Waliosema chanjo ya COVID ni njama wamejizika na kuzikwa

Waliosema chanjo ya COVID ni njama wamejizika na kuzikwa

Wewe wakati unapeleka watoto wako chanjo huwa umefunga macho

Badu tuna mawazo ya kizamani, kuwa chanjo sahihi ile iliyopoteza miaka mingi kufanya utafiti kwa mtindo wa kizamani

Kwanza sisi huku hatutatikiwi hata kuongea, maana kila kitu tunakinga mikono tu, si chanjo chanjo zozote pamoja na madawa yenyewe


Wakati wenyewe wanajua madhumuni hasa ya matumizi ya AI, ambapo kwetu tuna upeo wa kuishia kufurahia chatgpt


Ndio, nafunga macho. Ila siwezi kuja kujitolea mfano na kujisifu kwa hilo.
 
Risk rate: according to government guidance from June 2021, around 10 people develop this condition for every million of AZ vaccine doses given. That’s 0.001%.

Kwaniyo 0.001% ndio useme kuna madhara? Mnachekesha kweli. Ukisoma hiyo tafiti hapo chini wameandika kwamba kukaa kwenye ndege muda mrefu kunachangia damu kuganda kwa 0.05 yaani wanaopanda ndege wana risk zaidi ya kuganda damu kuliko watu million 60 waliochanjwa uingereza.

So acheni upotoshaji
Mtoto wangu wa kumzaa ameanguka katika hiyo 0.001%! Nahangaika naye.
 
Ni miaka takbiran mitatu sasa tokea nichomwe chanjo ya kuzuia maabukizi ya COVID (UVIKO).

Mimi nilichoma chanjo ya Pfizer Biontech, na zilikuwa dozi mbili zikipishasha wiki 6 mpaka miezi miwili.

Na mpaka sasa nadunda na miezi kadhaa iliyopita tulimkaribisha mgeni mpya wa dunia hii.

Zilikuwepo pilika nyingi sana za njama potofu (conspiracy theories) nyingi duniani kuhusu kuanzia uwepo wa ugonjwa wenyewe wa COVID na kuendelea mpaka kwenye chanjo yenyewe ya COVID

Waliibuka wataalamu wa kweli hasa kielimu kila pande za dunia kupinga na kusambaza habari potofu kuhusu maambukizi ya ugonjwa COVID na chanjo yake.
Walituaminisha njama potofu kedekede kuhusu maigizo yanayofanywa mahospitalini kuhudumia wagonjwa wa COVID ni kama sinema zinachezwa na kutangazwa na vyombo vya habari ambavyo vyote viko kwenye hii njama ya kuhadaa walimwengu.

Pia walijitokeza wataalamu wa utafiti wa kinga za kibaologia kwenye kila mitandao ya jamii, wakitutahadharisha athari za kinga ya COVID kuwa ni njama ya kuturaibu tuzoee dozi ya COVID kama uraibu wa madawa ya kulevya na pia kutunga na kuchombezea kila athari zilizotokana na vifo vya ghafla kwa wachomwaji wa kinga ya COVID ni njama ya kupunguza idadi ya watu duniani.

Pia kulitokea wale watafuta fursa kwenye mitandao ya kijamii, walioneza njama mfu ya kuwa kinga ya COVID ina chembechembe za kielectroniki(CHIP) ambazo ni mpango maalumu wa kusambza mlingonti ya teknologia ya 5G, ambazo zingetumika kuziendesha hizo CHIP zilizopandikizwa kwa njia ya chanjo na kuwa kila aliyechoma chanjo atakuwa anapokea maagizo kimtandao na ya kuteleza kama MSUKULE.

Haya tunahitaji mrejesho kwa wale waatalum waaliojulikana kama spin doctors....

cc Mathanzua

View: https://youtu.be/Y1mCsSAipwM?si=8Unf3sdEDrb1s0j9
Hapo vipi kwa waliochanja utajijuu chanjo nyingi zilikuwa fake especially zilizokuja uku Africa na Asia hapo ni muda utaanza kulia na kusaga meno.
 
Labda huko kwenu ndo mlijizika.

Sisi kwetu hatujachanja na tuko poa tunadunda tu.

Nyie mliochanja hamdundi kwa lolote mnajifariji tu, labda makalio yenu tu ndo yanadunda maana sio kwa masindano yalee, lazima kalio litetemeke.

Sumu haionjwiiiii.... ABADANI.

Yaani nidunge chanjo ili iweje kwa mfano? Kwa minajili ipi? WHY? HOW? WHERE?

Excuse me!
Naona umejikita kwenye chanjo tu.
Kwani hizo dawa zingine za hospitalini una uhakika gani kwamba ni salama?
Dawa nyingi za hospitalini zinanunuliwa toka nje ya nchi kama ilivyo chanjo.
Wanaofanya hujuma kwenye chanjo kwani watashindwa nini kufanya hujuma kwenye dawa zingine?
 
