#COVID19 Waliosema wanatupa wiki 2 tuanze kuokota mizoga barabarani, wako wapi siku hizi?

#COVID19 Waliosema wanatupa wiki 2 tuanze kuokota mizoga barabarani, wako wapi siku hizi?

Sikusikia 4000 kwa siku, highest niliyoona ilikuwa around 2000 nadhani.

Africa tuna matatizo mengi sana, hii Corona ni hardly kuwa noticed sababu inafunikwa na matatizo makubwa zaidi

Rwanda na Kenya mafuriko yameua watu wengi kuliko Corona

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo mnatupa siku ngapi mizoga ianze kuzagaa hovyo barabarani😂😂😂
 
Uchoyo wa habari, maendeleo na ugunduzi ni kazi yetu Waafrika. Sisi tuligundua chuma kabla ya mzungu, koo zilizojua kufua chuma zilifanya ujuzi huo kuwa siri ya ukoo na anafundishwa mtoto mkubwa arithi ujuzi kama vile wanavyorithi uganga wa kienyeji.

Mzungu alipogundua ujuzi huu alifanya hila mpaka tukamfundisha. Yeye alikaa na wenzake wakaona wakizalisha majembe 20 kwa mwaka watapata faida. Matokeo yake sana za chuma zilimuendeleza zaidi mzungu katika ustaarabu wa kulima na kufuga.
Lini wazungu watatupa ujuzi wa kurusha sattelite? By the way, ilikuwa unachangia uzi huu au?
 
nimejiunga magroup kama matano ya whatsap na yote yana wanachama wengi.
nimeuliza kama kuna member yeyote kafa au kafiwa ama kuna mtu mtaani kwao kafa kwa corona anijulishe nakusanya data.
acha kufa hakuna hata aliesema kawai kuugua corona.
kila mtu yuko poa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mtu aliyeugua Corona mi sijawahi kumuona, nasema ule ukweli wa Mungu kabisa
 
nimejiunga magroup kama matano ya whatsap na yote yana wanachama wengi.
nimeuliza kama kuna member yeyote kafa au kafiwa ama kuna mtu mtaani kwao kafa kwa corona anijulishe nakusanya data.
acha kufa hakuna hata aliesema kawai kuugua corona.
kila mtu yuko poa

Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera mkuu, usiombe wakwenu wafe, acha korona, kifo chochote kinauma.
Lakini ni ukweli kuwa corona inaua.
Chukua tahadhari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nimejiunga magroup kama matano ya whatsap na yote yana wanachama wengi.
nimeuliza kama kuna member yeyote kafa au kafiwa ama kuna mtu mtaani kwao kafa kwa corona anijulishe nakusanya data.
acha kufa hakuna hata aliesema kawai kuugua corona.
kila mtu yuko poa

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu huko ndiko ulikokuwa ukitafutia takwimu, labda kama ulikuwa unawatafutia kesi vijana wa watu?

Wewe hujui kuwa wengine wote ni marufuku kuwa na takwimu hizo ulizokuwa unatafuta isipokuwa mtu tano wakiwamo Ummy na Abbas?

Kwa nini mnawatafutia kesi vijana wa watu ili baadaye mjinasibu kwa bashasha ya kuwa sasa mnaowashikilia wamefika kadhaa?

Taarifa ya mwisho si mlisema mko nao vijana 2? Vipi wameendelea kuwapiga chenga ya mwili?

Hivi, katika ile 10m ya mchango wa kule kanisani, mkuu wewe ulitoa ngapi? Mzee baba aliamua kufunguka kabisa safari hii. Kuwa ule ulikuwa wake wakiwamo pia wale vijana mnayetembea naye. Ya kwamba wengine mlikuwa ndani na wengine nje ya lile kanisa.

Mkuu, wewe ulikuwa ukipiga mingo kipande cha wapi? Ndani au kwa nje huku ukipata upepo mwanana?
 
Uchoyo wa habari, maendeleo na ugunduzi ni kazi yetu Waafrika. Sisi tuligundua chuma kabla ya mzungu, koo zilizojua kufua chuma zilifanya ujuzi huo kuwa siri ya ukoo na anafundishwa mtoto mkubwa arithi ujuzi kama vile wanavyorithi uganga wa kienyeji.

Mzungu alipogundua ujuzi huu alifanya hila mpaka tukamfundisha. Yeye alikaa na wenzake wakaona wakizalisha majembe 20 kwa mwaka watapata faida. Matokeo yake sana za chuma zilimuendeleza zaidi mzungu katika ustaarabu wa kulima na kufuga.
Zamani mpaka ufipa huko ndani kulikuwa majembe yanatengenezwa pia shoka ni magumu haswa lakini mpaka sahizi sijui kama yanapatikana, sahizi unanunua jembe siku moja jembe limepinda , wakati wazee walikuwa wanafua vyuma halisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom