.

Of course he wrote a revolutionary book and we physicist are grateful for that, but science is contribution of many daring minds who devotedly ventured their minds into new horizons.
Usiandikie ushabiki ,
Also you've failed to instill the intent of Da'Vinci, he was trying to make a point that there has been a lot of artists who drew pictures i to realistic Sense.
Offense ? None Taken! Why should I be offended during an intellectual discourse ?

Usinilishe maneno. Logical Fallacy is an abuse of syllogism, something i did not commit. This is an example of logical fallacy: "All mammals must procreate to survive. Human beings are mammals.Therefore all human beings must procreate." Logical Fallacy is believing that, Imhotep and Leonardo were the smartest human beings simply because their works are on vogue within the halls of Western Civilization.

Sasa turudi kwenye hoja ya Al Haytham. Nashangaa wewe unasema umesoma sayansi halafu unadai kwamba siyo kila mwanasayansi wa Ulaya, wa kipindi cha mapinduzi ya kifikra alitumia kazi za Al-Haytham. Kiufupi, The Scientific Method ndiyo inatufundisha wanasayansi wote tuanze kufanya Empirical Observation, Formulation of Hypothesis and Experimentation. Duniani kote huwezi kufanya tafiti bila kufuata huu mwongozo wa Al-Haytham. Nitakushuru sana endapo utanipa orodha ya wanasayansi wa Ulaya ambao wameweza kufanya tafiti kubwa bila kufuta mwongozo wa, The Scientific Method.
 
You're missing the point sir...lengo la mada yangu sio kuthibitisha kwamba hiyo ndio picha ya Yesu bali ni kuwatazamisha watu kua inawezekana kweli hiyo inafanania au ndio yenyewe kwa sababu nilizoeleza.

Ukisoma btn lines dhima kuu ya mada yangu sio kuthibitisha picha sahihi ya Kristo
Ndio maana nikasema andiko lako ni personal opinions, na sio fact. Sababu ulizozitoa zimeshindwa kuthibitisha kwamba huo ndio muonekano wa Yesu.

Hiyo sura ni imagination tu ya wachoraji wa zamani ambayo imekua adopted by default. Ni kama vile sura ya Cleopatra. Ipo taswira maarufu ambayo imekua adopted, lakini wala haina uthibitisho kua ndie Cleopatra mwenyewe!

Kama Yesu hakua mzungu, kwanini hiyo taswira inaonyesha kua Yesu ni mzungu?
 
Watu waliozaliwa middle east hawana muonekano huo

Watu wengi wame up vote picha hii kuwa ina akisi uhalisia wa jamii ya watu wa middle east

1678650842393.png
 
Ulijifunza kuhusu Yesu kupitia biblia ya kikatoliki au Kiprotestant??
NIna mkusanyiko wa Maandiko yote yahitajikayo kwa mafundisho ya njia ya Mbinguni.

Roho wa Mungu ananiongoza kila anapotaka nipite na huwa ninamuamini kwa sababu bila yeye nisingekuwa hapa au hivi nilivyo
 
Kwanza nikukanushe dunia haijawai kuwa na watu wenye akili kama mnavyodangwanywa.

Pili uwepo wa wachoraji wenye akili na uwezo mkubwa wako wengi sana hata mitaani wapo, njoo uwaone watoto wanaoweza kukuchora mpka maungo yako ya sirini.

Tatu historia ya dunia imepindishwa kwa faida ya mzungu Tu, je vipi kuhusu Kemet iliyoongoza dunia nzima kwa zaid ya miaka 6000? Vip kuhusu utawala wa South afrika ya kale kabla ya ukolon, naongelea zaid ya miaka 5000bc sio hizo falme zenu za juzi hizo walizoongoza wafalme vibaraka, na je vip kuhusu ufalme wa Ethiopia ama kush ya kale ambayo ilikuwepo zaid ya miaka 6000 bc, siongelei hiyo ethiopia ya leo ya vibaraka wa kidini waliopewa Biblia za mchongo kuupa nguvu ukristo feki.

Dunia na historia mnayofundishwa ni kama 10% ya historia mnayotakiwa kujifunza, maana mashulen mnaanzia kusoma hivyo vijifalme vya waajem sjui warumi na takataka za kizungu, kumbe waliwai kuwepo wahindu, wachina na Waafrika kabla ya hizo dola za karibuni.

