Waliosoma Jitegemee Secondary School hebu ingieni hapa Tusalimiane

Waliosoma Jitegemee Secondary School hebu ingieni hapa Tusalimiane

sheria za jamiiforums zifanyiwe marebisho kuzuia mods kujiingiza kwenye mijadala ya humu jamvini

Mkuu hapa umeingia sehemu usiyotakiwa. hebu jaribu kuingia. HAPA nadhani hapa panakuhusu sana
 
  • Thanks
Reactions: Paw
Mkuu hapa umeingia sehemu usiyotakiwa. hebu jaribu kuingia. HAPA nadhani hapa panakuhusu sana


Mkuu Mtamile mbona unabishana na huyo jamaa bana hii thread ni kwa ajili ya wana Jitegemee na kama tulifail darasa la saba au form four haimuhusu ili mradi tunazungumzia Jitegemee tuliyosoma
Na yeye huyo jamaa aanzishe uzi wa Tabora boys na Mzumbe kwa wana special school wazungumzie yao
Hakuna mtu aliyemkaribisha hapa kuja kusoma masuala ya wana Jitegemee wakati hayamhusu na hayapendi au azungumze na watu walio "fail" akakae na waliofaulu wenzake wa tabora boys na mzumbe bana
 
Last edited by a moderator:
Hv afande ntibwela yupo jamani maana yale matusi yake yalitusababishia majanga assembly tulicharazwa sitokaa ni sahau....siku hiyo asubui Masawe yuko mbele anahutubia ntibwela akawa anazingukia mistari ya wanafunzi na yale matusi yake kosa kijana mgeni akacheka bwanabwana akabwatuka afande wanakucheka huku walikuja ma MP tulichangamkiwa sitokaa nisahau.
Skaponda (shozniga) niliskia amefariki.
Hivi afande njenje (Bakuza) naye yuko wapi

Umenikumbusha Ntibwela jamaa alikuwa na matusi mpaka kwenye kipindi chake anatukana matusi tuu na wala haogopiu kuwa mle kuna mchanganyiko wa wanaume na wasichana
 
  • Thanks
Reactions: Paw
Dah kumbe!
Basi mwenzio nilidanganywa na NECTA kuwa nimefaulu hata cheti walikipamba kwa flying colours.


We Paw unamkumbuka Kwame eti sasa ni mwalimu kule dodoma nkacheka sana yule jamaa alikua mtu wa matukio sana najua utakua lazma unamjua au ndo wewe Paw
 
Mkuu Mtamile mbona unabishana na huyo jamaa bana hii thread ni kwa ajili ya wana Jitegemee na kama tulifail darasa la saba au form four haimuhusu ili mradi tunazungumzia Jitegemee tuliyosoma
Na yeye huyo jamaa aanzishe uzi wa Tabora boys na Mzumbe kwa wana special school wazungumzie yao
Hakuna mtu aliyemkaribisha hapa kuja kusoma masuala ya wana Jitegemee wakati hayamhusu na hayapendi au azungumze na watu walio "fail" akakae na waliofaulu wenzake wa tabora boys na mzumbe bana

mkuuu hapo nilipomwelekeza ndo kwenye uzi wa Tabora Boys a.k.a Spesho skuu wanaposoma watu wenye akili
 
Last edited by a moderator:
mkuuu hapo nilipomwelekeza ndo kwenye uzi wa Tabora Boys a.k.a Spesho skuu wanaposima watu wenye akili


Nimekupata mkuu Mtamile hakuna shaka tupo pamoja tukumbushane ya Jitegemee bana Shark na wewe ulisoma Jiteute
 
Last edited by a moderator:
We Paw unamkumbuka Kwame eti sasa ni mwalimu kule dodoma nkacheka sana yule jamaa alikua mtu wa matukio sana najua utakua lazma unamjua au ndo wewe Paw
Hahahaha namkumbuka sana Kwame.
Nilimuacha darasa moja nyuma. Jamaa alikuwa maarufu sana kwa matukio. Ila hata mie nilipoambiwa ni Mwalimu nilistuka sana aisee.

Enzi zile Jitegemee ilikuwa shule kamili kila idara kuanzia taaluma hadi vipaji. Siku hizi imebaki historia tu

 
Hahahaha namkumbuka sana Kwame.
Nilimuacha darasa moja nyuma. Jamaa alikuwa maarufu sana kwa matukio. Ila hata mie nilipoambiwa ni Mwalimu nilistuka sana aisee.

Enzi zile Jitegemee ilikuwa shule kamili kila idara kuanzia taaluma hadi vipaji. Siku hizi imebaki historia tu


Hivi lile koti zito kwa ajili ya adhabu bado lipo?
 