Kitu ulichopaswa kujiuliza ni kwanini wengine hawajachanja na COVID haikuwadhuru!
Hata ambao hawalali na neti pia wamo ambao huwa hawapati maralia. Covid ilitugawa kwa uelewa wetu. Unafikiri beberu akitaka kukudhuru njia iliyopo ni chanjo pekee?! Sisi ulimwengu wa tatu bado ndio dumping market ya bidhaa za mabeberu hivyo si rahisi mabeberu kuuwa soko lao yaani sisi, ni sawa na mfugaji anavyowapa kuku wake chanjo ili wasidhurike na magonjwa, kama kuku ataitafsiri hiyo chanjo kuwa ni sumu hizo ni fikra zake sasa.
 
Hata ambao hawalali na neti pia wamo ambao huwa hawapati maralia. Covid ilitugawa kwa uelewa wetu. Unafikiri beberu akitaka kukudhuru njia iliyopo ni chanjo pekee?! Sisi ulimwengu wa tatu bado ndio dumping market ya bidhaa za mabeberu hivyo si rahisi mabeberu kuuwa soko lao yaani sisi, ni sawa na mfugaji anavyowapa kuku wake chanjo ili wasidhurike na magonjwa, kama kuku ataitafsiri hiyo chanjo kuwa ni sumu hizo ni fikra zake sasa.
Hiyo chanjo ilikua na sifa zote za kutoaminika...

Watu wanapaswa wajue kuchanganua mambo sio kila unachotengenezewa na mzungu ni kizuri na bora.
 
Waliodungwa machanjo wanajifariji kwa sababu hawajui nini kimeingia kwenye miili yao, WANAHAHA!

Stop justifying your ignorance, deal with the consequences as a matured man. PAMBANA NA HALI YAKO.

Yaani unataka tukae hapa tunakufariji kwamba CHANJO NI NZURI au kwamba eti ULIFANYA MAAMUZI SAHIHI YA KUDUNGWAA.... NOOO. HAKUNAGA.

PAMBANA, ukilikoroga lazima ulinywe, tena ulinywe peke yako.
Unataka kusema chanjo zilikuwa na chembechembe za mafuta ya yule msomali
 
Huna akili ndio maana, sasa chanjo ya polio mbona ulipigwa ukiwa mdogo na mtoto wako ulimpiga chanjo ya polio alipokua mdogo!! Ila kutopiga ya Covid 19 ndio unajiona mjanja? Sasa mbona hamna ulichokwepa if at all nia ya wazungu ni kutupa chanjo mbaya!!
Ushindwe na ulegee.

Hizo chanjo JIDUNGE mwenyewe na wanao.

Mimi na familia yangu tutakunywa maji tu NA CHAI.
 
Jamani acha huu ugonjwa ubaki ulivo. Kwa anaeropoka hapa hayajamkuta ndo maan uwe na akili ya kusema ujiskiavyo wengine hapa tulichanjwa tena kwa ulazima flani kwa mda ule na bado tupo hai na tunaendelea vizur kwa mambo ya 6by6 na wanawake wanapata wanachokihitaji pamoja na mapfizer na cjui nin mwilini. Yani hapa jambo kuu ni kumshukuru Mungu kwa kutuepusha na janga hilo ndugu zangu.
 
Waliibuka wataalamu wa kweli hasa kielimu kila pande za dunia kupinga na kusambaza habari potofu kuhusu maambukizi ya ugonjwa COVID na chanjo yake.
Walituaminisha njama potofu kedekede kuhusu maigizo yanayofanywa mahospitalini kuhudumia wagonjwa wa COVID ni kama sinema zinachezwa na kutangazwa na vyombo vya habari ambavyo vyote viko kwenye hii njama ya kuhadaa walimwengu.

Pia walijitokeza wataalamu wa utafiti wa kinga za kibaologia kwenye kila mitandao ya jamii, wakitutahadharisha athari za kinga ya COVID kuwa ni njama ya kuturaibu tuzoee dozi ya COVID kama uraibu wa madawa ya kulevya na pia kutunga na kuchombezea kila athari zilizotokana na vifo vya ghafla kwa wachomwaji wa kinga ya COVID ni njama ya kupunguza idadi ya watu duniani.
Sura sijui utaiweka wapi baada ya kusoma haya
====
Karibu
-----
 
Ni miaka takbiran mitatu sasa tokea nichomwe chanjo ya kuzuia maabukizi ya COVID (UVIKO).

Mimi nilichoma chanjo ya Pfizer Biontech, na zilikuwa dozi mbili zikipishasha wiki 6 mpaka miezi miwili.

Na mpaka sasa nadunda na miezi kadhaa iliyopita tulimkaribisha mgeni mpya wa dunia hii.

Zilikuwepo pilika nyingi sana za njama potofu (conspiracy theories) nyingi duniani kuhusu kuanzia uwepo wa ugonjwa wenyewe wa COVID na kuendelea mpaka kwenye chanjo yenyewe ya COVID

Waliibuka wataalamu wa kweli hasa kielimu kila pande za dunia kupinga na kusambaza habari potofu kuhusu maambukizi ya ugonjwa COVID na chanjo yake.
Walituaminisha njama potofu kedekede kuhusu maigizo yanayofanywa mahospitalini kuhudumia wagonjwa wa COVID ni kama sinema zinachezwa na kutangazwa na vyombo vya habari ambavyo vyote viko kwenye hii njama ya kuhadaa walimwengu.

