Waliosema chanjo ya COVID ni njama wamejizika na kuzikwa

They...they....they ...
Who're these "they" thinking for you fool? Awake!
Will people fall pray again to the following "plandemic" in the making plain sight?

I don't know,lakini kwa umbumbumbu watu walio nao,possibly they will.
 
Wewe kilaza, ulileta humu pumba za sijui chanjo ina nanochip na muda si mrefu wakimaliza usambazaji wa wa 5G network ukikamilika, tuliochanja tutakuwa activated kuwa mazombie na frequency ya 1 GHz - 6 GHz inayotumiwa na 5G mobile network....
Haya leta pumba nyingine kujitetea.....

The NWO is up and ready!
 
Kwa mawazo haya naomba uweke wazi elimu yako hapa ili tuone kama una mamlaka ya kuongelea maswala ya micro-organisms.Mimi nina PhD in Microbiology kwa hiyo nina mamlaka hiyo.
 
Ukweli ni kwamba sisi tusiochoma hatuna wivu na mliochoma, ila mliochoma mna wivu mkubwa na sisi tusiochoma na tunadunda tu
 
Genetical modified creatures Ni Mali ya Mhalifu toka maabara.
World Homicide Organization watatumaliza.
 
Lo! Bora ungenyamanza. Maana kuna watu wataanza kuthibitisha kuwa madhara yaa chanjo yameanza.
 
Ukweli ni kwamba sisi tusiochoma hatuna wivu na mliochoma, ila mliochoma mna wivu mkubwa na sisi tusiochoma na tunadunda tu
Lakini zile chanjo za tetekuwanga na kifaduro zote ulichoma na watoto pia uliwapeleka kuchoma...
 
Siku zote inapofika mahali kunahitajika tiba au kinga, basi tuwaruhusu wataalamu wa afya wahusike na si wana siasa.
 
Siku zote inapofika mahali kunahitajika tiba au kinga, basi tuwaruhusu wataalamu wa afya wahusike na si wana siasa.
Tatizo mkuu ni kwamba wanasiasa wakishapewa chao,wanalazimisha wahudumu wa Afya wafanye wanavyotaka,so kuna tatizo kubwa.Na hili ndilo lililotokea kwenye Covid.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…