nG'aMBu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,055
- 3,120
Hao watu wana vipimo vya korona mkuu?nimejiunga magroup kama matano ya whatsap na yote yana wanachama wengi.
nimeuliza kama kuna member yeyote kafa au kafiwa ama kuna mtu mtaani kwao kafa kwa corona anijulishe nakusanya data.
acha kufa hakuna hata aliesema kawai kuugua corona.
kila mtu yuko poa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app