- Thread starter
- #21
Hilo titalifanya, sasa tunawataka wale walioshinda kura za maoni wasisubirie hisani, waingie kwenye uchaguzi kwa kuamini watachaguliwa na waliowapa ushindi jimboni.WAJUMBE tupo pamoja sana. Ninyi ndiyo mnaowajua fika WATIA NIA na mnaishi nao mtaani. Siyo NEC. Kutoheshimu uamuzi wenu ni kosa kubwa sana na dharau iliyokithiri. Sasa mna kura moja ya turufu. Ni kutowapigia kura ya NDIYO Oktoba 28.
Huko ccm hawatakiwi, sasa waende nje ya ccm wapiga kura ni walewale wananchi.