Waliosema chanjo ya COVID ni njama wamejizika na kuzikwa

Waliosema chanjo ya COVID ni njama wamejizika na kuzikwa

Ni miaka takbiran mitatu sasa tokea nichomwe chanjo ya kuzuia maabukizi ya COVID (UVIKO).

Mimi nilichoma chanjo ya Pfizer Biontech, na zilikuwa dozi mbili zikipishasha wiki 6 mpaka miezi miwili.

Na mpaka sasa nadunda na miezi kadhaa iliyopita tulimkaribisha mgeni mpya wa dunia hii.

Zilikuwepo pilika nyingi sana za njama potofu (conspiracy theories) nyingi duniani kuhusu kuanzia uwepo wa ugonjwa wenyewe wa COVID na kuendelea mpaka kwenye chanjo yenyewe ya COVID

Waliibuka wataalamu wa kweli hasa kielimu kila pande za dunia kupinga na kusambaza habari potofu kuhusu maambukizi ya ugonjwa COVID na chanjo yake.
Walituaminisha njama potofu kedekede kuhusu maigizo yanayofanywa mahospitalini kuhudumia wagonjwa wa COVID ni kama sinema zinachezwa na kutangazwa na vyombo vya habari ambavyo vyote viko kwenye hii njama ya kuhadaa walimwengu.

Pia walijitokeza wataalamu wa utafiti wa kinga za kibaologia kwenye kila mitandao ya jamii, wakitutahadharisha athari za kinga ya COVID kuwa ni njama ya kuturaibu tuzoee dozi ya COVID kama uraibu wa madawa ya kulevya na pia kutunga na kuchombezea kila athari zilizotokana na vifo vya ghafla kwa wachomwaji wa kinga ya COVID ni njama ya kupunguza idadi ya watu duniani.

Pia kulitokea wale watafuta fursa kwenye mitandao ya kijamii, walioneza njama mfu ya kuwa kinga ya COVID ina chembechembe za kielectroniki(CHIP) ambazo ni mpango maalumu wa kusambza mlingonti ya teknologia ya 5G, ambazo zingetumika kuziendesha hizo CHIP zilizopandikizwa kwa njia ya chanjo na kuwa kila aliyechoma chanjo atakuwa anapokea maagizo kimtandao na ya kuteleza kama MSUKULE.

Haya tunahitaji mrejesho kwa wale waatalum waaliojulikana kama spin doctors....

cc Mathanzua
Na sisi ambao hatukuchoma na tunadunda unatuweka kundi gani
 
Kuna watu niwapumbavu Sana. Sasa Kama ninjama wazungu wakuuwe wewe una athari gani 😅 wangetaka kuuwa wanaweza tangu ulipoanza kuchomwa chanjo ya kwanza ukiwa hujielewi ... Unachotajiwa kujua asilimia kubwa ya maisha yako wewe mwafrica yanapiganiwa na wazungu , wahindi na wachina. Kama hujawahi kutumia dawa zao Andika hapa
 
Special military operation ya Russia ilivyoanza dhidi ya Ukraine,Covid nayo ikakata.
Wazungu sio watu,wana weza kutengeneza jambo ili kupata faida.
 
Mungu pekee atosha na ndio chanjo kubwa kuliko zote .............tuliosema mungu pekee atosha tunadunda mpaka leo.............wale wa kumuamini binadamu mwenzako ndio tumewazika wengi sana.............sometimes tuamini kwa mungu tu hayo mengine nyongeza
Mungu gani???,kila jamii hapa Duniani ina Mungu wake.
 
Juzi kazini kwangu alikuja mama na mumewe mama akasema mume wake ana corona walikuja holiday
That man alikuwa na Hali mbaya I got scared.
Nitaiangalia group name niwaambie vizuri majina yao.
Corona IPO bado.
 
Ni miaka takbiran mitatu sasa tokea nichomwe chanjo ya kuzuia maabukizi ya COVID (UVIKO).

Mimi nilichoma chanjo ya Pfizer Biontech, na zilikuwa dozi mbili zikipishasha wiki 6 mpaka miezi miwili.

Na mpaka sasa nadunda na miezi kadhaa iliyopita tulimkaribisha mgeni mpya wa dunia hii.

