Waliosema chanjo ya COVID ni njama wamejizika na kuzikwa

Waliosema chanjo ya COVID ni njama wamejizika na kuzikwa

Sura sijui utaiweka wapi baada ya kusoma haya
====
Karibu
-----
Umeisoma hiyo ripoti au unakurupuka....
Leta kifungu kinachosema baada ya miaka kadhaa kupita, waliochomwa chanjo wameanza kufa kwa matokeo ya chanjo...
Na usilete upupu mitandaoni, tumia ripoti hiyo kama reference kujibu swali langu.....
 
h
Ni miaka takbiran mitatu sasa tokea nichomwe chanjo ya kuzuia maabukizi ya COVID (UVIKO).

Mimi nilichoma chanjo ya Pfizer Biontech, na zilikuwa dozi mbili zikipishasha wiki 6 mpaka miezi miwili.

Na mpaka sasa nadunda na miezi kadhaa iliyopita tulimkaribisha mgeni mpya wa dunia hii.

Zilikuwepo pilika nyingi sana za njama potofu (conspiracy theories) nyingi duniani kuhusu kuanzia uwepo wa ugonjwa wenyewe wa COVID na kuendelea mpaka kwenye chanjo yenyewe ya COVID

Waliibuka wataalamu wa kweli hasa kielimu kila pande za dunia kupinga na kusambaza habari potofu kuhusu maambukizi ya ugonjwa COVID na chanjo yake.
Walituaminisha njama potofu kedekede kuhusu maigizo yanayofanywa mahospitalini kuhudumia wagonjwa wa COVID ni kama sinema zinachezwa na kutangazwa na vyombo vya habari ambavyo vyote viko kwenye hii njama ya kuhadaa walimwengu.

Pia walijitokeza wataalamu wa utafiti wa kinga za kibaologia kwenye kila mitandao ya jamii, wakitutahadharisha athari za kinga ya COVID kuwa ni njama ya kuturaibu tuzoee dozi ya COVID kama uraibu wa madawa ya kulevya na pia kutunga na kuchombezea kila athari zilizotokana na vifo vya ghafla kwa wachomwaji wa kinga ya COVID ni njama ya kupunguza idadi ya watu duniani.

Pia kulitokea wale watafuta fursa kwenye mitandao ya kijamii, walioneza njama mfu ya kuwa kinga ya COVID ina chembechembe za kielectroniki(CHIP) ambazo ni mpango maalumu wa kusambza mlingonti ya teknologia ya 5G, ambazo zingetumika kuziendesha hizo CHIP zilizopandikizwa kwa njia ya chanjo na kuwa kila aliyechoma chanjo atakuwa anapokea maagizo kimtandao na ya kuteleza kama MSUKULE.

Haya tunahitaji mrejesho kwa wale waatalum waaliojulikana kama spin doctors.

cc Mathanzua, Let me get this straight about the COVID-19 vaccine
Mimi sikuchanja na bado nadunda tu 🤣🤣🤣🤣
 
h

Mimi sikuchanja na bado nadunda tu 🤣🤣🤣🤣
Hapo ndio tunajua tatizo ya elimu yetu, haina hata ya chembe kumfundisha mbongo maana ya kuchakachua hoja na kuielewa kabla kujibu
Wapi nimesema waliokataa kuchanjwa watakufa?
Mbona huko zilizotokea chanjo, wako maelfu hawakuchanjwa..
 
Sikuchoma sindano, Barakoa nilivaa kwenye taasisi fulani tu nilipotaka huduma tena kwa kulazimishwa ila mpaka leo nadunda, hamna cha Korona wala Babu yake Korona

Nahisi Watu waliochanjwa wakituona tusiochanja tunazidi kuchanja mbuga roho zinawauma sana😂, maana sio kwa makasiriko haya
walijua tutakufa
 
Kitu ulichopaswa kujiuliza ni kwanini wengine hawajachanja na COVID haikuwadhuru!
Na kwa nini wengine wanafanya ngono zembe na walioathirika lakini mpaka sasa hawaja dhurika. Hii ni dhahiri kuwa ukimwi haupo na haya mambo ya uvaaji wa condom ni mpango wa mabeberu wa kutaka tusiongezeke.

Amandla...
 
