Waliosambaza taarifa potofu dhidi ya Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango kukiona cha mtema kuni. Waziri Nape atoa maelekezo

Waliosambaza taarifa potofu dhidi ya Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango kukiona cha mtema kuni. Waziri Nape atoa maelekezo

Jana ulilewa nini?nyie wamangi aachaneni na pombe
Una mental disorder wewe kwahiyo yanayoendelea wewe unaona ni sawa ?!... Alafu heal hiyo chuki na wakina mangi otherwise tutakulamba hilo puru faken
 
Una mental disorder wewe kwahiyo yanayoendelea wewe unaona ni sawa ?!... Alafu heal hiyo chuki na wakina mangi otherwise tutakulamba hilo puru faken
Akina Mangi si ndio mnakesha humu kutukana serikali na kuimba mapambio kuhusu CDM? mngejua kuwa CDM haitaka itawale hii nchi nadhani mngekuwa wangwana tu kwa maana hamna hiyo nguvu mnayoona mnayo KUDADEKI
 
Kupitia mtandao wa kijamii X, Waziri Nape Nnauye amesema kuwa ameelekeza vyombo vinavyohusika kuchukua hatua za mfano dhidi ya wote waliozusha na kusambaza taarifa za uongo dhidi ya Makamu wa Rais

Nanukuu

"Pole sana Mhe Makamu wa Rais. Tumekusikia. Kwakuwa tuna sheria zinazoelekeza mitandao itumike vizuri na kwakuwa tuna Taasisi na watu wa kusimamia sheria hizi, bila kuathiri uhuru wa watu, TUTACHUKUA HATUA kutokomeza matumizi haya mabaya ya mtandao! Naamini wote watatuelewa

Nimeelekeza vyombo vyote vinavyohusika kuchukua hatua za mfano, ili tujenge jamii inayoheshimu uhuru wa kila mtu. Uhuru wowote unapoingilia uhuru wa mwingine ni uvunjaji wa sheria, hatuwezi kujenga jamii inayoona hilo ni jambo la kawaida"

Pia soma > Makamu wa Rais Dkt. Mpango akutana na Rais Samia Ikulu ya Chamwino
Hatuwezi kuwa na jamii yenye viongozi waongowaongo, naelekeza malaika wakawashughulikie.
 
Unajitahidi kumtetea mumeo hongera ongezea juhudi.
Nawe ongeza juhudi za kumtetea mzee Mbowe na Genge lake -Ur simply stand for a lost course .Kesha humu hadi mwisho wa dunia ,tukana matusi yote hamtakaa mtawale nchii KUDADADEKI.
 
Hatuwezi kuwa na jamii yenye viongozi waongowaongo, naelekeza malaika wakawashughulikie.
Mbona nawe ni muongo muongo tu hadi unatumia jina fake ili uweze kutukana ?hivi unajisikiaje siku wanao wakijua kuwa baba anashinda kwenye mitandao kwa ID fake?
 
Sasa kama kiongoz wetu hatumuoni kwa zaidi ya mwezi mnataka tunyamze kwani tumekufa? Kwanza kwa hii kauli SSH alitakiwa atengue haraka uteuzi wake. Yaani mamlaka mmekaa kimya mwezi mzima wananchi wanamtafuta kiongozi wao mpo kimya leo kiongozi katokea akiwa dhofli hali jitu lililotakiwa kuhabarisha wananchi linazomoka na kusema waadhibiwe waliosema hayawi hayawi yaani tuna madude ya ajabu basi tu.
 
Ni Nape yupi anaongea haya?? Huyu huyu aliyetishiwa bastola na Makonda makalio makubwa? Amshukuru sana Maulidi Kittenge siku ile bila hivyo utumbo wa Nape ungemwagika
Mpumbavu huwa hafichi upumbavu wake,sasa hili linahusiana vp na hoja ya makamu wa rais?. Yaani wewe huwa ni pipa tupu kabisa.
 
Mkuu Tindo tuachane na Nape ila mimi nataka kujua ni kosa au sio kosa mkumzushia mtu kifo?(tena mtu anaongea kwa kusisitiza utafikili kaiona maiti)
Hutaki kuzushiwa kifo jitokeze uvumi uishe. Unakaa mahali unaangalia watu wanaeneza uvumi bila kuondoa uvumi wakati unaweza! Ni kosa kubwa kwa mtumishi wa umma kuondoka ofisini bila kutaarifu waajiri wako. Analeta michezo ya kitoto ya kujificha ili atafutwe.
 
Haya ni madhara ya kuamini viongozi ni mali ya chama (CCM)

Kulikuwa na ugumu gani kutoa taarifa hadi mnasababisha watu watende makosa kwa uzembe wenu.
Ifahamuke Philip Mpango ni Makamu wa Rais wa Tanzania na siyo CCM.
 
1000005900.jpg
 
Back
Top Bottom