- Thread starter
- #81
Hahaha huyo pia kakatwa, hana nguvu tena huyu.Hivi mzee Kapuya si alishianda
Amekatwa eeeeView attachment 1546714
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha huyo pia kakatwa, hana nguvu tena huyu.Hivi mzee Kapuya si alishianda
Amekatwa eeeeView attachment 1546714
Nani hakutoa rushwa?! Rushwa zilizidiana kwa kila mgombea, wapo waliotia elfu kumi, wapo waliotoa laki, na wapo waliotoa laki tano.
Chama kina wenyewe, haikujali ulitoa hukutoa.
Huu ni UCHOCHEZI wa wazi kabisa! Mbona wale waliokatwa kutoka CHADEMA, ACT, CUF au vyama vingine HUJAWAPA UJUMBE HUU? Huu, nasema tena ni UCHOCHEZI wenye nia ya kuleta misigano ndani ya jamii kwa ujumla na ndani ya CCM kwa upekee. Au nikuulize, huko kwenye vyama vingine hakukuwa na waliokatwa yaani kila nafasi ilikuwa na mgombea mmoja mmoja? Hakukuwa na ushindani huko? Hebu tueleze nia na lengo a ujumbe huu?Ulikuwa mshindi halali kura za maoni, lakini Watawala wajuu wakakukata jina lako na kumuweka mtu wanayemtaka.
Kisha mliokatwa mkaambiwa muwapigie kampeni hawa mahasimu wenu, kwa ahadi kwamba mmeshafanyiwa vetting mtateuliwa kwenye nafasi zingine.
Kataeni ujinga huo, yani aliyekukata usigombee, baadaye aje akuteue?
Inakuingieni akilini kweli, kwanini asinge mteua huyo aliyempenda na kumpa nafasi yako uliyopewa na wananchi?
Wanasema mlitoa rushwa, sasa kama hilo ni doa tayari huo uteuzi mtaupataje?
Fanyeni maamuzi sasa, nendeni vyama vingine mkagombee kama mnaamini mlishinda na mtashinda nafasi za kuchaguliwa.
Kumbukeni hizi za kuteuliwa ni kama mwanamke anyechumbiwa, hana uhakika wa kuolewa mpaka siku ya kufunga ndoa.
Na ndio maana huona wanawake hulia siku ya ndoa, hawaamini wamefikia hatua hiyo.
Jitoeni CCM nendeni Chadema au ACT, au cha chochote mkathibitishe hamjatoa rushwa, na mlionewa ili wananchi wachague, huko CCM hata mkibaki mneshatuhumiwa kwa rushwa, sasa mtateuliwa vipi?
Muda ndio huu msichelewe kwa ahadi hewa mtajuta.
Hahaha wamedanganywa, wakiisha shinda ccm utasikia tuliwanyoosha.Sasa maajabu ya CCM inasema itawapangia kazi nyingine watoa rushwa,nchii hii Ni ya ajabu sijapata kuona
Wakibaki huko hatutajua wamebaki kwa dhamira gani, watoke tu.Mimi Nina ushauri tofauti na WAKO, wasihame wabaki huko huko ccm ila wahujumu mikakati ya ccm
Unamaanisha Dada wa Segerea aliyekwata kapewa John Mrema au nabii Shila kule Kilombero ambapo CHADEMA walicheza sarakasi au?!Ulikuwa mshindi halali kura za maoni, lakini Watawala wajuu wakakukata jina lako na kumuweka mtu wanayemtaka.
Kisha mliokatwa mkaambiwa muwapigie kampeni hawa mahasimu wenu, kwa ahadi kwamba mmeshafanyiwa vetting mtateuliwa kwenye nafasi zingine.
Kataeni ujinga huo, yani aliyekukata usigombee, baadaye aje akuteue?
Inakuingieni akilini kweli, kwanini asinge mteua huyo aliyempenda na kumpa nafasi yako uliyopewa na wananchi?
Wanasema mlitoa rushwa, sasa kama hilo ni doa tayari huo uteuzi mtaupataje?