Hapo ndio tunajua tatizo ya elimu yetu, haina hata ya chembe kumfundisha mbongo maana ya kuchakachua hoja na kuielewa kabla kujibu
Wapi nimesema waliokataa kuchanjwa watakufa?
Mbona huko zilizotokea chanjo, wako maelfu hawakuchanjwa..
Mimi nina tatizo na watu wa Bima. Nimelipia ( tena comprehensive) kwa miaka mingi bila kupata ujali. Bila shaka ni mpango wa kula tu pesa yangu.

Amandla...
 
Kuna watu hawakuchanja za polio, kifua kikuu, surua, n.k. na bado wanadunda tu. Sijui kama kuna anayewaonea wivu.

Halafu karibuni itakuja chanjo ya HIV. Nasubiri kusikia conspiracy theories zake.
 
Ni miaka takbiran mitatu sasa tokea nichomwe chanjo ya kuzuia maabukizi ya COVID (UVIKO).

Mimi nilichoma chanjo ya Pfizer Biontech, na zilikuwa dozi mbili zikipishasha wiki 6 mpaka miezi miwili.

Na mpaka sasa nadunda na miezi kadhaa iliyopita tulimkaribisha mgeni mpya wa dunia hii.

Zilikuwepo pilika nyingi sana za njama potofu (conspiracy theories) nyingi duniani kuhusu kuanzia uwepo wa ugonjwa wenyewe wa COVID na kuendelea mpaka kwenye chanjo yenyewe ya COVID

Waliibuka wataalamu wa kweli hasa kielimu kila pande za dunia kupinga na kusambaza habari potofu kuhusu maambukizi ya ugonjwa COVID na chanjo yake.
Walituaminisha njama potofu kedekede kuhusu maigizo yanayofanywa mahospitalini kuhudumia wagonjwa wa COVID ni kama sinema zinachezwa na kutangazwa na vyombo vya habari ambavyo vyote viko kwenye hii njama ya kuhadaa walimwengu.

Pia walijitokeza wataalamu wa utafiti wa kinga za kibaologia kwenye kila mitandao ya jamii, wakitutahadharisha athari za kinga ya COVID kuwa ni njama ya kuturaibu tuzoee dozi ya COVID kama uraibu wa madawa ya kulevya na pia kutunga na kuchombezea kila athari zilizotokana na vifo vya ghafla kwa wachomwaji wa kinga ya COVID ni njama ya kupunguza idadi ya watu duniani.

Pia kulitokea wale watafuta fursa kwenye mitandao ya kijamii, walioneza njama mfu ya kuwa kinga ya COVID ina chembechembe za kielectroniki(CHIP) ambazo ni mpango maalumu wa kusambza mlingonti ya teknologia ya 5G, ambazo zingetumika kuziendesha hizo CHIP zilizopandikizwa kwa njia ya chanjo na kuwa kila aliyechoma chanjo atakuwa anapokea maagizo kimtandao na ya kuteleza kama MSUKULE.

Haya tunahitaji mrejesho kwa wale waatalum waaliojulikana kama spin doctors.

cc Mathanzua, Let me get this straight about the COVID-19 vaccine
Sina haja ya kusema mengi,ila soma ripoti ya serikali ya Marekani ifuatayo.You are talking of three years,three years ni muda mfupi sana.Wadanganye wadanganyika,sio watu wenye akili zao,mwenye akili anajua it was a scam.Kama it was something real kwa nini CEOs wote wa makampuni ya the so called chanjo za Covid hawakuchanjwa? Na kwa nini initially walisema kila mtu anayechanja asaini, ili akipata shida yeyote serikali isiwajibike.Isn't all this obvious kwamba hizo chanjo zina shida.This is obvious unless wewe ni zombie.So,wewe either ni zombie au umetumwa kudanganya watu na mabwana zako.Acha uovu huo mara moja.Wewe ndiye unayejua zaidi kuliko serikali ya Marekani au scientists kama sisi, stop that nonsense.I know how you are feeling kama umechanja,so unajaribu kujifariji,but the worst is yet to come.Frankly uamuzi uliofanya haukuwa sahihi kabisa.


Unaweza pia kusoma hapa👇

 
Ni miaka takbiran mitatu sasa tokea nichomwe chanjo ya kuzuia maabukizi ya COVID (UVIKO).

