Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeisoma hiyo ripoti au unakurupuka....Sura sijui utaiweka wapi baada ya kusoma haya
====
Karibu
-----
![]()
FINAL REPORT: COVID Select Concludes 2-Year Investigation, Issues 500+ Page Final Report on Lessons Learned and the Path Forward - United States House Committee on Oversight and Accountability
United States House Committee on Oversight and Accountabilityoversight.house.gov
Mimi sikuchanja na bado nadunda tu 🤣🤣🤣🤣Ni miaka takbiran mitatu sasa tokea nichomwe chanjo ya kuzuia maabukizi ya COVID (UVIKO).
Mimi nilichoma chanjo ya Pfizer Biontech, na zilikuwa dozi mbili zikipishasha wiki 6 mpaka miezi miwili.
Na mpaka sasa nadunda na miezi kadhaa iliyopita tulimkaribisha mgeni mpya wa dunia hii.
Zilikuwepo pilika nyingi sana za njama potofu (conspiracy theories) nyingi duniani kuhusu kuanzia uwepo wa ugonjwa wenyewe wa COVID na kuendelea mpaka kwenye chanjo yenyewe ya COVID
Waliibuka wataalamu wa kweli hasa kielimu kila pande za dunia kupinga na kusambaza habari potofu kuhusu maambukizi ya ugonjwa COVID na chanjo yake.
Walituaminisha njama potofu kedekede kuhusu maigizo yanayofanywa mahospitalini kuhudumia wagonjwa wa COVID ni kama sinema zinachezwa na kutangazwa na vyombo vya habari ambavyo vyote viko kwenye hii njama ya kuhadaa walimwengu.
Pia walijitokeza wataalamu wa utafiti wa kinga za kibaologia kwenye kila mitandao ya jamii, wakitutahadharisha athari za kinga ya COVID kuwa ni njama ya kuturaibu tuzoee dozi ya COVID kama uraibu wa madawa ya kulevya na pia kutunga na kuchombezea kila athari zilizotokana na vifo vya ghafla kwa wachomwaji wa kinga ya COVID ni njama ya kupunguza idadi ya watu duniani.
Pia kulitokea wale watafuta fursa kwenye mitandao ya kijamii, walioneza njama mfu ya kuwa kinga ya COVID ina chembechembe za kielectroniki(CHIP) ambazo ni mpango maalumu wa kusambza mlingonti ya teknologia ya 5G, ambazo zingetumika kuziendesha hizo CHIP zilizopandikizwa kwa njia ya chanjo na kuwa kila aliyechoma chanjo atakuwa anapokea maagizo kimtandao na ya kuteleza kama MSUKULE.
Haya tunahitaji mrejesho kwa wale waatalum waaliojulikana kama spin doctors.
cc Mathanzua, Let me get this straight about the COVID-19 vaccine
Hapo ndio tunajua tatizo ya elimu yetu, haina hata ya chembe kumfundisha mbongo maana ya kuchakachua hoja na kuielewa kabla kujibuh
Mimi sikuchanja na bado nadunda tu 🤣🤣🤣🤣
walijua tutakufaSikuchoma sindano, Barakoa nilivaa kwenye taasisi fulani tu nilipotaka huduma tena kwa kulazimishwa ila mpaka leo nadunda, hamna cha Korona wala Babu yake Korona
Nahisi Watu waliochanjwa wakituona tusiochanja tunazidi kuchanja mbuga roho zinawauma sana😂, maana sio kwa makasiriko haya
Na kwa nini wengine wanafanya ngono zembe na walioathirika lakini mpaka sasa hawaja dhurika. Hii ni dhahiri kuwa ukimwi haupo na haya mambo ya uvaaji wa condom ni mpango wa mabeberu wa kutaka tusiongezeke.Kitu ulichopaswa kujiuliza ni kwanini wengine hawajachanja na COVID haikuwadhuru!
Mimi nina tatizo na watu wa Bima. Nimelipia ( tena comprehensive) kwa miaka mingi bila kupata ujali. Bila shaka ni mpango wa kula tu pesa yangu.Hapo ndio tunajua tatizo ya elimu yetu, haina hata ya chembe kumfundisha mbongo maana ya kuchakachua hoja na kuielewa kabla kujibu
Wapi nimesema waliokataa kuchanjwa watakufa?
