Waliosema chanjo ya COVID ni njama wamejizika na kuzikwa

Waliosema chanjo ya COVID ni njama wamejizika na kuzikwa

Na declare kuwa SIKUCHANJA na mpaka sasa nipo bila tatizo lolote.
 
Mwingine huyu hapa
Hivi mmeelewa mleta mada anaongelea kuhusu nini
Au mnashoboka na komenti za muendelezo wa vilaza na kujibu
Halafu wewe sikushangai, uzee ukianza kutinga akili inarudi nyuma
Usipaniki kijana! Nipe tofauti hapa kati ya nyinyi mlioingia mkenge wa kuchanjwa hiyo chanjo yenu, na sisi ambao hatukuchanjwa!
 
Ni miaka takbiran mitatu sasa tokea nichomwe chanjo ya kuzuia maabukizi ya COVID (UVIKO).

Mimi nilichoma chanjo ya Pfizer Biontech, na zilikuwa dozi mbili zikipishasha wiki 6 mpaka miezi miwili.

Na mpaka sasa nadunda na miezi kadhaa iliyopita tulimkaribisha mgeni mpya wa dunia hii.

Zilikuwepo pilika nyingi sana za njama potofu (conspiracy theories) nyingi duniani kuhusu kuanzia uwepo wa ugonjwa wenyewe wa COVID na kuendelea mpaka kwenye chanjo yenyewe ya COVID

Waliibuka wataalamu wa kweli hasa kielimu kila pande za dunia kupinga na kusambaza habari potofu kuhusu maambukizi ya ugonjwa COVID na chanjo yake.
Walituaminisha njama potofu kedekede kuhusu maigizo yanayofanywa mahospitalini kuhudumia wagonjwa wa COVID ni kama sinema zinachezwa na kutangazwa na vyombo vya habari ambavyo vyote viko kwenye hii njama ya kuhadaa walimwengu.

Pia walijitokeza wataalamu wa utafiti wa kinga za kibaologia kwenye kila mitandao ya jamii, wakitutahadharisha athari za kinga ya COVID kuwa ni njama ya kuturaibu tuzoee dozi ya COVID kama uraibu wa madawa ya kulevya na pia kutunga na kuchombezea kila athari zilizotokana na vifo vya ghafla kwa wachomwaji wa kinga ya COVID ni njama ya kupunguza idadi ya watu duniani.

Pia kulitokea wale watafuta fursa kwenye mitandao ya kijamii, walioneza njama mfu ya kuwa kinga ya COVID ina chembechembe za kielectroniki(CHIP) ambazo ni mpango maalumu wa kusambza mlingonti ya teknologia ya 5G, ambazo zingetumika kuziendesha hizo CHIP zilizopandikizwa kwa njia ya chanjo na kuwa kila aliyechoma chanjo atakuwa anapokea maagizo kimtandao na ya kuteleza kama MSUKULE.

Haya tunahitaji mrejesho kwa wale waatalum waaliojulikana kama spin doctors....

cc Mathanzua
UNA ROHO MBAYA KABISA
unasikitika kwamba tusiochoma bado tupo.
 
Ni miaka takbiran mitatu sasa tokea nichomwe chanjo ya kuzuia maabukizi ya COVID (UVIKO).

Mimi nilichoma chanjo ya Pfizer Biontech, na zilikuwa dozi mbili zikipishasha wiki 6 mpaka miezi miwili.

Na mpaka sasa nadunda na miezi kadhaa iliyopita tulimkaribisha mgeni mpya wa dunia hii.

Zilikuwepo pilika nyingi sana za njama potofu (conspiracy theories) nyingi duniani kuhusu kuanzia uwepo wa ugonjwa wenyewe wa COVID na kuendelea mpaka kwenye chanjo yenyewe ya COVID

Waliibuka wataalamu wa kweli hasa kielimu kila pande za dunia kupinga na kusambaza habari potofu kuhusu maambukizi ya ugonjwa COVID na chanjo yake.
Walituaminisha njama potofu kedekede kuhusu maigizo yanayofanywa mahospitalini kuhudumia wagonjwa wa COVID ni kama sinema zinachezwa na kutangazwa na vyombo vya habari ambavyo vyote viko kwenye hii njama ya kuhadaa walimwengu.

Pia walijitokeza wataalamu wa utafiti wa kinga za kibaologia kwenye kila mitandao ya jamii, wakitutahadharisha athari za kinga ya COVID kuwa ni njama ya kuturaibu tuzoee dozi ya COVID kama uraibu wa madawa ya kulevya na pia kutunga na kuchombezea kila athari zilizotokana na vifo vya ghafla kwa wachomwaji wa kinga ya COVID ni njama ya kupunguza idadi ya watu duniani.

