#COVID19 Waliosema wanatupa wiki 2 tuanze kuokota mizoga barabarani, wako wapi siku hizi?

#COVID19 Waliosema wanatupa wiki 2 tuanze kuokota mizoga barabarani, wako wapi siku hizi?

Mimi naamini kabisa kwa mkoa kama Dar es salaam hapa wangekua wanakufa idadi ya watu tunayoambiwa na Kigogo na Mange Kimavi kila kitu kingekua wazi tungeona maturubai lakini cha ajabu ukipita magruou ya whatsapp , vijiweni, masokoni huku viwanja vya ndondo ukiuliza kuna mtu kafiwa asee kila mtu anasema hajapata msiba wowote yani hajafiwa mtu na ndugu hata kwa Taifodi achilia mbali Corona..

Humu JF pia uliwekwa uzi alifiwa kwa corona aweke ushahidi ikawa zzzz tukasema basi labda waliofiwa hawapo JF

Ama kweli Mungu anatupenda wakuu tuache kuzusha taharuki na tuendelee kuishi kwa tahadhari kwa kufuata ushauri wa wataalamu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasikia Africa yote yenye nchi karibu 70 ins vifo visivyofika 4,000, ambayo USA walikuwa wanavipata kwa siku. Sasa wapi akina gates na Kimambo? Mnatupa siku ngapi za nyongeza tuanze kuokota watu barabarani kama kumbi kumbi?
Yale majitu manafiki yamekimbia kwa aibu wakiongozwa na lile jemba linaletaga makala ya kila tukio kwa mihemuko na kukurupuka.....
 
Lini wazungu watatupa ujuzi wa kurusha sattelite? By the way, ilikuwa unachangia uzi huu au?
Elimu tunayoisoma Africa ni ileile wanaisoma wazungu, na ndio inayotumika kufanya uvumbuzi.
- Africa tunakwama because of people like u, watu mnaosubiri mzungu awape ujuzi akati kashawapa elimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Itoshe tu kusema sio kila wanaloongea linareflect reality. Ila mimi bado ninadoubt na idadi ya vifo.
 
Nasikia Africa yote yenye nchi karibu 70 ins vifo visivyofika 4,000, ambayo USA walikuwa wanavipata kwa siku. Sasa wapi akina gates na Kimambo? Mnatupa siku ngapi za nyongeza tuanze kuokota watu barabarani kama kumbi
IMG_0179.JPG




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Francis Da Don, hao ni wapuuzi tu.

Kuna mpuuzi mwingine anashinda kule Twitter kazi kuiombea mabaya tu Tanzania, ooh mbona takwimu hazitolewi, Sasa unajiuliza huyu adui anataka azipeleke wapi, na kwa faida ya nani?

Yaani mpaka kwenye Covid-19 kuna watu wana_ retire imprest, shenz type kweli hawa watu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni wa kuwapuza tu mkuu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio ukoo, Kuna rafiki zangu 4 wameguswa na Corona, vitu vingine hata havihitaji u genious kujua..kwa hizi siasa za Corona zinavyo pigwa hapa nchini bado unaamini takwimu unazopewa na Serikali?
Sio 4000 ni chini ya 3000.

Wewe kipi kinafanya usiamini? Hapo kwenu mtaani, kwenye ukoo wako na kazini kwako mshazika wangapi kwa COVID-19?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
bill gates na mke wake walikua wanajitabiria tu mwingine africa watu mil 10 mwingine watakufa mil 6 hahahaaa
sijui wanakuja na mbinu gani tena maana hawaishiwagi mbinu hawa
 
Nasikia Africa yote yenye nchi karibu 70 ins vifo visivyofika 4,000, ambayo USA walikuwa wanavipata kwa siku. Sasa wapi akina gates na Kimambo? Mnatupa siku ngapi za nyongeza tuanze kuokota watu barabarani kama kumbi kumbi?
USA wanatoa taarifa za kweli nchi za kiafrica zinaficha data na uongo uongo mwingi.
 
Sio ukoo, Kuna rafiki zangu 4 wameguswa na Corona, vitu vingine hata havihitaji u genious kujua..kwa hizi siasa za Corona zinavyo pigwa hapa nchini bado unaamini takwimu unazopewa na Serikali?

Sent using Jamii Forums mobile app
Takwimu zetu ni kanjanja kweli. Lakini bado hali si mbaya kihivyo. Ingeonekana tu.
 
Tanzania vipo vingapi hivyo vifaa?
Hahaa hizi zote ni propaganda... Dhumuni haswaa ni kuwatia watu hofu ...ili wapate chance ya kufanya biashara zao

You can imagine kile kifaa cha kupimia virus wa covid 19 kinauzwa laki 5s sijui sina hakika sana (wajuzi watanisaidia)
Lakini bei yake inacheza katika rank hizo ... So Mimi nawewe tujiulize mpaka sasa wauzaji wa hivyo Vifaa wameshauza vingapi na wamesha ingiza faida kiasi gani ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nasikia Africa yote yenye nchi karibu 70 ins vifo visivyofika 4,000, ambayo USA walikuwa wanavipata kwa siku. Sasa wapi akina gates na Kimambo? Mnatupa siku ngapi za nyongeza tuanze kuokota watu barabarani kama kumbi kumbi?
Hivi unajua ni kwanini tulitawaliwa? Ni kwasababu hatujitambui. Wewe kwa akili yako unaamini kuwa Afrika ina vifo 4000 tu? Unaamini yale wanaosema kina Bashite na Magufuli? Juzi Magufuli kafiwa na dada yake unajua kilichomuua?
 
Back
Top Bottom