Zilikuwepo pilika nyingi sana za njama potofu (conspiracy theories) nyingi duniani kuhusu kuanzia uwepo wa ugonjwa wenyewe wa COVID na kuendelea mpaka kwenye chanjo yenyewe ya COVID

Waliibuka wataalamu wa kweli hasa kielimu kila pande za dunia kupinga na kusambaza habari potofu kuhusu maambukizi ya ugonjwa COVID na chanjo yake.
Walituaminisha njama potofu kedekede kuhusu maigizo yanayofanywa mahospitalini kuhudumia wagonjwa wa COVID ni kama sinema zinachezwa na kutangazwa na vyombo vya habari ambavyo vyote viko kwenye hii njama ya kuhadaa walimwengu.

Pia walijitokeza wataalamu wa utafiti wa kinga za kibaologia kwenye kila mitandao ya jamii, wakitutahadharisha athari za kinga ya COVID kuwa ni njama ya kuturaibu tuzoee dozi ya COVID kama uraibu wa madawa ya kulevya na pia kutunga na kuchombezea kila athari zilizotokana na vifo vya ghafla kwa wachomwaji wa kinga ya COVID ni njama ya kupunguza idadi ya watu duniani.

Pia kulitokea wale watafuta fursa kwenye mitandao ya kijamii, walioneza njama mfu ya kuwa kinga ya COVID ina chembechembe za kielectroniki(CHIP) ambazo ni mpango maalumu wa kusambza mlingonti ya teknologia ya 5G, ambazo zingetumika kuziendesha hizo CHIP zilizopandikizwa kwa njia ya chanjo na kuwa kila aliyechoma chanjo atakuwa anapokea maagizo kimtandao na ya kuteleza kama MSUKULE.

Haya tunahitaji mrejesho kwa wale waatalum waaliojulikana kama spin doctors....

cc Mathanzua
Mkuu hivi hujiulizi kwa nini Covid 19 iliondolewa haraka haraka kwenye magonjwa hatari duniani? Haijawahi tokea ni mara ya kwanza ugonjwa hatari unaondolewa kwenye orodha haraka haraka hivyo. Fikiri nje ya box hao wazungu walikuwa na mission yao na walitimiza. Wewe endelea kusubiria tu matokeo yanaweza kutokea kwako au kwa uzao wako.
 
Juzi kazini kwangu alikuja mama na mumewe mama akasema mume wake ana corona walikuja holiday
That man alikuwa na Hali mbaya I got scared.
Nitaiangalia group name niwaambie vizuri majina yao.
Corona IPO bado.
Kwani wewe unafikiri haupo? Lakini siyo hatarishi tena na haupo kwenye orodha ya magonjwa hatarishi duniani. Mission completed!!
 
Sio kwamba wale waliochoma mkiwaona wanapeta ndio mnashindwa kujielewa na ujinga wenu mliokuwa mnasambaza kwamba watakufa muda sio mrefu
Wengine walisema waliochanja watageuka mazombi! Kuna watu ni wajinga sana wa kurithi.
 
Mkuu hivi hujiulizi kwa nini Covid 19 iliondolewa haraka haraka kwenye magonjwa hatari duniani? Haijawahi tokea ni mara ya kwanza ugonjwa hatari unaondolewa kwenye orodha haraka haraka hivyo. Fikiri nje ya box hao wazungu walikuwa na mission yao na walitimiza. Wewe endelea kusubiria tu matokeo yanaweza kutokea kwako au kwa uzao wako.
Hujui chochote kuhusu "pandemic".
 
Ni miaka takbiran mitatu sasa tokea nichomwe chanjo ya kuzuia maabukizi ya COVID (UVIKO).

Mimi nilichoma chanjo ya Pfizer Biontech, na zilikuwa dozi mbili zikipishasha wiki 6 mpaka miezi miwili.

Na mpaka sasa nadunda na miezi kadhaa iliyopita tulimkaribisha mgeni mpya wa dunia hii.

Zilikuwepo pilika nyingi sana za njama potofu (conspiracy theories) nyingi duniani kuhusu kuanzia uwepo wa ugonjwa wenyewe wa COVID na kuendelea mpaka kwenye chanjo yenyewe ya COVID

Waliibuka wataalamu wa kweli hasa kielimu kila pande za dunia kupinga na kusambaza habari potofu kuhusu maambukizi ya ugonjwa COVID na chanjo yake.
Walituaminisha njama potofu kedekede kuhusu maigizo yanayofanywa mahospitalini kuhudumia wagonjwa wa COVID ni kama sinema zinachezwa na kutangazwa na vyombo vya habari ambavyo vyote viko kwenye hii njama ya kuhadaa walimwengu.