Mbona huko zilizotokea chanjo, wako maelfu hawakuchanjwa..
Pole sana! Ninaweza kudhani unavyojisikia.upupu mitandaoni
Sina haja ya kusema mengi,ila soma ripoti ya serikali ya Marekani ifuatayo.You are talking of three years,three years ni muda mfupi sana.Wadanganye wadanganyika,sio watu wenye akili zao,mwenye akili anajua it was a scam.Kama it was something real kwa nini CEOs wote wa makampuni ya the so called chanjo za Covid hawakuchanjwa? Na kwa nini initially walisema kila mtu anayechanja asaini, ili akipata shida yeyote serikali isiwajibike.Isn't all this obvious kwamba hizo chanjo zina shida.This is obvious unless wewe ni zombie.So,wewe either ni zombie au umetumwa kudanganya watu na mabwana zako.Acha uovu huo mara moja.Wewe ndiye unayejua zaidi kuliko serikali ya Marekani au scientists kama sisi, stop that nonsense.I know how you are feeling kama umechanja,so unajaribu kujifariji,but the worst is yet to come.Frankly uamuzi uliofanya haukuwa sahihi kabisa.Ni miaka takbiran mitatu sasa tokea nichomwe chanjo ya kuzuia maabukizi ya COVID (UVIKO).
Mimi nilichoma chanjo ya Pfizer Biontech, na zilikuwa dozi mbili zikipishasha wiki 6 mpaka miezi miwili.
Na mpaka sasa nadunda na miezi kadhaa iliyopita tulimkaribisha mgeni mpya wa dunia hii.
Zilikuwepo pilika nyingi sana za njama potofu (conspiracy theories) nyingi duniani kuhusu kuanzia uwepo wa ugonjwa wenyewe wa COVID na kuendelea mpaka kwenye chanjo yenyewe ya COVID
Waliibuka wataalamu wa kweli hasa kielimu kila pande za dunia kupinga na kusambaza habari potofu kuhusu maambukizi ya ugonjwa COVID na chanjo yake.
Walituaminisha njama potofu kedekede kuhusu maigizo yanayofanywa mahospitalini kuhudumia wagonjwa wa COVID ni kama sinema zinachezwa na kutangazwa na vyombo vya habari ambavyo vyote viko kwenye hii njama ya kuhadaa walimwengu.
Pia walijitokeza wataalamu wa utafiti wa kinga za kibaologia kwenye kila mitandao ya jamii, wakitutahadharisha athari za kinga ya COVID kuwa ni njama ya kuturaibu tuzoee dozi ya COVID kama uraibu wa madawa ya kulevya na pia kutunga na kuchombezea kila athari zilizotokana na vifo vya ghafla kwa wachomwaji wa kinga ya COVID ni njama ya kupunguza idadi ya watu duniani.
Pia kulitokea wale watafuta fursa kwenye mitandao ya kijamii, walioneza njama mfu ya kuwa kinga ya COVID ina chembechembe za kielectroniki(CHIP) ambazo ni mpango maalumu wa kusambza mlingonti ya teknologia ya 5G, ambazo zingetumika kuziendesha hizo CHIP zilizopandikizwa kwa njia ya chanjo na kuwa kila aliyechoma chanjo atakuwa anapokea maagizo kimtandao na ya kuteleza kama MSUKULE.
Haya tunahitaji mrejesho kwa wale waatalum waaliojulikana kama spin doctors.
cc Mathanzua, Let me get this straight about the COVID-19 vaccine
HaikuwafikiaKitu ulichopaswa kujiuliza ni kwanini wengine hawajachanja na COVID haikuwadhuru!
This is a very stupid answer.Lakini serikali ya Marekani imeshatoa report.Isome hapa👇Haikuwafikia
Mbona na ambao hatukuchoma tunadunda. Au unafikiri mnaoendelea kudunda ni nyie mliochanjwa??Ni miaka takbiran mitatu sasa tokea nichomwe chanjo ya kuzuia maabukizi ya COVID (UVIKO).
Mimi nilichoma chanjo ya Pfizer Biontech, na zilikuwa dozi mbili zikipishasha wiki 6 mpaka miezi miwili.
Na mpaka sasa nadunda na miezi kadhaa iliyopita tulimkaribisha mgeni mpya wa dunia hii.
