Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
Madagascar wabunge wawili wameshadondoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Havina uhusiano,mbona sie ndo twaongoza kwa ubaguziBaada ya kuona black hatufi kwa corona wameanza kutuua kwa ubaguzi wa rangi
Maana imeandikwa unabii lazima utimie
Nani kakuuliza? Hii mada inahusu Madagascar?Madagascar wabunge wawili wameshadondoka
Kwani sio afrikaNani kakuuliza? Hii mada inahusu Madagascar?
Wameshaanza kuokota mizoga barabarani?Kwani sio afrika
Leo wametangaza wamekufa watu 4,000 marekani ndani ya masaa 24.., ila nadhani hi ni propaganda ya kupush matumizi ya Vaccine mpya ili makampuni ya madawa yapige mpunga 😂😂😂😂😂Sikusikia 4000 kwa siku, highest niliyoona ilikuwa around 2000 nadhani.
Africa tuna matatizo mengi sana, hii Corona ni hardly kuwa noticed sababu inafunikwa na matatizo makubwa zaidi
Rwanda na Kenya mafuriko yameua watu wengi kuliko Corona
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahah, nikikumbuka jinsi kale kazombi Mange kimavi kalivuokuwa kanatisha watz huko insta basi nachekaMaiti walijiongeza wakajipeleka wenyewe kaburini kwahiyo hiyo ya kuokota maiti barabarani hatutakuwa NATO tena
Wamekiboresha hiki kirusi, halafu wakaenda kukitupa South Africa huko, lakini naona bado wanaondoka wao wenyewe, ngozi nyeusi wabishi kweli aisee...😂😂😂bill gates na mke wake walikua wanajitabiria tu mwingine africa watu mil 10 mwingine watakufa mil 6 hahahaaa
sijui wanakuja na mbinu gani tena maana hawaishiwagi mbinu hawa