Pia kulitokea wale watafuta fursa kwenye mitandao ya kijamii, walioneza njama mfu ya kuwa kinga ya COVID ina chembechembe za kielectroniki(CHIP) ambazo ni mpango maalumu wa kusambza mlingonti ya teknologia ya 5G, ambazo zingetumika kuziendesha hizo CHIP zilizopandikizwa kwa njia ya chanjo na kuwa kila aliyechoma chanjo atakuwa anapokea maagizo kimtandao na ya kuteleza kama MSUKULE.

Haya tunahitaji mrejesho kwa wale waatalum waaliojulikana kama spin doctors....

cc Mathanzua
COVID-19 USA biotech military cartel
Hapo waswahili wanasema utajiju, watu wengi wamekufa kutokana na hizo sindano za kinga, ni strategies za USA kupunguza watu kwa njia yeyote. Sasa hivi watu wanakufa sana akishastaafu kazi, wale wazee wa kutembea kwa mkongojo hakuna Tena wa miaka 100+ . Siku hizi 60+ chali ukiwa na afya na hali nzuri kwa nje. Vyakula, vyakula, vyakula, vyakula, vyakula narudia vyakula vyakula vinatumaliza GMO food.

View: https://youtu.be/morj-3rdWwM?si=X_KTSiEt7Ej09wfz

COVID-19 - USA weapon of Mass destruction of human kind.


View: https://youtu.be/D1t4KYNjHPY?si=Y3yH8AuguqFwvBRB
 
Sasa wewe umechanja unadunda unajisifia
Si tujisifie sisi ambao hatukuchanja tunadunda.
Nyie subirini usikute hiyo chanjo itaanza kazi baada ya miaka 7
 
Waliodungwa machanjo wanajifariji kwa sababu hawajui nini kimeingia kwenye miili yao, WANAHAHA!

Stop justifying your ignorance, deal with the consequences as a matured man. PAMBANA NA HALI YAKO.

Yaani unataka tukae hapa tunakufariji kwamba CHANJO NI NZURI au kwamba eti ULIFANYA MAAMUZI SAHIHI YA KUDUNGWAA.... NOOO. HAKUNAGA.

PAMBANA, ukilikoroga lazima ulinywe, tena ulinywe peke yako.
Cha ajabu unayecomment hapa umempeleka mwanao kuchanjwa polio!! Kama chanjo ni sumu basi usimchanje mwanao tuone kama atatoboa!!

Mzungu akitaka kukumaliza atakumaliza hata kwa panadol tu!! Acheni ujuaji
 
Usichokijua nyamaza! Kwenye familia yangu madhara ya chanjo nimeyaona! Acha kabisa
Madhara gani? Mlisema chanjo haitasaidia kitu mbona huko ulaya cases zimepungua tokea chanjo iletwe? Kejeli zenu zilisaida nni
 
Sikuchoma sindano, Barakoa nilivaa kwenye taasisi tu fulani tu nilipotaka huduma tena kwa kulazimishwa ila mpaka leo nadunda, hamna cha Korona wala Babu yake Korona

Nahisi Watu waliochanjwa wakituona tusiochanja tunazidi kuchanja mbuga roho zinawauma sana😂, maana sio kwa makasiriko haya
Nyie ndio mlisema watakufa sijui watakua mazombie mara chanjo ndio inaongeza covid na sio kupunguza. Ndio tunauliza hayo matokeo yenu mliyotabiri yamefia wapi?
 
Ni miaka takbiran mitatu sasa tokea nichomwe chanjo ya kuzuia maabukizi ya COVID (UVIKO).

Mimi nilichoma chanjo ya Pfizer Biontech, na zilikuwa dozi mbili zikipishasha wiki 6 mpaka miezi miwili.

Na mpaka sasa nadunda na miezi kadhaa iliyopita tulimkaribisha mgeni mpya wa dunia hii.

Zilikuwepo pilika nyingi sana za njama potofu (conspiracy theories) nyingi duniani kuhusu kuanzia uwepo wa ugonjwa wenyewe wa COVID na kuendelea mpaka kwenye chanjo yenyewe ya COVID

Waliibuka wataalamu wa kweli hasa kielimu kila pande za dunia kupinga na kusambaza habari potofu kuhusu maambukizi ya ugonjwa COVID na chanjo yake.
Walituaminisha njama potofu kedekede kuhusu maigizo yanayofanywa mahospitalini kuhudumia wagonjwa wa COVID ni kama sinema zinachezwa na kutangazwa na vyombo vya habari ambavyo vyote viko kwenye hii njama ya kuhadaa walimwengu.

Pia walijitokeza wataalamu wa utafiti wa kinga za kibaologia kwenye kila mitandao ya jamii, wakitutahadharisha athari za kinga ya COVID kuwa ni njama ya kuturaibu tuzoee dozi ya COVID kama uraibu wa madawa ya kulevya na pia kutunga na kuchombezea kila athari zilizotokana na vifo vya ghafla kwa wachomwaji wa kinga ya COVID ni njama ya kupunguza idadi ya watu duniani.

