Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,658
Afande tall namkumbuka dah ali nipa kichapo nilitamani kuacha shule kipindi cha kwata form one 2003
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakumbuka bwenge alikuwa na sira mbaaya sasa sijui binti yake kama alifata hasara ya sura ile kwa bahat mbaya sikuwah kumwona huyo binti namkumbuku pia mwl Ntibuela alikuwa poa sana, nakumbuka wakati nasoma ilikuwa mwiko mwanafunzi kwenda shule na zaidi ya shilingi elfu tano na tena kuna wakati walimu walikuwa wanatukagua.
Siku moja kuna mwanafunzi tulikuwa tunamwita mdudu nyoka alikamatwa akiwa na shilingi elfu sita akatakiwa amwite mzazi.
Jamaa kufika nyumbani akamwambia mzee wake kuwa ada aliyompa amenyang'anywa na mwalimu mmoja anaaitwa Bwenge, kumbuka wakati huo tulikuwa tunalipa ada shilingi laki moja na elfu ishirini.
Siku ya pili mzazi wa mdudu nyoka yaani mzed nyoka mwenyewe akaja shule akitaka kumwona huyo mwalimu aliyepora ada ya mwanae. Kufika ofisini akakutana na Bwenge basi mzee akaanza kumweleza bwenge kuwa ile hela ilikuwa ni ada hivyo mwanae hana kosa hivyo ampe hiyo hela akalipe hapo ndipo kazi ilianza bwenge katoa elfu sita mzazi akakataa akasema na laki na ishirini wakashindwa kuelewana akaitwa mkuu wa shule afande Massawe.
Kesi ikawa kubwa ikabidi aitwe mdudu nyoka kuulizwa jana bwenge alichukua sbilingi ngapi akasema na laki na ishirini hiyo kauli ilimchanganya mno bwenge na kwa kuwa Massawe hakutaka liende mbali ikaamriwa bwenge arudishe laki na ishirini siku hiyo nilimwona bwenge akitoa machozi unajua wakati huo hiyo hela ilikuwa nyingi sana.
Toka wakati huo ikawa hakuna kupekuana tena na nakumbuka mdudu nyoka alikuwa tajiri kwa mwezi mzima mpaka akamaliza ile ada.
Ndiamkama yupo alikua na Suzuki maruti cheupeIvi afande Ndiamkama yupo. Yule nae alikuwa mtata sana. Mkisi ndio usiseme ile program yake '''''Mkisi program''''
Ndio mwenyeweMkisi aliyepewa ukuu wa wilaya ndio yule headmaster wa Jite?
Mbonabucha alishafariki 2003 au 2002 (RIP). Mwalimu wangu wa darasa na physics ya form1&2halafu huyu jamaa si alianzia pale pale olevel akapanda alevel
Duh alikuja kuwa headmaster kumbe
Mbonabucha sijui yuko wapi na yule mama wa skauti alikuwa mnoko kama nini
Ndeha alishanipa bakora tatu takatifu wkt nipo form4 mwl wa darasa mama shalua alinisakizia kwake eti nimeshindikanaNimesoma muda huu kwenye FB kwamba yule mwalimu mtaalam wa adhabu tatanishi (Mr. Ndeha) alishafariki dunia.
Mwenye kumfahamu huyu mwalimu, unamkumbukaje?
Mama shalua alikuwa mnoko kinoma.Ndeha alishanipa bakora tatu takatifu wkt nipo form4 mwl wa darasa mama shalua alinisakizia kwake eti nimeshindikana
Mimi ni mmojawapo nilichaguliwa government school mzazi akaona miyeyusho akapiga biti utasoma hapokadoda11 huoni jamaa anasema Jitegemee ni kwa wale waliofail form four ndo wanaenda pale hajui wengine walifaulu msingi ila wakaona haina haja ya kwenda government school wakaishia Jitegemee
mkuu hawa ni form six wa mwaka gani?.nimeipenda sana hii picha.naona swala la usafi si jambo la kuhoji.
mama shalua anakuchinja huku anakuchekea, unaweza kusingizia mcheza kamalii... ili upewe tifuu[emoji3]Mama shalua alikuwa mnoko kinoma.