Pia walijitokeza wataalamu wa utafiti wa kinga za kibaologia kwenye kila mitandao ya jamii, wakitutahadharisha athari za kinga ya COVID kuwa ni njama ya kuturaibu tuzoee dozi ya COVID kama uraibu wa madawa ya kulevya na pia kutunga na kuchombezea kila athari zilizotokana na vifo vya ghafla kwa wachomwaji wa kinga ya COVID ni njama ya kupunguza idadi ya watu duniani.

Pia kulitokea wale watafuta fursa kwenye mitandao ya kijamii, walioneza njama mfu ya kuwa kinga ya COVID ina chembechembe za kielectroniki(CHIP) ambazo ni mpango maalumu wa kusambza mlingonti ya teknologia ya 5G, ambazo zingetumika kuziendesha hizo CHIP zilizopandikizwa kwa njia ya chanjo na kuwa kila aliyechoma chanjo atakuwa anapokea maagizo kimtandao na ya kuteleza kama MSUKULE.

Haya tunahitaji mrejesho kwa wale waatalum waaliojulikana kama spin doctors....

cc Mathanzua
Umetumwaa??
 
Mungu pekee atosha na ndio chanjo kubwa kuliko zote .............tuliosema mungu pekee atosha tunadunda mpaka leo.............wale wa kumuamini binadamu mwenzako ndio tumewazika wengi sana.............sometimes tuamini kwa mungu tu hayo mengine nyongeza
Acheni sasa kuwachanja watoto wanaozaliwa chanjo zozote.
 
Mkuu nenda kafanye utafiti kwenye familia ambazo watu walichoma hizi chanjo.
Binafsi nimezika wapendwa wangu waliokuwa viranga kushupalia hizi chanjo. Wapendwa wangu wanne wamezikwa kizembe zembe tu!
 
Mandezi hamjamaliza hata miaka 5 mnaanza kuvimba hiyo kitu imeimgia kwenye DNA yako kwa hiyo madhara yake sio lazima wewe hata uzao wako watayatumikia tu.

Unakuja kuwatesa watoto watakaozaliwa kwa Upumbavu wako
 
Ni miaka takbiran mitatu sasa tokea nichomwe chanjo ya kuzuia maabukizi ya COVID (UVIKO).

Mimi nilichoma chanjo ya Pfizer Biontech, na zilikuwa dozi mbili zikipishasha wiki 6 mpaka miezi miwili.

Na mpaka sasa nadunda na miezi kadhaa iliyopita tulimkaribisha mgeni mpya wa dunia hii.

Zilikuwepo pilika nyingi sana za njama potofu (conspiracy theories) nyingi duniani kuhusu kuanzia uwepo wa ugonjwa wenyewe wa COVID na kuendelea mpaka kwenye chanjo yenyewe ya COVID

Waliibuka wataalamu wa kweli hasa kielimu kila pande za dunia kupinga na kusambaza habari potofu kuhusu maambukizi ya ugonjwa COVID na chanjo yake.
Walituaminisha njama potofu kedekede kuhusu maigizo yanayofanywa mahospitalini kuhudumia wagonjwa wa COVID ni kama sinema zinachezwa na kutangazwa na vyombo vya habari ambavyo vyote viko kwenye hii njama ya kuhadaa walimwengu.

Pia walijitokeza wataalamu wa utafiti wa kinga za kibaologia kwenye kila mitandao ya jamii, wakitutahadharisha athari za kinga ya COVID kuwa ni njama ya kuturaibu tuzoee dozi ya COVID kama uraibu wa madawa ya kulevya na pia kutunga na kuchombezea kila athari zilizotokana na vifo vya ghafla kwa wachomwaji wa kinga ya COVID ni njama ya kupunguza idadi ya watu duniani.

Pia kulitokea wale watafuta fursa kwenye mitandao ya kijamii, walioneza njama mfu ya kuwa kinga ya COVID ina chembechembe za kielectroniki(CHIP) ambazo ni mpango maalumu wa kusambza mlingonti ya teknologia ya 5G, ambazo zingetumika kuziendesha hizo CHIP zilizopandikizwa kwa njia ya chanjo na kuwa kila aliyechoma chanjo atakuwa anapokea maagizo kimtandao na ya kuteleza kama MSUKULE.

Haya tunahitaji mrejesho kwa wale waatalum waaliojulikana kama spin doctors....

cc Mathanzua
Low IQ mbona kwa wazungu walio chomwa wamekufa wengi sana na covid tumia akili
 
Back
Top Bottom