Uchaguzi 2020 Walioshinda kura za maoni na kukatwa, msikubali ujinga huu

Uchaguzi 2020 Walioshinda kura za maoni na kukatwa, msikubali ujinga huu

Mkuu, in 62 months, these people will be gone.. These vacancies will again be up for grab... Sasa kwa nini ujipe presha? Hiki ni kipindi cha kujipanga tena for 2025 kwa wale wote waliokosa.
Waliopo kwenye vyeo hivyo sasa mtawaua au ndio wanawashikia nyie mliofanyiwa vetting ?

Wamedanganywa, ngojeni akibahatisha kushinda mtamkoma, na hivi hagombei tena.
 
Back
Top Bottom