Kama dunia imepita maelfu ya miaka kwann mjifunze kuhusu historia inayogusa miaka maximum 7000 tu je miaka 30000 b.c nini kilikuwepo? Ni nani alitawala? Na wakina nani waliounda misingi ya dunia hii?

Jibu mnalipata kuwa mtu wa mwisho kupata dola kuongoza dunia kwa ujanja yaan mrumi ndie aliyeharibu historia hii ya dunia.

Dunia inanza ambapo maelfu ya miaka iliyopita kabla ya mgawanyo wa mabala, then inakuja historia ya chanzo cha Races dunian na mgawanyo wa makabila na matabaka ya rangi za watu+wanadamu, then inakuja historia ya falme 5 kubwa zilizotawala dunia miaka mingi iliyopita.

Ndipo zinakuja nyakati za giza ambapo warumi waliiba historia za watu wa kale na Jemedari wa kale wa jamii ya kiafrika ambaye babu za mama yake waliishi afrika mashariki ama babilon ya kale ama pia Edeni ya kale na baadae kuhamia central afrika ama Yerusalem ya kweli ya kale, na huko jemedari huyo alizaliwa kimiujiza yaan alizaliwa na Mama pasipo mimba yake kutungwa kwa muingiliano wa Me+Ke na hiyo zamani ilikuwa jambo la kawaida kwa mababu waliojua siri ya nguvu za Nuru Rohoni.

Mtu huyo alizaliwa afrika kwa mission maalumu na alikuwa mweusi kwakuwa Africa ni ya watu weusi, na mtu huyu alifanyiwa janja janja na wanadamu wa ngozi nyeupe kuuwawa, lkn alifufuka kimiujiza baada ya mission yake kukamilika aliondoka dunian kimazingara na kurudi Makao yake ambako ni nje ya mbingu za viumbe wa Roho za Nuru.

Mtu huyu ndiye habari zake wazungu wa kirumi waliiba na kukitengeneza kiumbe kiitwacho yesu kwa kukipa historia ya mtu huyo, na yesu huyo kibinadamu ni ufanano wa mwana wa mfalme wa rumi ya miaka ya 320, ivyo basi Yesu kama yesu hajawai kuwepo, Viongozi wenu wanayajua haya mambo.

Ubapozungumzia yesu unakuwa unamzungumzia JINI azazel/Zeus ambaye kiroho ni Jini/pepo lkn kibinadamu alipewa uhusika wa mtu mwenye ufanano na mwana wa mfalme wa rumi, ambaye ndie wakina Leonard da vinch walimchora, na Jini hili ndilo hucontrol tabia za ushoga&usagaji ndiomaana viongoz weng wa kidini wakipagawa na pepo hili huishia kuwalawiti watoto mfano mapadri&mashekhe wote wanatumia nguvu za hiki kiumbe.

Rumi hiyo ndio inatawala dunia leo hii kupitia mashirika mbalimbal dunian kama UN, WHO, UNHCR, mashirika ya muvi kama Hollywood, mashirika ya technolojia kama NASA, mashirika ya usambazwaji habari na media zote kubwa na mitandao mikubwa ya kijamii kama Fb, whatsApp, instagram, jamii za siri kama freemason&illuminat, mifumo ya siasa kama ubepari, ujamaa, mifumo ya kidemokrasia, pia Taasisi za Dini zote za ukristo&uislam ni mali yao hawa jamaa, hata lile taifa pendwa la israel ya mchongo ni wao walilitengeneza kwa kuakisi maisha ya wayahudi wa kwel ambao waliishi afrika na ambao ni watu weusi, na Taifa teule la kweli lilikuwepo hapa Africa central afrika katikati mwa afrika kutokea Eden ya kweli ambayo ni East Africa.

Jua kuwa picha ya yesu iliundwa kwa makusudi na lengo kubwa na Target ni mtu mweusi Tu, huko kwingine dunian hawahangaik nako bali Africa,

Ndioamaana ilitumika nguvu kubwa kueneza filam ya yesu kupitia mashirika ya kidini mikutanon na masemina mliyokuwa mkioneshwa Projection ya sinema ya yesu then majarida na vipeperushi mpaka leo wanagawa mashulen kwa watoto wanawaharibu akili mapema ili wasije kuujua ukweli.