Zilikuwepo pilika nyingi sana za njama potofu (conspiracy theories) nyingi duniani kuhusu kuanzia uwepo wa ugonjwa wenyewe wa COVID na kuendelea mpaka kwenye chanjo yenyewe ya COVID
Waliibuka wataalamu wa kweli hasa kielimu kila pande za dunia kupinga na kusambaza habari potofu kuhusu maambukizi ya ugonjwa COVID na chanjo yake.
Walituaminisha njama potofu kedekede kuhusu maigizo yanayofanywa mahospitalini kuhudumia wagonjwa wa COVID ni kama sinema zinachezwa na kutangazwa na vyombo vya habari ambavyo vyote viko kwenye hii njama ya kuhadaa walimwengu.
Pia walijitokeza wataalamu wa utafiti wa kinga za kibaologia kwenye kila mitandao ya jamii, wakitutahadharisha athari za kinga ya COVID kuwa ni njama ya kuturaibu tuzoee dozi ya COVID kama uraibu wa madawa ya kulevya na pia kutunga na kuchombezea kila athari zilizotokana na vifo vya ghafla kwa wachomwaji wa kinga ya COVID ni njama ya kupunguza idadi ya watu duniani.
Pia kulitokea wale watafuta fursa kwenye mitandao ya kijamii, walioneza njama mfu ya kuwa kinga ya COVID ina chembechembe za kielectroniki(CHIP) ambazo ni mpango maalumu wa kusambza mlingonti ya teknologia ya 5G, ambazo zingetumika kuziendesha hizo CHIP zilizopandikizwa kwa njia ya chanjo na kuwa kila aliyechoma chanjo atakuwa anapokea maagizo kimtandao na ya kuteleza kama MSUKULE.
Haya tunahitaji mrejesho kwa wale waatalum waaliojulikana kama spin doctors.
cc Mathanzua, Let me get this straight about the COVID-19 vaccine
Anajifariji huyo achana naye.Kwa ujinga wake anaamini kwa kuwa miaka mitatu imepita tangu achanje, basi yupo safe.Wauaji hawa wapo very smart.Watu wakifa mara moja si watastukiwa?Ni kweli wapo walioathirika mara moja,lakini hawataki iwe immediate kwa kuwa itakuwa rahisi watu kujua source of the problem.Mbona na ambao hatukuchoma tunadunda. Au unafikiri mnaoendelea kudunda ni nyie mliochanjwa??
Mkuu upo sahihi,lakini ni kama unapigia mbuzi gitaa.Na kwa nini wengine wanafanya ngono zembe na walioathirika lakini mpaka sasa hawaja dhurika. Hii ni dhahiri kuwa ukimwi haupo na haya mambo ya uvaaji wa condom ni mpango wa mabeberu wa kutaka tusiongezeke.
Amandla...
I don't argue with fools!This is a very stupid answer.Lakini serikali ya Marekani imeshatoa report.Isome hapa👇
U.S. Government COVID-19 After-Action Report - The Conspiracy Theorists were RIGHT; Everyone else was wrong
There was nothing like Covid,it was a scam.Na sijui kwa nini you continue to deny the obvious,are you really so stupid?
Hivi let's be serious,mimi nisiyechanja niwe fool kuliko wewe uliyechanja!Waliowachanja wenyewe wanaosema mliochanja you are undiagnostic,stupid and fools.Infact wamesema chanjo ile ilikuwa na nia ya kuwa-cull kwanza the stupid and fools..Si unajua sasa hivi wanaendelea na culling of the heard.And I am not joking,this is what they have said.I don't argue with fools!
Hata mimi badoz na dundazMimi sijachoma mzima hadi leo.
They...they....they ...Hivi let's be serious,mimi nisiyechanja niwe fool kuliko wewe uliyechanja!Waliowachanja wenyewe wanaosema mliochanja you are undiagnostic,stupid and fools.Infact wamesema chanjo ile ilikuwa na nia ya kuwa-cull kwanza the stupid and fools..Si unajua sasa hivi wanaendelea na culling of the heard.And I am not joking,this is what they have said.
I am done,I am sure message umeipata.They ni wenye agenda ya depopulation or culling the heard.They...they....they ...
Who're these "they" thinking for you fool? Awake!