Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,056
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi huko kwenu, mmeshaanza kuokota mizoga barabarani? Kwani mlipoambiwa msali kwa siku tatu ulidhani tunamshukuru nani?😂😂😂Kwani mliozika usiku hawakuwa mizoga? Kama unafikiri kuna watu hawakufa kiasi ulichotegemea, mshukuru Mungu. Usijipige kifuani kuwa wewe ni mjanja.
Kwahiyo mnatupa siku ngapi mizoga ianze kuzagaa hovyo barabarani😂😂😂Sikusikia 4000 kwa siku, highest niliyoona ilikuwa around 2000 nadhani.
Africa tuna matatizo mengi sana, hii Corona ni hardly kuwa noticed sababu inafunikwa na matatizo makubwa zaidi
Rwanda na Kenya mafuriko yameua watu wengi kuliko Corona
Sent using Jamii Forums mobile app
Mizoga? Nilikuambia kutakuwa na mizoga?Kwahiyo mnatupa siku ngapi mizoga ianze kuzagaa hovyo barabarani[emoji23][emoji23][emoji23]
Lini wazungu watatupa ujuzi wa kurusha sattelite? By the way, ilikuwa unachangia uzi huu au?Uchoyo wa habari, maendeleo na ugunduzi ni kazi yetu Waafrika. Sisi tuligundua chuma kabla ya mzungu, koo zilizojua kufua chuma zilifanya ujuzi huo kuwa siri ya ukoo na anafundishwa mtoto mkubwa arithi ujuzi kama vile wanavyorithi uganga wa kienyeji.
Mzungu alipogundua ujuzi huu alifanya hila mpaka tukamfundisha. Yeye alikaa na wenzake wakaona wakizalisha majembe 20 kwa mwaka watapata faida. Matokeo yake sana za chuma zilimuendeleza zaidi mzungu katika ustaarabu wa kulima na kufuga.
Hata mtu aliyeugua Corona mi sijawahi kumuona, nasema ule ukweli wa Mungu kabisanimejiunga magroup kama matano ya whatsap na yote yana wanachama wengi.
nimeuliza kama kuna member yeyote kafa au kafiwa ama kuna mtu mtaani kwao kafa kwa corona anijulishe nakusanya data.
acha kufa hakuna hata aliesema kawai kuugua corona.
kila mtu yuko poa
Sent using Jamii Forums mobile app
Almasi bandia fedha bandia.Haha[emoji23][emoji23], kwani we unaamini US walikuwa wanakufa 4,000 tu kwa siku?
Haya, tuwasubiri waliosema, maana ndio tunawauliza hao
Na kwenye makazi holela (unplanned and unserviced) mijini maisha yanaendelea kama kawaida. Mwenye ushahidi usiopingika kuwa vifo ni vingi autoe hapa.Wapambane na Korona yao huku kijijini Afrika imedunda
Kwani mliozika usiku hawakuwa mizoga? Kama unafikiri kuna watu hawakufa kiasi ulichotegemea, mshukuru Mungu. Usijipige kifuani kuwa wewe ni mjanja.
Hongera mkuu, usiombe wakwenu wafe, acha korona, kifo chochote kinauma.nimejiunga magroup kama matano ya whatsap na yote yana wanachama wengi.
nimeuliza kama kuna member yeyote kafa au kafiwa ama kuna mtu mtaani kwao kafa kwa corona anijulishe nakusanya data.
acha kufa hakuna hata aliesema kawai kuugua corona.
kila mtu yuko poa
Sent using Jamii Forums mobile app
Can't be!Tuachane na Hilo la kuokota maiti barabarani hiyo ni bullshit sikuiamini pia.
Ila hivi we unaamini kweli Kuna vifo 4000 tu vya Corona Africa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wale USA unawaamini kwa idadi ya vifo vyao walivyokuwa wanatangaza?Tuachane na Hilo la kuokota maiti barabarani hiyo ni bullshit sikuiamini pia.
Ila hivi we unaamini kweli Kuna vifo 4000 tu vya Corona Africa?
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu mi nazurula mikoa ya cenral corridor na kaa hata wiki mbili mikoa tofauti tofauti lakini cjawai ona wala kusikia mtu kafa ama unaumwa corona.Hata mtu aliyeugua Corona mi sijawahi kumuona, nasema ule ukweli wa Mungu kabisa
nimepata misiba kadhaa siku chache za nyuma ila sio vifo vya coronaHongera mkuu, usiombe wakwenu wafe, acha korona, kifo chochote kinauma.
Lakini ni ukweli kuwa corona inaua.
Chukua tahadhari.
Sent using Jamii Forums mobile app
nimejiunga magroup kama matano ya whatsap na yote yana wanachama wengi.
nimeuliza kama kuna member yeyote kafa au kafiwa ama kuna mtu mtaani kwao kafa kwa corona anijulishe nakusanya data.
acha kufa hakuna hata aliesema kawai kuugua corona.
kila mtu yuko poa
Sent using Jamii Forums mobile app
Zamani mpaka ufipa huko ndani kulikuwa majembe yanatengenezwa pia shoka ni magumu haswa lakini mpaka sahizi sijui kama yanapatikana, sahizi unanunua jembe siku moja jembe limepinda , wakati wazee walikuwa wanafua vyuma halisiUchoyo wa habari, maendeleo na ugunduzi ni kazi yetu Waafrika. Sisi tuligundua chuma kabla ya mzungu, koo zilizojua kufua chuma zilifanya ujuzi huo kuwa siri ya ukoo na anafundishwa mtoto mkubwa arithi ujuzi kama vile wanavyorithi uganga wa kienyeji.
Mzungu alipogundua ujuzi huu alifanya hila mpaka tukamfundisha. Yeye alikaa na wenzake wakaona wakizalisha majembe 20 kwa mwaka watapata faida. Matokeo yake sana za chuma zilimuendeleza zaidi mzungu katika ustaarabu wa kulima na kufuga.