Waliosoma Jitegemee Secondary School hebu ingieni hapa Tusalimiane

Waliosoma Jitegemee Secondary School hebu ingieni hapa Tusalimiane

Me nimesoma jitegemee 1992_ 95 enzi ya kina banabucha, ngajua na bwenge kipindi kile cha mechi yetu na tambaza uwanja wa taifa na sisi ndio chanzo cha kufungwa shule ya tambaza tulipo wafunga hasira zao wakaua kondakta wa chai maharage, jite ile ilikuwa balaa
 
  • Thanks
Reactions: Paw
Kwa walio kuwa wanamfahamu Mr.ngamesha mtaalamu wa physical geography Alisha fariki Ila afande tall na masemele yupo walio mmisi afande kumalija yupo pia nw hakuna amsha amsha km miaka ya nyumaa
 
mkisi program ndio niliikubali sana ilitufanya tuwe bussy na kufanya vizuri mitihani yetu ya necta,mkisi mkuu popote ulipo respect yako afande.
 
Nilikuwaga na mwalim wangu mmoja hivi alitufundisha commerce form one hadi four...aisee huyu mwalim alikuwa anajua kufundisha nilikuwa namkubali sana...alikuwa bongebonge kidizain alikuwa na sura ya kichaga....siku nikimona nitafurahi sana...2001-2004 ilikuwa
jina unalikumbuka....?
 
Me nimesoma jitegemee 1992_ 95 enzi ya kina banabucha, ngajua na bwenge kipindi kile cha mechi yetu na tambaza uwanja wa taifa na sisi ndio chanzo cha kufungwa shule ya tambaza tulipo wafunga hasira zao wakaua kondakta wa chai maharage, jite ile ilikuwa balaa

Naamini tutakuwa tunafahamiana maana nilikuwa pale miaka ya 1993 -1996 na ugomvi huo nilikuwepo sana
 
  • Thanks
Reactions: Paw
1782097_705481902815942_1692643582_a.jpg


Salaam kwa wote mliowahi kusoma Shule ya Sekondari ya Jitegemee lengo la uzi huu ni kusalimiana na kukumbushana vitu vizuri na vya kipekee vinavyopatikana/vilivyokuwa vinapatikana shuleni Jitegemee
binafsi nakumbuka sana vitu vifuatavyo
1. Mkungu Tree: Huu ni mti unaotumiwa sana kwa ajili ya kufanyia vikao na School baraza
2. Uwanja wa damu:

kuna eneo linaitwa loliondo eneo hili lipo kwenye hostel ya wavulana.maticha ninao wakumbuka ni mbonabucha,ndeha,wajadi others u name it

nimesumbua sana pale jkt 2005-2008 watoto wa mrimi mnandi form one A1(2005). ibra apa nimesumbua sn hapo jkt.0717 927771 nichek km unanipata
 
Hahaha nimekumbuka mbali sana nakumbuka nipo pale jite nasoma maafande pale getini walikuwa wananiogopa sana kisa nilikuwa napewa lift na mkisi wakajua naishi naye.lile gari ilikuwa adimu kumwona mwanafunzi amepanda.nilisoma kwa raha sana jite
 
Daaaaa! Baaaab Kubwa. Nilikuwa high School intake ya 1999-2001

Naipa Big Up Jite Ute kwani leo hii Naweza Kuishi Mwenyewe Porini kwa Mwaka Mzima, kwa ujasiri nlioupata toka kwa Akina Afande Kiimbi/Tolu/Massawe na Wajadi.
 
Nakubaliana na wewe kwa upande mmoja lakini ukiangalia hata kipindi chanyuma shule ilikuwa inaweza klushindana watu kama mzizima, shabani roberts etc kimetokea nini wakatupiga gape kubwa hivi.hata hiyo michezo iliyokuwa inatupa kiburi atufanyi vizuri.div zero zilikuwepo hata zamani lakini sio kwa kiwango hiki.
 
Jitegemee secondary school I love you!jitegemee secondary school I preise you,I respect you just because, I benefit from.....Dah!,nilikuwa na imba!.
 
Mwalimu Mleli alinilambaga stick pale getini sitomsahau....Ndyamukama, mtokambali, afande kajumala a.k.a afande shivo...afande ismail kwa mikwara baadae mkikutana nae mkungu tree mnapiga story poa kabisa.....mwl kwembe na adhabu za kumwagilia.....Mdendemi a.k.a Madilu yeye ni kuuza vitabu na past papers....mkisi prog siku hizi mkisi ni mkurugenzi wa utumishi JKT
Jitegemee O level 2004-2007....A level 2008-2010
 
Back
Top Bottom