Nguvu hii inayotumika kumdanganya mtu mweusi kupitia mafunzo ya kidini, ndio ile ktk dini zenu mnaita Chapa ya 666 yaan kumfanya mtu halisi wa dunia(mtu mweusi) asahau utambulisho wake kwa kutaka ama kutotaka ndiomaana mafunzo haya ama uongo huu haukwepeki kirahisi na ukiukwepa ni vigumu kusurvive dunian maana utatengwa na nchi zote kuwekewa vikwazo vya kila namna ama kuuwawa,

Na ukiukubali uongo huo ndio pale unakuwa umekufa kiroho kwa kukubali chapa ya mafundisho ya uongo, hivyo sahau kuhusu Ufalme wa mbingu, labda kwa Neema sana kulingana na matendo yako dunian.

Narudia tena, huyo yesu hajawai kuwepo, stori zoote za dini zote ni uongo, mitume wote na manabii waliishi Africa na walikuwa watu weusi, hamuwezi kuambiwa haya na wachungaji wenu maana watauwa soko la makanisa, jarbu kupeleleza utatajua haya.

Dunia inaongozwa na shetan mwenyewe by 100% dunian wanamuabudu shetan uwe unapenda ama hupendi ukweli ndio huu ama vip urudie asili ya kumuabudu muumba wa kweli ambaye wazungu na waarabu walichakachua mafundisho yake.

Niishie hapa msijekuchanganyikiwa.
dah!.Dunia hii kuna mengi yanafichwa.
🙏🙏
 
Very sad kuona mtu mweusi kapewa history ya uongo na kaikariri kama kweli na anaieneza...
Yaani makao makuu ya elimu yawe misri halafu wagiriki ndo wawe na nguvu?how?je hao wamisri wenye elimu walikuwa wapi...??

Chimba tena ujifunze elimu ya kweli..
Wagiriki wamefika misri tayari wamisri washajenga ma piramid....
Wangekuwa na uwezo hata robo si wangejenga kwao hayo ma piramid?

Mbona zile tower wameiga Ulaya nzima Hadi Wamarekani wameiga "Washington monument" kutoka ancient Egypt....
Black Egyptian walikuwa mbali Sana
Huyo Imhotep alikuwa Black
Nefertiti alikuwa Black...
Blacks walikuwa ndo Kings of Egypt wakati Egypt ndo elimu yote iko huko kabla hao warumi na wagiriki unao wafagilia hapa hawajaenda kufanya uharamia
 
Very sad kuona mtu mweusi kapewa history ya uongo na kaikariri kama kweli na anaieneza...
Yaani makao makuu ya elimu yawe misri halafu wagiriki ndo wawe na nguvu?how?je hao wamisri wenye elimu walikuwa wapi...??

Chimba tena ujifunze elimu ya kweli..
Wagiriki wamefika misri tayari wamisri washajenga ma piramid....
Wangekuwa na uwezo hata robo si wangejenga kwao hayo ma piramid?

Mbona zile tower wameiga Ulaya nzima Hadi Wamarekani wameiga "Washington monument" kutoka ancient Egypt....
Black Egyptian walikuwa mbali Sana
Huyo Imhotep alikuwa Black
Nefertiti alikuwa Black...
Blacks walikuwa ndo Kings of Egypt wakati Egypt ndo elimu yote iko huko kabla hao warumi na wagiriki unao wafagilia hapa hawajaenda kufanya uharamia
Mkuu kama umenisoma vyema, nimesema kwamba nitaeleza kwa ufupi na sijasimulia matukio Kwa mtiririko.
Naomba useme uzi huu kesho nitakurudia! Nimeeleza mwanzo wa Egypt mpaka kuchomoza kwa Greece.
 
Offense ? None Taken! Why should I be offended during an intellectual discourse ?

Usinilishe maneno. Logical Fallacy is an abuse of syllogism, something i did not commit. This is an example of logical fallacy: "All mammals must procreate to survive. Human beings are mammals.Therefore all human beings must procreate." Logical Fallacy is believing that, Imhotep and Leonardo were the smartest human beings simply because their works are on vogue within the halls of Western Civilization.