Pia kulitokea wale watafuta fursa kwenye mitandao ya kijamii, walioneza njama mfu ya kuwa kinga ya COVID ina chembechembe za kielectroniki(CHIP) ambazo ni mpango maalumu wa kusambza mlingonti ya teknologia ya 5G, ambazo zingetumika kuziendesha hizo CHIP zilizopandikizwa kwa njia ya chanjo na kuwa kila aliyechoma chanjo atakuwa anapokea maagizo kimtandao na ya kuteleza kama MSUKULE.

Haya tunahitaji mrejesho kwa wale waatalum waaliojulikana kama spin doctors....

cc Mathanzua
Na nyie mliochoma hizo chanjo za Covid 19 mlikua mnatuombea mabaya sisi tusiochoma ili tufe ,uzuri Mungu sio Athumani bado tunadunda.
Ila ninyi.hamtoboi miaka 90
 
Mwingine huyu hapa
Hivi mmeelewa mleta mada anaongelea kuhusu nini
Au mnashoboka na komenti za muendelezo wa vilaza na kujibu
Halafu wewe sikushangai, uzee ukianza kutinga akili inarudi nyuma
Mkuu pole jiandae na side effect za hizo chanjo!
 
Risk rate: according to government guidance from June 2021, around 10 people develop this condition for every million of AZ vaccine doses given. That’s 0.001%.

Kwaniyo 0.001% ndio useme kuna madhara? Mnachekesha kweli. Ukisoma hiyo tafiti hapo chini wameandika kwamba kukaa kwenye ndege muda mrefu kunachangia damu kuganda kwa 0.05 yaani wanaopanda ndege wana risk zaidi ya kuganda damu kuliko watu million 60 waliochanjwa uingereza.

So acheni upotoshaji
 
Niko pale naisubiria hiyo panado yake animalize lakini CHANJO NEHI.

Hayo MACHANJO dunganeni wenyewe MNENEPE MIKIA.

Mimi na familia yangu tutakunywa maji tu. NA CHAI.

Cc: Lamomy Kapeace
Huna akili ndio maana, sasa chanjo ya polio mbona ulipigwa ukiwa mdogo na mtoto wako ulimpiga chanjo ya polio alipokua mdogo!! Ila kutopiga ya Covid 19 ndio unajiona mjanja? Sasa mbona hamna ulichokwepa if at all nia ya wazungu ni kutupa chanjo mbaya!!
 
Huna akili ndio maana, sasa chanjo ya polio mbona ulipigwa ukiwa mdogo na mtoto wako ulimpiga chanjo ya polio alipokua mdogo!! Ila kutopiga ya Covid 19 ndio unajiona mjanja? Sasa mbona hamna ulichokwepa if at all nia ya wazungu ni kutupa chanjo mbaya!!
Kuna watu wengine haihitaji hata kwakwoti, ni waste of space
Usipoteze muda wako na hawa vilaza....
 
Na nyie mliochoma hizo chanjo za Covid 19 mlikua mnatuombea mabaya sisi tusiochoma ili tufe ,uzuri Mungu sio Athumani bado tunadunda.
Ila ninyi.hamtoboi miaka 90
Huu mjadala sio kijiwe cha fundi baisikeli
 
Mwanzoni watu waliamini ukimwi ni pigo la Mungu, sasa watu wengi wamefunguka na kujua ni pigo la binadamu. Virusi vilitengenezwa maabara. Covid19 nayo ni biashara, ni kama mtu unapoamua kuuwa ili ufanikiwe.
Ukimwi na Corona vyote ni mapigo ya Mungu 100%.
 
Kuvuka barabara huku umefunga macho na ukafika salama si jambo la ajabu, ila ni ajabu endapo utajisifu na kujitolea mfano kwa hilo
Wewe wakati unapeleka watoto wako chanjo huwa umefunga macho

Badu tuna mawazo ya kizamani, kuwa chanjo sahihi ile iliyopoteza miaka mingi kufanya utafiti kwa mtindo wa kizamani

Kwanza sisi huku hatutatikiwi hata kuongea, maana kila kitu tunakinga mikono tu, si chanjo chanjo zozote pamoja na madawa yenyewe


Wakati wenyewe wanajua madhumuni hasa ya matumizi ya AI, ambapo kwetu tuna upeo wa kuishia kufurahia chatgpt


 
Ukweli wa COVID vaccine - watu wameumia sana na wanaendelea kufa na kupata vilema vya maisha. Sikiliza wabobezi wa haya mambo dunia nzima inatetemeka, watu wako katika hali mbaya. Kama ulichoma ni muda tu bado immunity zako ziko strong lakini zitachoka tu utaanza kupata maradhi aina mbalimbali.


View: https://youtu.be/GqRh911Q1Hs?si=Q4zJHSOYHiegCh59

Hawa ni vilaza wa mitandaoni walishakata pumzi na hizi mbaambaaa
 
Back
Top Bottom