Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtamile;Ni kweli mkuu hali ni mbaya sana Msaada wa haraka sana unahitajika ni watu wengi sana wqmepita pale naamini kabisa tukiunganisha nguvu tunaweza kutoka hatua moja kwenda hatua nyingine
Tusaidie jeshi kwenye elimu?
Ni kweli mkuu hali ni mbaya sana Msaada wa haraka sana unahitajika ni watu wengi sana wqmepita pale naamini kabisa tukiunganisha nguvu tunaweza kutoka hatua moja kwenda hatua nyingine
Mtamile;Ni kweli mkuu hali ni mbaya sana Msaada wa haraka sana unahitajika ni watu wengi sana wqmepita pale naamini kabisa tukiunganisha nguvu tunaweza kutoka hatua moja kwenda hatua nyingine
Tusaidie jeshi kwenye elimu?
kabanga ulikuwa unafundisha nini Jiteute
Matokeo haya na ya mwaka jana yameniumiza na kuniudhi sana.Mtamile mawazo yaliyotolewa kwa kweli yanafaa sana kufanyiwa kazi
Jitegemee ya sasa sio ile Jitegemee tuliyopita sisi ambapo ulikuwa unatafuta ziro ziko wapi na one zilikuwa za kumwaga ila kwa sasa unatafuta one ziko wapi ila zero na iv ni za kumwaga
Sisi tulipita pale na tuliona namna shule ilivyokuwa nanidhamu na mazingira mazuri ya kusomea japo wakati huo hata library na lab ilikuwa hakuna kwa sasa wana majengo mazuri wanalibrary nzuri wana lab na kila kitu kwenye net ila ndo Jitegemee inazidi kudidimia
Hebu Jitegemee Alumni tufanye la maana bana
Cc Paw, Kulya, nyenjenkuru, manyasn, mpambe
Matokeo haya na ya mwaka jana yameniumiza na kuniudhi sana.
Inabidi Alumni tuoneshe kuumizwa kwa vitendo zaidi. Naunga mkono hoja kufanya jambo la kufuta aibu kama hii siku za usoni.
Mtamile mawazo yaliyotolewa kwa kweli yanafaa sana kufanyiwa kazi
Jitegemee ya sasa sio ile Jitegemee tuliyopita sisi ambapo ulikuwa unatafuta ziro ziko wapi na one zilikuwa za kumwaga ila kwa sasa unatafuta one ziko wapi ila zero na iv ni za kumwaga
Sisi tulipita pale na tuliona namna shule ilivyokuwa nanidhamu na mazingira mazuri ya kusomea japo wakati huo hata library na lab ilikuwa hakuna kwa sasa wana majengo mazuri wanalibrary nzuri wana lab na kila kitu kwenye net ila ndo Jitegemee inazidi kudidimia
Hebu Jitegemee Alumni tufanye la maana bana
Cc Paw, Kulya, nyenjenkuru, manyasn, mpambe
Nashauri kama kuna alumnus yoyoye ana mawasiliano ya moja kwa moja na uongozi au mwalimu yoyote au anaweza kufika jite aonane na uongozi na kutaarifu azma ya alumni kuisaidia shule.
Then shule inaweza kutusaidia kuorganize our meeting kiurahisi.
Kwasasa niko Mwanza, nitajitahidi kuona kama naweza kupata mawasiliano na uongozi ili nifikishe ujumbe wetu.
This school belongs to me! This school belongs to you! This school belongs to us....
Its up to me and you!!!
Mkuu Kulya tena hapo uko karibu sana na Massawe na kama akija mwanza au ukipata mawasiliano nae mwambie wazi kabisa shule inatisha inaanguka kifo cha mende na atachekwa aliiacha shule ikiwa nzuri na kama mdau alipaswa alijua hata inaendeleaje
Wadau mlioko Dar fanyeni mipango na walimu au uongozi wa Jitegemee kwa sasa kuweza kujua na kupata namna sisi tuliopita pale tunaweza kuisaidia Jitegemee kuondokana na aibu hii ya matokeo mabaya ambayo yanatia aibu kwa kweli
I love this spirit.....This school belongs to me! This school belongs to you! This school belongs to us....