Sasa turudi kwenye hoja ya Al Haytham. Nashangaa wewe unasema umesoma sayansi halafu unadai kwamba siyo kila mwanasayansi wa Ulaya, wa kipindi cha mapinduzi ya kifikra alitumia kazi za Al-Haytham. Kiufupi, The Scientific Method ndiyo inatufundisha wanasayansi wote tuanze kufanya Empirical Observation, Formulation of Hypothesis and Experimentation. Duniani kote huwezi kufanya tafiti bila kufuata huu mwongozo wa Al-Haytham. Nitakushuru sana endapo utanipa orodha ya wanasayansi wa Ulaya ambao wameweza kufanya tafiti kubwa bila kufuta mwongozo wa, The Scientific Method.
Huyu mkuu ana hoja , mtoa mada toa hoja zako.
 
Wasabato mnaupinga utatu mtakatifu, mnapinga fumbo la imani. Kristo alikufa,Akafufuka na atarudi tena. Nyie ndio wapinga kristo

Mi sio msabato lakini wapi kwenye Bible imeandikwa utatu mtakatifu? Kuna 50,000 hapa upate kitimoto hizi katekisimu zipo ili kuwatenga na bible
 
Mkuu kwa heshima kabisa sikubaliani na fikra yako kwasababu zifuatazo;

Yesu wakati wa uhai wake hakuwa mtu maarufu bali umaarufu wake umekuja miaka mingi baada ya yeye kufariki na habari zake kutangazwa. Sasa kama hakuwa maarufu ni wazi watu walimpuuzia ndio maana hata wakamuua kama waalifu wengine.

Ilihitajika awe mtu maarufu ndipo kumbukumbu zake ziwepo kwa watawala hasa picha sababu alitakiwa kulipia achorwe, kumbukumbu za Yesu zilizopo ni stori za mambo aliyofanya. Ni sawa na stori za babu wa machifu kabla ya kuja mkoloni kamwe hutaona picha zao bali stori tu.

Angalau kwa Mtume Mohammed yeye alieneza dini ya uislamu, ingekuwa rahisi sana kwa picha za Mtume kuwepo sababu yeye ndio mtu aliyekuwa nyuma ya uislamu tofauti na Yesu ambaye hata Ukristo wenyewe hakuuhubiri sababu yeye alikuwa myahudi na alitumwa kwao wayahudi.

Hii picha ni dhana tu au ndoto za wanadamu wa kipindi cha utambuko wakaamua kuileta tuitumie.

Jambo lingine ni uvaaji, huo uvaaji sio wa miaka hiyo watu wa zamani naweza kusema walikuwa rafu sana kuanzia nywele kichwani, ndevu zao hadi mavazi sasa yeye ilikuwaje akawa smart hivyo?, wakati alikuwa ni mtoto wa seremala tu? Mfano mzuri ni vikkings angalia walivyokuwa rafu na miaka waliyoishi ndio sembuse Yesu aliyeishi 2000 nyuma?.

Tubaki tu na imani ila hakuna uhalisia hapo.

Kristo maana yake mpakwa mafuta. Wakristo walikuwa ni wale wanafunzi wake tu ikimaanisha wafuasi wake sasa ukristo upi ulitaka auhubir wakati alisema tubuni muache dhambi. Ukiacha na ukaishi maisha ya toba basi ww ni mfuasi wake the rest sio wakristo ni wapagani wamejificha kwenye ukristo
 
Je kama hutajali, unaweza kushea nami makusanyo hayo??
Kwa hiyo umepanga kunikagua siyo?

We endelea kutoa maboko yako, nikiona kunq ulazima wa kukupinga nitafanya hivyo.


Usinipangie
 
Hakika Dunia imejaa hadaa.
Historia imepindishwa sana kwa maslahi binafsi ya race's fulani.........?

Sio mpenzi sana wa mambo ya historical issues coz mambo mengi hayana prove na yana alot of contradiction.

Wengine watasema Yesu ni Nabii Issa, wengine Yesu ni mwafrika, wengine Yesu ni myahudi, wengine Yesu alikuwa mzungu na wengine Yesu hakuwepo bali ni myths tu.
Kila mmoja ukimuuliza atakwambia soma kitabu fulani utajua ukweli wa mambo na sio kitabu fulani kwa maana hicho ni udanganyifu mtupu. Ukiangalia ni kweli kwa maana hakuna aliyekuwepo wa kuthibitisha hilo. So inabakia kama Fumbo......?

Finally: Naona there is no point of return, kila mtu abaki na anacho kiamini.

I'm done.
I congratulate you for a wonderful topic even though it have some gimmick challenge.
Well done Sir👏
Nikweli kabisa Sir, ndio maana inabidi kila mtu abaki na akiamincho
 
Back
Top Bottom