Waliosoma Jitegemee Secondary School hebu ingieni hapa Tusalimiane

Waliosoma Jitegemee Secondary School hebu ingieni hapa Tusalimiane

...Tetesi kwenye habari na hoja mchanganyiko,
..halafu unatuuliza tena!
.kuwa serious mhenga!
 
Tulicheza na Jitegemee sec mechi ya mpira wa miguu pale Taifa,nikiwa njuka 1993 Tambaza sec middle yetu alikuwa jamaa yangu Mmoja anaitwa Khaji,aah jamaa alikuwa fundi sana, mwisho wa siku zikatokea rabsha na vurugu..
Kiboko yetu ilikuwa Kibasila...kitambo hiyo walikuwa na Salvatory Edward na Piter Nkwera..
 
Kama ulisoma jitegemee au Jiteute tangia enzi Conl. Fabian Masawe mpk leo karbu tujuzane na kukumbushana vtuko vya Kamanda Bruno, Ismail,ngajumara,Mzee Wajadi,Capt maige, mama shalua,Mzee masemele,afande Bwenge yan wengi sana Mama Koku wa Canteen mule. Hahaaaaa raha sana ktu chapat maharage chai.
Kiukwel tulikuw tunainjoi kusoma Jiteute kpnd hcho shule nzr na maarufu twn hpa mahasimu wetu walikuwa watt wa Mzee Kipingu Makongo.[emoji1] [emoji1] [emoji123] .

Karbun sana wadau wa jitegemee special thread.
 
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Wanapiga kwata uko... Wanakimbiza mabogii na kurutu huku jf hawapo...
 
Hahaa, kwembe mzee wa madumu, alinibebesha dumu 46, kwa mara ya kwanza nikaona huruma ya alieka discpline master kpnd kile jina nimesahau jamaa flan alikua white ana mwili mkubwa kias na kiji mustach na manywele, akaniombea msamaha japo jana yake alituchania modo mpaka kwenye mapaja halaf akatuzungusha kantine mda wa lunch, we bwana weee, yan waliokua wamevaa boksa au pichu tu ni mambo nje nje, watu sio kucheka huko cantine yote hoi, orando nae akaja kunikamata kwenye vibweta mda wa darasan, My class teacher PCB Mgomba akanitetea, ndiamkama akanidaka sina pin tai, nikamuoshea kale ka suzuk kake ikaisha, nikadakwa na simu nikapostiwa getn pale kwa kumalija, kila afande anaekuja ni fimbo ni push up. Ile shule kwa kweli imenishepu sana mpake leo nipo panctual na shapu sana. Wapi p.didy, mkisi, tall, Malegesi, bruno, weng sana sana nimesahau majina.
 
mimi nmesoma jkt kipindi mkuu wa shule akiwa ni Mkisi....
Ulivyosema mkisi. Umenikumbusha mkisi program, Ilikuwa hatari kipindi cha 2004/2006. Form five to six. Ile shule hatari sana nakumbuka msanii Noora alikimbia shule kwa sababu ya pilika pilika
 
halafu huyu jamaa si alianzia pale pale olevel akapanda alevel
Duh alikuja kuwa headmaster kumbe
Mbonabucha sijui yuko wapi na yule mama wa skauti alikuwa mnoko kama nini
Mbonabucha a rip miaka zaidi ya kumi na tano ago
 
Mama nyitike huyo na mr charls ndio walikuwa scout
Huyu mama mpuuzi sana,nilitoka chuo nikalamba ajira pale,kuna kabinti flan kakawa kanataka lkn na mimi nlikuwa na choice nyingine baadaye wakajuana wakazingua,kale kabinti kakapata moja kwenye test,ikakaumaaa,kakaenda kumwambia yule mama kwamba nimekaonea.Ngoma kwa Mkisi,alifanya uchunguzi akaja kugundua binti hakuonewa.Hii ilinichefua nikaamua kula boda.Hii issue ilinifanya nikaondoka jiteute.
 
Back
Top Bottom