Uchaguzi 2020 Walioshinda kura za maoni na kukatwa, msikubali ujinga huu

Uchaguzi 2020 Walioshinda kura za maoni na kukatwa, msikubali ujinga huu

Hii post ni ya kichochezi na imejaa wivu, husda na kukatishana tamaa.

Acha watu washiriki siasa wapendavyo; usowafokee maana ni haki yao.
 
Ulikuwa mshindi halali kura za maoni, lakini Watawala wajuu wakakukata jina lako na kumuweka mtu wanayemtaka.

Kisha mliokatwa mkaambiwa muwapigie kampeni hawa mahasimu wenu, kwa ahadi kwamba mmeshafanyiwa vetting mtateuliwa kwenye nafasi zingine...
Kwani chadema na ACT wazalendo hawana wagombea Hadi wachukue waliokatwa CCM? Mna matatizo gani?

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Kwani chadema na ACT wazalendo hawana wagombea Hadi wachukue waliokatwa CCM? Mna matatizo gani?

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Hahaha nadhani hujaelewa, tunawashauri waliodhurumiwa haki yao waende chama chochote, siyo lazima iwe Chadema na ACT.

Kuvitaja nikuwarahisishia kufanya uchaguzi wao waende wapi.

Ningeweza kuwaacha bila majibu wangehangaika sana.
 
Hii post ni ya kichochezi na imejaa wivu, husda na kukatishana tamaa.

Acha watu washiriki siasa wapendavyo; usowafokee maana ni haki yao.
Hahaha UCHOCHEZI tena mkuu?! Tunawakumbusha waweze kudai haki yao kivingine, kwa kurudi kwa wananchi waliowapa ushindi wawachague ili kudhihirisha kwamba walionewa, na hakipendwi chama bali mtu.

Uchochezi uko wapi hapo?!

Sasa mtu kashinda, wewe unamkataa, kwanini usiwaachie jukumu hilo wananchi waamue kwenye sanduku la kura?!

Unawadanganya utawateua, kama hivyo ndivyo kwanini usiwaachie wakashiriki uchaguzi na hao wengine ndio uwateue?!

Huko ni kufanyana wajinga, ndio nikawakumbusha.

Aliyekukata atakuteua vipi, na mnasemwa mnetoa rushwa?!

Wahame huko hakuwafai, warudi kwa wananchi wakadhihirishe walionewa na watawala.
 
Mzee Chenge njoo Chadema uwanyoshe hao
Hahaha hayo ndiyo mambo, hawezi yule.

Anakumbuka akiwa mwenyekiti wa bunge alikuwa anawasulubu, anaogopa huko watamkimbiza.

Aende hata CUF au kwa ndugu yake John Cheyo UDP ni wa huko huko wote.
 
Mkuu utakuwa ni mshabiki maandazi wa siasa nchi hii. Usitake kujifunzia kwangu kujenga hoja. Sina muda mchafu wa kubishana na mbulukenge usiyefahamika hata Jamiiforums. Nalog off.
Hahaha usiktukane, mfunze aelewe JF unaweza kuwa wewe ndiye uli mu inspire akajiunga, sasa msaidie aelewe.

Au unaweza kuta ni mjumbe wa ccm, na hakupata hongo/rushwa ya Tulia, wenzake walimzima.

Rushwa walitoa wote, ila zilizidiana viwango kulingana na uchumi wa mtia nia.

Na wajumbe walipewa kulingana na uelewa wao na thamani zao, kuna wengine walipewa 1000 tu wakatoa ushindi.
 
Ulikuwa mshindi halali kura za maoni lakini watawala wa juu wakakukata jina lako na kumuweka mtu wanayemtaka.

Kisha mliokatwa mkaambiwa muwapigie kampeni hawa mahasimu wenu kwa ahadi kwamba mmeshafanyiwa vetting mtateuliwa kwenye nafasi zingine.

Kataeni ujinga huo, yani aliyekukata usigombee baadae aje akuteue?

Inakuingieni akilini kweli, kwanini asingemteua huyo aliyempenda na kumpa nafasi yako uliyopewa na wananchi?

Wanasema mlitoa rushwa, sasa kama hilo ni doa tayari huo uteuzi mtaupataje?

Fanyeni maamuzi sasa, nendeni vyama vingine mkagombee kama mnaamini mlishinda na mtashinda nafasi za kuchaguliwa.

Kumbukeni hizi za kuteuliwa ni kama mwanamke anayechumbiwa, hana uhakika wa kuolewa mpaka siku ya kufunga ndoa.

Na ndio maana huona wanawake hulia siku ya ndoa, hawaamini wamefikia hatua hiyo.

Jitoeni CCM nendeni CHADEMA, ACT au chama chochote mkathibitishe hamjatoa rushwa na mlionewa ili wananchi wachague, huko CCM hata mkibaki mmeshatuhumiwa kwa rushwa, sasa mtateuliwa vipi?

Muda ndio huu msichelewe kwa ahadi hewa mtajuta.
CCM haigawi vyeo bali inagawa majukumu, hao wanawake unaosema wanalia siku ya ndoa siku hizi hawapo bali waliopo siku hizi wanaserebuka kinomanoma hata aibu hawana
 
CCM haigawi vyeo bali inagawa majukumu, hao wanawake unaosema wanalia siku ya ndoa siku hizi hawapo bali waliopo siku hizi wanaserebuka kinomanoma hata aibu hawana
Hahaha ungemsahihisha Polepole yeye mdiye alisema kwamba wale walioshindana tayari wameshafanyiwa vetting na watateuliwa kwa kupewa VYEO vingine.

Hao wanawake wasiolia, wanaweza kuwa ni wajumbe, nasikia wana roho ngumu sanaa.
 
Hahaha ushahidi utafaa nini kama mwenyeketi keshaamua awe mgombea?!

Tatizo ni kwamba walio wengi hawapendi ile kitu "let's see in another time, I will be back with Armour". UNAKUTA MWENYEKITI HAIPENDI TU SURA YAKO NA SIO TATIZO MATOKEO.
 
Tatizo ni kwamba walio wengi hawapendi ile kitu "let's see in another time, I will be back with Armour". UNAKUTA MWENYEKITI HAIPENDI TU SURA YAKO NA SIO TATIZO MATOKEO.
Hahaha kwani hata yeye sura yake tunaipenda basi?! Ni kwamba hatuna uwezo wa kumkata.

Lakini wakiondoka waliokatwa kwa uonevu, tutamkata October 28.
 
Mlioonewa mkabaki ccm msipewe hata viti maalum.

Na waliokataliwa majimboni wasiteuliwe popote, hawafai popote.

Mtu unapata kura moja jimboni, unawezaje kuteuliwa?!
 
Wale mlioshinda mnapataje nguvu kuwapigia kampeni walioshondwa?!
 
Back
Top Bottom