Pia walijitokeza wataalamu wa utafiti wa kinga za kibaologia kwenye kila mitandao ya jamii, wakitutahadharisha athari za kinga ya COVID kuwa ni njama ya kuturaibu tuzoee dozi ya COVID kama uraibu wa madawa ya kulevya na pia kutunga na kuchombezea kila athari zilizotokana na vifo vya ghafla kwa wachomwaji wa kinga ya COVID ni njama ya kupunguza idadi ya watu duniani.

Pia kulitokea wale watafuta fursa kwenye mitandao ya kijamii, walioneza njama mfu ya kuwa kinga ya COVID ina chembechembe za kielectroniki(CHIP) ambazo ni mpango maalumu wa kusambza mlingonti ya teknologia ya 5G, ambazo zingetumika kuziendesha hizo CHIP zilizopandikizwa kwa njia ya chanjo na kuwa kila aliyechoma chanjo atakuwa anapokea maagizo kimtandao na ya kuteleza kama MSUKULE.

Haya tunahitaji mrejesho kwa wale waatalum waaliojulikana kama spin doctors.

cc Mathanzua, Let me get this straight about the COVID-19 vaccine
COVID-19 is a scam...

Mathanzua Yoda
 
Cha ajabu mungu alivyomkubwa Mimi sikuchoma na mpaka Leo nadunda Cha ajabu mama yangu alifariki na huo ugonjwa na Mimi nilikuwa nae benet na baada ya kumpumzisha ndio nikaambia ugonjwa huo ndio ulimuua na madakitar walishangaa kwa nini Mimi sikupata
 
Mnakula vitu vingapi?.?mnakunywa vitu vingapi? Madawa yanatoka kwao..n.k.acheni kuwaogopesha watu bana...mimi sijachanja ila nina ndugu kibao wamechanja...mwisho wa siku kila mtu atakufa...unaweza kuanza ww usiechanjwa...
Hapo vipi.....?
 
Ni miaka takbiran mitatu sasa tokea nichomwe chanjo ya kuzuia maabukizi ya COVID (UVIKO).

Mimi nilichoma chanjo ya Pfizer Biontech, na zilikuwa dozi mbili zikipishasha wiki 6 mpaka miezi miwili.

Na mpaka sasa nadunda na miezi kadhaa iliyopita tulimkaribisha mgeni mpya wa dunia hii.

Zilikuwepo pilika nyingi sana za njama potofu (conspiracy theories) nyingi duniani kuhusu kuanzia uwepo wa ugonjwa wenyewe wa COVID na kuendelea mpaka kwenye chanjo yenyewe ya COVID

Waliibuka wataalamu wa kweli hasa kielimu kila pande za dunia kupinga na kusambaza habari potofu kuhusu maambukizi ya ugonjwa COVID na chanjo yake.
Walituaminisha njama potofu kedekede kuhusu maigizo yanayofanywa mahospitalini kuhudumia wagonjwa wa COVID ni kama sinema zinachezwa na kutangazwa na vyombo vya habari ambavyo vyote viko kwenye hii njama ya kuhadaa walimwengu.

Pia walijitokeza wataalamu wa utafiti wa kinga za kibaologia kwenye kila mitandao ya jamii, wakitutahadharisha athari za kinga ya COVID kuwa ni njama ya kuturaibu tuzoee dozi ya COVID kama uraibu wa madawa ya kulevya na pia kutunga na kuchombezea kila athari zilizotokana na vifo vya ghafla kwa wachomwaji wa kinga ya COVID ni njama ya kupunguza idadi ya watu duniani.

Pia kulitokea wale watafuta fursa kwenye mitandao ya kijamii, walioneza njama mfu ya kuwa kinga ya COVID ina chembechembe za kielectroniki(CHIP) ambazo ni mpango maalumu wa kusambza mlingonti ya teknologia ya 5G, ambazo zingetumika kuziendesha hizo CHIP zilizopandikizwa kwa njia ya chanjo na kuwa kila aliyechoma chanjo atakuwa anapokea maagizo kimtandao na ya kuteleza kama MSUKULE.

Haya tunahitaji mrejesho kwa wale waatalum waaliojulikana kama spin doctors.

cc Mathanzua, Let me get this straight about the COVID-19 vaccine
Huyo mgeni kama ni wa kiume subiri Sikh atakayokutambulisha mwanaume anayetaka kuolewa nae.
Wenzenu walitahadharisha kwa kutazama kesho, ninyi mnajifariji kwa Leo tu.

Wewe umechoma na bado uko salama, wengine gatujachoma na TUNADUNDA BADO. Sasa kazi ni yako kutafakari, ni yupi amepoteza hapo.
 
Back
Top Bottom