Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Unapick mmoja mmoja kwny kila timu atleast...Timu zipi mkuu ? hata kufanya vizuri kwa Simba na yanga nikwasababu Kuna wachezaji wa kigeni. Nitajie timu inayofanya vizuri Tanzania yenye wachezaji wazawa tu utagundua wachezaji wetu Kuna shida na hawawezi kulisaidia taifa
Ni kweli timu zetu zimejaa wageni