#COVID19 Waliosema wanatupa wiki 2 tuanze kuokota mizoga barabarani, wako wapi siku hizi?

#COVID19 Waliosema wanatupa wiki 2 tuanze kuokota mizoga barabarani, wako wapi siku hizi?

Hivi Kama kweli mabeberu wakiamua kutuuwa waafrica wote mnafikiri wanashindwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
hawawezi coz wao sio mungu, nakupa mfano wakati bush anaipga iraq alisema ataiangamiza ndani ya nusu saa bt ikaisha siku, masiku, miezi hatimae mpaka leo ipo iraq...

pia wazungu kama wangekua na uwezo wa kuwamaliza watu wangewamaliza waarabu kwanza coz ndo maadui zao namba1, sie wanatuchukia bt hawawez tuangamiza coz hatuna madhara wala kitisho mbele zao
 
Una uhakika tuligundua chuma kabla ya wazungu?
Uchoyo wa habari, maendeleo na ugunduzi ni kazi yetu Waafrika. Sisi tuligundua chuma kabla ya mzungu, koo zilizojua kufua chuma zilifanya ujuzi huo kuwa siri ya ukoo na anafundishwa mtoto mkubwa arithi ujuzi kama vile wanavyorithi uganga wa kienyeji.

Mzungu alipogundua ujuzi huu alifanya hila mpaka tukamfundisha. Yeye alikaa na wenzake wakaona wakizalisha majembe 20 kwa mwaka watapata faida. Matokeo yake sana za chuma zilimuendeleza zaidi mzungu katika ustaarabu wa kulima na kufuga.
 
Sio ukoo, Kuna rafiki zangu 4 wameguswa na Corona, vitu vingine hata havihitaji u genious kujua..kwa hizi siasa za Corona zinavyo pigwa hapa nchini bado unaamini takwimu unazopewa na Serikali?

Sent using Jamii Forums mobile app
Corona haifichiki
Ufaransa, Spain, China, USA, Italy nk tuliona mahospitali yalivyofurika mpaka wamejenga hospitali za muda, mahema, viwanja vya mpira, maeneo ya wazi, meli, ndege ku accommodate idadi kubwa ya wa wagonjwa. Hiyo ilikuwa ndani ya mwezi mmoja tu
HATA HIVYO CORONA IPO CHUKUA TAHADHARI
 
Chukua tahadhari
Uache nonsense ubishani
ugonjwa upo na watu wanakufa kweli..
Wanadanganywa na kina BASHITE na JIWE wakati wao wenyewe wamejificha wakifanya press watu wapo mita 10 kutoka wao halafu wakitoka hapo mbio kwenda kujifungia ndani huku kwenye accounts zao kuna mabilioni yametulia,gari kwenye parkin' lot kama zipo ICD,kwenye friji kuna vitu vya kula hata miezi mi3,store vyakula kama vyote!! SANTAIZA ndani dumu za lita 20 kama zote,Gunia zima la mask N95 halafu wanawachuza nyie mkapukutike.
 
Hivi unajua ni kwanini tulitawaliwa? Ni kwasababu hatujitambui. Wewe kwa akili yako unaamini kuwa Afrika ina vifo 4000 tu? Unaamini yale wanaosema kina Bashite na Magufuli? Juzi Magufuli kafiwa na dada yake unajua kilichomuua?
Ugonjwa ni siri ya daktari na mgonjwa mwenyewe.
 
Kwaiyo kwa ufupi corona ipo APA kwetu Afrika, ila inadunda km MTU unaishi kiafrika, ila ukiishi kizungu tu umeisha na corona, ukitaka kuprove iyo mpaka sasa jiulize ni madereva wangapi wa bodaboda umesikia wameugua corona na kufa, km siyo vibopa na watu Wa maishaclasic.
Kwa ufupi wazungu wakajipange upya tena.
Tutakufa kwa mpango wa Mungu.
 
Elimu tunayoisoma Africa ni ileile wanaisoma wazungu, na ndio inayotumika kufanya uvumbuzi.
- Africa tunakwama because of people like u, watu mnaosubiri mzungu awape ujuzi akati kashawapa elimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa si ndio ilikuwa hoja yake kwamba sisi ni wachoyo? Ndio nami nakahoji uchoyo huu ni kwetu tu maana hata wazungu sijawaona wakitoa ujuzi wao kwetu bure bure
 
Nasikia Africa yote yenye nchi karibu 70 ins vifo visivyofika 4,000, ambayo USA walikuwa wanavipata kwa siku. Sasa wapi akina gates na Kimambo? Mnatupa siku ngapi za nyongeza tuanze kuokota watu barabarani kama kumbi kumbi?
Bado wanatafta viokoteo waje waokote. Kuwa mchawi si mpaka uwange ata kumuombea mwenzio mabaya ni uchawi pia

Ila na sisi tuendelee kuchukua tahadhari
 
Mkuu Francis Da Don, hao ni wapuuzi tu.

Kuna mpuuzi mwingine anashinda kule Twitter kazi kuiombea mabaya tu Tanzania, ooh mbona takwimu hazitolewi, Sasa unajiuliza huyu adui anataka azipeleke wapi, na kwa faida ya nani?

Yaani mpaka kwenye Covid-19 kuna watu wana_ retire imprest, shenz type kweli hawa watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aliiombeaje mabaya Tanzania? tupia iyo sala nioone mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi unajua ni kwanini tulitawaliwa? Ni kwasababu hatujitambui. Wewe kwa akili yako unaamini kuwa Afrika ina vifo 4000 tu? Unaamini yale wanaosema kina Bashite na Magufuli? Juzi Magufuli kafiwa na dada yake unajua kilichomuua?
Wewe unaamini USA vifo ni 2,000 tu kwa siku?
 
Back
Top Bottom