Waliosaidia viongozi wastaafu kudukuliwa walipata faida gani?

Waliosaidia viongozi wastaafu kudukuliwa walipata faida gani?

Point za kipuuzi kabisa
Mpuuzi ni wewe unayewaondolea haki za kikatiba wengine kwa kuwa tu wana mahusiano ya kidamu na viongozi WAKUBWA.....

Mbona hushangai WANAJESHI wakubwa watoto wao nao huwa WANAJESHI....

Mbona hushangai MADAKTARI wakubwa watoto wao nao huwa MADAKTARI....n.k

Ishu iwe nongwa kwa Ridhiwani kuwa MWANASIASA baada ya baba yake kuwa MWANASIASA?!!!

Mnamsiliba Ridhiwan kana kwamba ni wa KWANZA kuwa mwanasiasa miongoni mwa watoto wa WANASIASA WETU WAKUBWA na VIONGOZI WETU.....

Mbali na UBONGO ,hivi huwa "mnatumiaga" viungo gani vingine KUFIKIRI?!!!
 
Mimi namshangaa sana Kikwete,

Yaani Mkewe au Former First Lady Kwa miaka kumi Kwa Sasa ni Mbunge.

Mwanae wa Kwanza ni Mbunge.

Yeye Kikwete anapokea mshahara wa Rais aliyepo madarakani Kwa asilimia 80%.

Wachana na Ulinzi.

Sasa wakuu tukisema Kikwete ni mbinafsi tutakua tunakosea?
Kwa mawazo haya naamini mpaka muda unakula kwa baba
 
Tulishaona na kusikia humu humu JF sauti na video za kutengeneza zilizowahusu viongozi wa sasa na viongozi wastaafu waliodukuliwa huku wakidaiwa kumsengenya Aliyekuwa Rais wa Tanzania, ambaye sasa anaitwa mwendazake.

Wako waliojitokeza kuomba radhi, huku wengine wakitimuliwa kwenye Chama, majina yao yanafahamika na wala hatuna haja ya kuyarudia, Kwa mujibu wa sheria za Tanzania kudukua ni kosa kubwa kisheria, japo wadukuaji hao hawakushitakiwa kwa mjumbe wa nyumba 10, serikali za mitaa ama mahakamani (japo naamini iko siku watadakwa na kushitakiwa).

Sasa swali langu ni hili, wadukuaji hao ambao wanafahamu makosa yao tangu mwanzo je walilipwa nini hadi kukubali kutumika kijinai ? Haya sasa mwenda chini hayupo watakuwa tayari kuomba radhi hadharani kwa makosa yao?

Nakala: Cheusi Mangala
SAA hizi hawajielewi wamebaki wanashangaa!
 
Mpuuzi ni wewe unayewaondolea haki za kikatiba wengine kwa kuwa tu wana mahusiano ya kidamu na viongozi WAKUBWA.....

Mbona hushangai WANAJESHI wakubwa watoto wao nao huwa WANAJESHI....

Mbona hushangai MADAKTARI wakubwa watoto wao nao huwa MADAKTARI....n.k

Ishu iwe nongwa kwa Ridhiwani kuwa MWANASIASA baada ya baba yake kuwa MWANASIASA?!!!

Mnamsiliba Ridhiwan kana kwamba ni wa KWANZA kuwa mwanasiasa miongoni mwa watoto wa WANASIASA WETU WAKUBWA na VIONGOZI WETU.....

Mbali na UBONGO ,hivi huwa "mnatumiaga" viungo gani vingine KUFIKIRI?!!!
Unatakiwa Mirembe wewe
 
Tulishaona na kusikia humu humu JF sauti na video za kutengeneza zilizowahusu viongozi wa sasa na viongozi wastaafu waliodukuliwa huku wakidaiwa kumsengenya Aliyekuwa Rais wa Tanzania, ambaye sasa anaitwa mwendazake.

Wako waliojitokeza kuomba radhi, huku wengine wakitimuliwa kwenye Chama, majina yao yanafahamika na wala hatuna haja ya kuyarudia, Kwa mujibu wa sheria za Tanzania kudukua ni kosa kubwa kisheria, japo wadukuaji hao hawakushitakiwa kwa mjumbe wa nyumba 10, serikali za mitaa ama mahakamani (japo naamini iko siku watadakwa na kushitakiwa).

Sasa swali langu ni hili, wadukuaji hao ambao wanafahamu makosa yao tangu mwanzo je walilipwa nini hadi kukubali kutumika kijinai ? Haya sasa mwenda chini hayupo watakuwa tayari kuomba radhi hadharani kwa makosa yao?

Nakala: Cheusi Mangala
Tumepata faida ya kuwajua tabia zao za hovyo kwa watu wazima kama wao!
 
Tulishaona na kusikia humu humu JF sauti na video za kutengeneza zilizowahusu viongozi wa sasa na viongozi wastaafu waliodukuliwa huku wakidaiwa kumsengenya Aliyekuwa Rais wa Tanzania, ambaye sasa anaitwa mwendazake.

Wako waliojitokeza kuomba radhi, huku wengine wakitimuliwa kwenye Chama, majina yao yanafahamika na wala hatuna haja ya kuyarudia, Kwa mujibu wa sheria za Tanzania kudukua ni kosa kubwa kisheria, japo wadukuaji hao hawakushitakiwa kwa mjumbe wa nyumba 10, serikali za mitaa ama mahakamani (japo naamini iko siku watadakwa na kushitakiwa).

Sasa swali langu ni hili, wadukuaji hao ambao wanafahamu makosa yao tangu mwanzo je walilipwa nini hadi kukubali kutumika kijinai ? Haya sasa mwenda chini hayupo watakuwa tayari kuomba radhi hadharani kwa makosa yao?

Nakala: Cheusi Mangala
Labda waliahidiwa cheo na mwendazake
 
Khaa kwa hiyo ulitaka Ridhiwan asitimize ndoto zake za KISIASA kwa kuwa tu ni mtoto wa RAIS Mstaafu?

Mama Salma Kikwete alimlazimisha hayati Magufuli kumteua Ubunge?

Na kiheshima ulitaka amkatalie Rais asiende kutumika bungeni?

Viongozi wengi watoto wao na ndugu zao ni WANASIASA NA WATENDAJI WAKUBWA TU...Wana haki zote kwani KATIBA YA NCHI haiwazuii.

Mshahara wa 80% haukuwekwa na Rais Kikwete....uko KISHERIA NA KITARATIBU YA WASTAAFU WA NGAZI YAKE.

#KaziIendelee
#NchiKwanza
katiba wakuu ili madudu haya yatoke ili marais nao walipwe kiinua mgongo kama watumishi wengine.ndo maana hata wakitoka madarakani bado wanaonekana miungu watu.
 
Back
Top Bottom