Wakihojiwa wanahamaki!Tunataka vijana wenye uwezo na uthubutu wakuhoji 09 December 2023 S S HASSAN
Mkuu Nape Jikite kwenye mambo ya msingi , huyo Dr Mpango mwenyewe kishapotezea , wewe unahangaika nini ?
Wametangulia Kisutu, maana wapo zaidi ya watu 20,000 /- wote ni watumaji , wasambazaji an waliohoji!Kupitia mtandao wa kijamii X, Waziri Nape Nnauye amesema kuwa ameelekeza vyombo vinavyohusika kuchukua hatua za mfano dhidi ya wote waliozusha na kusambaza taarifa za uongo dhidi ya Makamu wa Rais.
Nanukuu
"Pole sana Mhe Makamu wa Rais. Tumekusikia. Kwakuwa tuna sheria zinazoelekeza mitandao itumike vizuri na kwakuwa tuna Taasisi na watu wa kusimamia sheria hizi, bila kuathiri uhuru wa watu, TUTACHUKUA HATUA kutokomeza matumizi haya mabaya ya mtandao! Naamini wote watatuelewa.
Nimeelekeza vyombo vyote vinavyohusika kuchukua hatua za mfano, ili tujenge jamii inayoheshimu uhuru wa kila mtu. Uhuru wowote unapoingilia uhuru wa mwingine ni uvunjaji wa sheria, hatuwezi kujenga jamii inayoona hilo ni jambo la kawaida"
Pia soma > Makamu wa Rais Dkt. Mpango akutana na Rais Samia Ikulu ya Chamwino
Sasa kwani angetoa taarifa kwamba anasafiri kwenda nje ya nchi hata kupumzika angepungukiwa nini? Saa zingine wanapenda kuwaingiza watu kwenye matatizo ya kukwawazia mabaya kwa makosa yao wenyewe.
Kwani alishindwa nini kumwagiza msaidizi wake pale ofisini kuchapa taarifa kwa umma kwamba anasafari ya kiserikali nje ya nchi na mambo yakatulia.
Ni kusababisha usumbufu tuu usio na faida
Sasa watamuweza mange kimambi?Kupitia mtandao wa kijamii X, Waziri Nape Nnauye amesema kuwa ameelekeza vyombo vinavyohusika kuchukua hatua za mfano dhidi ya wote waliozusha na kusambaza taarifa za uongo dhidi ya Makamu wa Rais.
Nanukuu
"Pole sana Mhe Makamu wa Rais. Tumekusikia. Kwakuwa tuna sheria zinazoelekeza mitandao itumike vizuri na kwakuwa tuna Taasisi na watu wa kusimamia sheria hizi, bila kuathiri uhuru wa watu, TUTACHUKUA HATUA kutokomeza matumizi haya mabaya ya mtandao! Naamini wote watatuelewa.
Nimeelekeza vyombo vyote vinavyohusika kuchukua hatua za mfano, ili tujenge jamii inayoheshimu uhuru wa kila mtu. Uhuru wowote unapoingilia uhuru wa mwingine ni uvunjaji wa sheria, hatuwezi kujenga jamii inayoona hilo ni jambo la kawaida"
Pia soma > Makamu wa Rais Dkt. Mpango akutana na Rais Samia Ikulu ya Chamwino
Lazima iwe fake. Maana mkizidiwa hoja mnaua na kupoteza watu!! Alafu tusi gani umeliona hapo? Una kichaa wewe.Mbona nawe ni muongo muongo tu hadi unatumia jina fake ili uweze kutukana ?hivi unajisikiaje siku wanao wakijua kuwa baba anashinda kwenye mitandao kwa ID fake?
Leo mnaziona kauli za Nape Kama msumari wa Motoπ , wakati wa Magufuli hata akitokea makonda akasema mtu apigwe risasi utachekelea!.Hili tutusa linapenda sifa za kijinga.
Wangeepusha yote hayo kwa kutoa taarifa sahihi na kwa wakati kwa Raia.
Au anadhani wamepewa hayo madaraka ili kutisha na kuonea watu.
Stupid kabisa.
Bishop House ππNape kabla ya kutukamata wahalifu tuambie ukweli wa alikokuwa makamu wa rais.
Nitaamini vipi? Mnanidanganya ili mnikamate, mbona hamkusema tangu mwanzo.Bishop House ππ
Walokole wanaita mlimani
Tuko nyakati za Mwisho
Nape huyu aliye pata four ya 29 na F ya CivicsKupitia mtandao wa kijamii X, Waziri Nape Nnauye amesema kuwa ameelekeza vyombo vinavyohusika kuchukua hatua za mfano dhidi ya wote waliozusha na kusambaza taarifa za uongo dhidi ya Makamu wa Rais.
Nanukuu
"Pole sana Mhe Makamu wa Rais. Tumekusikia. Kwakuwa tuna sheria zinazoelekeza mitandao itumike vizuri na kwakuwa tuna Taasisi na watu wa kusimamia sheria hizi, bila kuathiri uhuru wa watu, TUTACHUKUA HATUA kutokomeza matumizi haya mabaya ya mtandao! Naamini wote watatuelewa.
Nimeelekeza vyombo vyote vinavyohusika kuchukua hatua za mfano, ili tujenge jamii inayoheshimu uhuru wa kila mtu. Uhuru wowote unapoingilia uhuru wa mwingine ni uvunjaji wa sheria, hatuwezi kujenga jamii inayoona hilo ni jambo la kawaida"
Pia soma > Makamu wa Rais Dkt. Mpango akutana na Rais Samia Ikulu ya Chamwino
Ofisi yote ya ikulu iliondoka na covid19 kwa maana ya rais na wasaidizi wake, achana na hizo habari za uchochezi.Nape
Mpango ndiyo alimpa JPM kidudu cha Covid-19, asingekuwe yeye JpM angekuwepo.
Sexless anamshukuru sana Mpango
Kwani Pena ni nani kwenye hili wakati Muathirika mwenyewe yeye hana shida na wala hajalalamika, ila amepewa ujumbe tu kuwa kwa vile yeye ni Public Figure, Kusemwasemwa ni lazima...Kupitia mtandao wa kijamii X, Waziri Nape Nnauye amesema kuwa ameelekeza vyombo vinavyohusika kuchukua hatua za mfano dhidi ya wote waliozusha na kusambaza taarifa za uongo dhidi ya Makamu wa Rais.
Nanukuu
"Pole sana Mhe Makamu wa Rais. Tumekusikia. Kwakuwa tuna sheria zinazoelekeza mitandao itumike vizuri na kwakuwa tuna Taasisi na watu wa kusimamia sheria hizi, bila kuathiri uhuru wa watu, TUTACHUKUA HATUA kutokomeza matumizi haya mabaya ya mtandao! Naamini wote watatuelewa.
Nimeelekeza vyombo vyote vinavyohusika kuchukua hatua za mfano, ili tujenge jamii inayoheshimu uhuru wa kila mtu. Uhuru wowote unapoingilia uhuru wa mwingine ni uvunjaji wa sheria, hatuwezi kujenga jamii inayoona hilo ni jambo la kawaida"
Pia soma > Makamu wa Rais Dkt. Mpango akutana na Rais Samia Ikulu ya Chamwino