Waliosema chanjo ya COVID ni njama wamejizika na kuzikwa

Waliosema chanjo ya COVID ni njama wamejizika na kuzikwa

They...they....they ...
Who're these "they" thinking for you fool? Awake!
Will people fall pray again to the following "plandemic" in the making plain sight?

I don't know,lakini kwa umbumbumbu watu walio nao,possibly they will.
 
Anajifariji huyo achana naye.Kwa ujinga wake anaamini kwa kuwa miaka mitatu imepita tangu achanje, basi yupo safe.Wauaji hawa wapo very smart.Watu wakifa mara moja si watastukiwa?Ni kweli wapo walioathirika mara moja,lakini hawataki iwe immediate kwa kuwa itakuwa rahisi watu kujua source of the problem.
Wewe kilaza, ulileta humu pumba za sijui chanjo ina nanochip na muda si mrefu wakimaliza usambazaji wa wa 5G network ukikamilika, tuliochanja tutakuwa activated kuwa mazombie na frequency ya 1 GHz - 6 GHz inayotumiwa na 5G mobile network....
Haya leta pumba nyingine kujitetea.....

The NWO is up and ready!
 
Wewe kilaza, ulileta humu pumba za sijui chanjo ina nanochip na muda si mrefu wakimaliza usambazaji wa wa 5G network ukikamilika, tuliochanja tutakuwa activated kuwa mazombie na frequency ya 1 GHz - 6 GHz inayotumiwa na 5G mobile network....
Haya leta pumba nyingine kujitetea.....

The NWO is up and ready!
Kwa mawazo haya naomba uweke wazi elimu yako hapa ili tuone kama una mamlaka ya kuongelea maswala ya micro-organisms.Mimi nina PhD in Microbiology kwa hiyo nina mamlaka hiyo.
 
Genetical modified creatures Ni Mali ya Mhalifu toka maabara.
World Homicide Organization watatumaliza.
 
Ni miaka takbiran mitatu sasa tokea nichomwe chanjo ya kuzuia maabukizi ya COVID (UVIKO).

Mimi nilichoma chanjo ya Pfizer Biontech, na zilikuwa dozi mbili zikipishasha wiki 6 mpaka miezi miwili.

Na mpaka sasa nadunda na miezi kadhaa iliyopita tulimkaribisha mgeni mpya wa dunia hii.

Zilikuwepo pilika nyingi sana za njama potofu (conspiracy theories) nyingi duniani kuhusu kuanzia uwepo wa ugonjwa wenyewe wa COVID na kuendelea mpaka kwenye chanjo yenyewe ya COVID

Waliibuka wataalamu wa kweli hasa kielimu kila pande za dunia kupinga na kusambaza habari potofu kuhusu maambukizi ya ugonjwa COVID na chanjo yake.
Walituaminisha njama potofu kedekede kuhusu maigizo yanayofanywa mahospitalini kuhudumia wagonjwa wa COVID ni kama sinema zinachezwa na kutangazwa na vyombo vya habari ambavyo vyote viko kwenye hii njama ya kuhadaa walimwengu.

Pia walijitokeza wataalamu wa utafiti wa kinga za kibaologia kwenye kila mitandao ya jamii, wakitutahadharisha athari za kinga ya COVID kuwa ni njama ya kuturaibu tuzoee dozi ya COVID kama uraibu wa madawa ya kulevya na pia kutunga na kuchombezea kila athari zilizotokana na vifo vya ghafla kwa wachomwaji wa kinga ya COVID ni njama ya kupunguza idadi ya watu duniani.

Pia kulitokea wale watafuta fursa kwenye mitandao ya kijamii, walioneza njama mfu ya kuwa kinga ya COVID ina chembechembe za kielectroniki(CHIP) ambazo ni mpango maalumu wa kusambza mlingonti ya teknologia ya 5G, ambazo zingetumika kuziendesha hizo CHIP zilizopandikizwa kwa njia ya chanjo na kuwa kila aliyechoma chanjo atakuwa anapokea maagizo kimtandao na ya kuteleza kama MSUKULE.

Haya tunahitaji mrejesho kwa wale waatalum waaliojulikana kama spin doctors.

cc Mathanzua, Let me get this straight about the COVID-19 vaccine
Lo! Bora ungenyamanza. Maana kuna watu wataanza kuthibitisha kuwa madhara yaa chanjo yameanza.
 
Ukweli ni kwamba sisi tusiochoma hatuna wivu na mliochoma, ila mliochoma mna wivu mkubwa na sisi tusiochoma na tunadunda tu
Lakini zile chanjo za tetekuwanga na kifaduro zote ulichoma na watoto pia uliwapeleka kuchoma...
 
Siku zote inapofika mahali kunahitajika tiba au kinga, basi tuwaruhusu wataalamu wa afya wahusike na si wana siasa.
 
Siku zote inapofika mahali kunahitajika tiba au kinga, basi tuwaruhusu wataalamu wa afya wahusike na si wana siasa.
Tatizo mkuu ni kwamba wanasiasa wakishapewa chao,wanalazimisha wahudumu wa Afya wafanye wanavyotaka,so kuna tatizo kubwa.Na hili ndilo lililotokea kwenye Covid.
 
Back
Top Bottom