Mimi nilichoma chanjo ya Pfizer Biontech, na zilikuwa dozi mbili zikipishasha wiki 6 mpaka miezi miwili.

Na mpaka sasa nadunda na miezi kadhaa iliyopita tulimkaribisha mgeni mpya wa dunia hii.

Zilikuwepo pilika nyingi sana za njama potofu (conspiracy theories) nyingi duniani kuhusu kuanzia uwepo wa ugonjwa wenyewe wa COVID na kuendelea mpaka kwenye chanjo yenyewe ya COVID

Waliibuka wataalamu wa kweli hasa kielimu kila pande za dunia kupinga na kusambaza habari potofu kuhusu maambukizi ya ugonjwa COVID na chanjo yake.
Walituaminisha njama potofu kedekede kuhusu maigizo yanayofanywa mahospitalini kuhudumia wagonjwa wa COVID ni kama sinema zinachezwa na kutangazwa na vyombo vya habari ambavyo vyote viko kwenye hii njama ya kuhadaa walimwengu.

Pia walijitokeza wataalamu wa utafiti wa kinga za kibaologia kwenye kila mitandao ya jamii, wakitutahadharisha athari za kinga ya COVID kuwa ni njama ya kuturaibu tuzoee dozi ya COVID kama uraibu wa madawa ya kulevya na pia kutunga na kuchombezea kila athari zilizotokana na vifo vya ghafla kwa wachomwaji wa kinga ya COVID ni njama ya kupunguza idadi ya watu duniani.

Pia kulitokea wale watafuta fursa kwenye mitandao ya kijamii, walioneza njama mfu ya kuwa kinga ya COVID ina chembechembe za kielectroniki(CHIP) ambazo ni mpango maalumu wa kusambza mlingonti ya teknologia ya 5G, ambazo zingetumika kuziendesha hizo CHIP zilizopandikizwa kwa njia ya chanjo na kuwa kila aliyechoma chanjo atakuwa anapokea maagizo kimtandao na ya kuteleza kama MSUKULE.

Haya tunahitaji mrejesho kwa wale waatalum waaliojulikana kama spin doctors.

cc Mathanzua, Let me get this straight about the COVID-19 vaccine
Mbona na ambao hatukuchoma tunadunda. Au unafikiri mnaoendelea kudunda ni nyie mliochanjwa??
 
Mbona na ambao hatukuchoma tunadunda. Au unafikiri mnaoendelea kudunda ni nyie mliochanjwa??
Anajifariji huyo achana naye.Kwa ujinga wake anaamini kwa kuwa miaka mitatu imepita tangu achanje, basi yupo safe.Wauaji hawa wapo very smart.Watu wakifa mara moja si watastukiwa?Ni kweli wapo walioathirika mara moja,lakini hawataki iwe immediate kwa kuwa itakuwa rahisi watu kujua source of the problem.
 
Na kwa nini wengine wanafanya ngono zembe na walioathirika lakini mpaka sasa hawaja dhurika. Hii ni dhahiri kuwa ukimwi haupo na haya mambo ya uvaaji wa condom ni mpango wa mabeberu wa kutaka tusiongezeke.

Amandla...
Mkuu upo sahihi,lakini ni kama unapigia mbuzi gitaa.
 
I don't argue with fools!
Hivi let's be serious,mimi nisiyechanja niwe fool kuliko wewe uliyechanja!Waliowachanja wenyewe wanaosema mliochanja you are undiagnostic,stupid and fools.Infact wamesema chanjo ile ilikuwa na nia ya kuwa-cull kwanza the stupid and fools..Si unajua sasa hivi wanaendelea na culling of the heard.And I am not joking,this is what they have said.
 
Hivi let's be serious,mimi nisiyechanja niwe fool kuliko wewe uliyechanja!Waliowachanja wenyewe wanaosema mliochanja you are undiagnostic,stupid and fools.Infact wamesema chanjo ile ilikuwa na nia ya kuwa-cull kwanza the stupid and fools..Si unajua sasa hivi wanaendelea na culling of the heard.And I am not joking,this is what they have said.
They...they....they ...
Who're these "they" thinking for you fool? Awake!
 
Back
Top Bottom