Fanyeni maamuzi sasa, nendeni vyama vingine mkagombee kama mnaamini mlishinda na mtashinda nafasi za kuchaguliwa.
Kumbukeni hizi za kuteuliwa ni kama mwanamke anyechumbiwa, hana uhakika wa kuolewa mpaka siku ya kufunga ndoa.
Na ndio maana huona wanawake hulia siku ya ndoa, hawaamini wamefikia hatua hiyo.
Jitoeni CCM nendeni Chadema au ACT, au cha chochote mkathibitishe hamjatoa rushwa, na mlionewa ili wananchi wachague, huko CCM hata mkibaki mneshatuhumiwa kwa rushwa, sasa mtateuliwa vipi?
Muda ndio huu msichelewe kwa ahadi hewa mtajuta.
Hahaha kumbuka huko vyama vingine mshindi ndiye aliyesimamishwa kugombea.Huu ni UCHOCHEZI wa wazi kabisa! Mbona wale waliokatwa kutoka CHADEMA, ACT, CUF au vyama vingine HUJAWAPA UJUMBE HUU? Huu, nasema tena ni UCHOCHEZI wenye nia ya kuleta misigano ndani ya jamii kwa ujumla na ndani ya CCM kwa upekee. Au nikuulize, huko kwenye vyama vingine hakukuwa na waliokatwa yaani kila nafasi ilikuwa na mgombea mmoja mmoja? Hakukuwa na ushindani huko? Hebu tueleze nia na lengo a ujumbe huu?
Hakuna aliyekatwa segerea, yule mama ni mgombea Kyerwa.Unamaanisha Dada wa Segerea aliyekwata kapewa John Mrema au nabii Shila kule Kilombero ambapo CHADEMA walicheza sarakasi au?!
Hahaha wewe genius kabisa.Tunaendelea kuwakataa wote ambao wametevliwa juu, zengwe lá hujuma lazima tulifanye kwenye uchaguzi
Nalog off
Yaani haujafaa panapohitaji kujua kusoma na kuandika tu kisha ukafae wapi??😂😂Kataeni ujinga huo, yani aliyekukata usigombee, baadaye aje akuteue?
Hahaha ajabu hiyo, halafu nao wanangoja kuteuliwa. Eti unasikia Polepole kasema.Yaani haujafaa panapohitaji kujua kusoma na kuandika tu kisha ukafae wapi??😂😂
Wametuudhi sana wale jamaa wa juu,wagombea wote mliopendelewa wote kaeni mkao wa kusalitiwa live mchana kweupeHahaha wewe genius kabisa.
Hahaha chama kina wenyewe, wanajiita CCM mpya.Wametuudhi sana wale jamaa wa juu,wagombea wote mliopendelewa wote kaeni mkao wa kusalitiwa live mchana kweupe
Nalog off
Kumbe kura za wazi ilikuwa kiini macho au gilba? Walikuwa na watu wao mifukoni. Ni hiri yao kubaki CCM au kutimkia vyama vingine. Ila ahadi waliopewa ni danganya toto.Ulikuwa mshindi halali kura za maoni, lakini Watawala wajuu wakakukata jina lako na kumuweka mtu wanayemtaka.
Kisha mliokatwa mkaambiwa muwapigie kampeni hawa mahasimu wenu, kwa ahadi kwamba mmeshafanyiwa vetting mtateuliwa kwenye nafasi zingine...
Hao jamaa kumbe hata darasa la nne hawakufaulu! Ndiyo maana.....Hahaha kama alishinda "kula" huyo anaweza kuwa alikuwa anashindania vitu tofauti na mjadala huu.
Tunaongelea walio porwa ushindi kura za maoni.
Hahaha watimke tu, kubaki huko ccm ni ujinga.Kumbe kura za wazi ilikuwa kiini macho au gilba? Walikuwa na watu wao mifukoni. Ni hiri yao kubaki CCM au kutimkia vyama vingine. Ila ahadi waliopewa ni danganya toto.
Hahaha darasa la nne wanajua kusoma na kuandika lakini.Hao jamaa kumbe hata darasa la nne hawakufaulu! Ndiyo maana.....