  • Thanks
Reactions: Paw
kuna ambao walishiriki halaiki ya kuadhimisha miaka 45 ya uhuru. Tulichanganywa Jite, Chang'ombe na Kibasila, tukawa tunaletewa sausage na kuku wa Jana, wanaume tukaweka mgomo, hakuna kufanya tizi, Mkisi kaja anatubembeleza watu tumedinda, kesho tukaanza kusign posho buku 5. Ha ha! Pigwa sana na jua, sura inakua na rangi saba.. Komwe limebabuka kwa kwata..! Mpo walengwa?
 
kuna ambao walishiriki halaiki ya kuadhimisha miaka 45 ya uhuru. Tulichanganywa Jite, Chang'ombe na Kibasila, tukawa tunaletewa sausage na kuku wa Jana, wanaume tukaweka mgomo, hakuna kufanya tizi, Mkisi kaja anatubembeleza watu tumedinda, kesho tukaanza kusign posho buku 5. Ha ha! Pigwa sana na jua, sura inakua na rangi saba.. Komwe limebabuka kwa kwata..! Mpo walengwa?

mkuu hiyo naikumbuka sana mimi nilifanya tu mazoezi ya mwanzo baadae nikalala mbele nakumbuka mwaka unaofuata waliandaa tena halaiki kwa ajili ya Sherehe za birthday ya CCM watu wamepiga mzigo nilipoona pesa inakarinia kuanza kutoka na mimi nikawa nimejichomeka tena siku hiyo alikuwa amekuja katibu mkuu Yusuph Makamba wakati mazoezi ya nyimbo yanaendelea tulikuwa mkungu Tree nikaenda kukaa nyuma kabisa balaa likawa wakiimba mimi nachezesha tu mdomo maana ndo nilikuwa nimehudhuria mara ya kwanza aisee kumbe jamaa wameniona wakaja Fasta wakanitoa nduki ikabidi niishie hapo hapo
 
Mtamile duh kweli wewe vituko
Mkuu Manyasn kumbe unamjua Bwenge eehh jamaa alikuwa anakula pesa za rambirambi mbaya mnachangishwa anapelekewa na zinazoenda utashangaa
 
Mr Rocky
Kuna Sabini, Wajadi, Bashaka mzee wa madebe ya kumwagilia, Bakuza a.k.a Njenje, Budodi, Mazala misimamo ipo palepale.
Acha kabisa, kuna Ndee alikuwa anachapa hovyo vibaya. Kuna Temba, huyu alikuwa anauza majalada.
Kipindi hiko Mkisi bado sana, nadhan ndo alikuwa first year chuo akawa anakujakuja pale kutembeatembea.
 
Jamani mimi namkumbuka mama anyitike,alikuwa na roho ngumu.MPETA pia namkumbuka sana alikuwa smart sana
 
Matokeo ya Form Four 2013

1507560_644296325637440_280352885_n.jpg


Kwa Kirefu tazama HAPA
 
Nimesoma muda huu kwenye FB kwamba yule mwalimu mtaalam wa adhabu tatanishi (Mr. Ndeha) alishafariki dunia.

Mwenye kumfahamu huyu mwalimu, unamkumbukaje?

I see mkuu Paw Mr Ndeha kafariki? Dah, mie ntamkumbuka sana maana yeye ndo aliyenambia siku ya kwanza kabisa Jiteute, alikuwa anaita majina na kutwambia wewe mkondo gani...Alipoita jina langu akaniangaliaaaaa then akaniambia wewe subiri tuongee kidogo...mama yangu joto lilianza kunitoka, lakini baadaeakaniambia katika watu wenye bahati mwaka huu ni wewe...Ulikuwa na alama nzuri kwenye mtihani lkn sehemu uliyotoka ndo imesaidia pia kuchaguliwa...Sijawahi kuelewa mpaka leo na tokea hapo akawa ni rafiki yangu mkubwa mpaka namaliza form four 2000...Ikumbukwe tulifanya mtihani watu 2000 kuingia form one na walihitajika 500 tu na 50 ni kutoka kwa maafande....
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Paw
Matokeo ya Form Four 2013

1507560_644296325637440_280352885_n.jpg


Kwa Kirefu tazama HAPA

Hali ni mbaya sana wakuu. Hebu kama alumni tunaojivunia shule yetu iliyotufikisha tulipo tuisaidie kurejesha heshima na performance yake.

Nafikiri kwanza tuanze na reunion, hapo tukutane na tuunde executive committee kwaajili ya kufacilitate na kuja na ideas on how we can help Jitegemee.

Kuna watu wa muhimu sana katika nchi hii waliotoka hapo, ila ni kama hawaioni vile, na kama wanaiona basi hawajui waanzie wapi, Mh. Massawe, Kiswaga, Mkisi....shule inazidi kuzama na kunasa kwenye tope la kuwa kitovu cha matokeo mabaya.
 
  • Thanks
Reactions: Paw
Mtamile duh kweli wewe vituko
Mkuu Manyasn kumbe unamjua Bwenge eehh jamaa alikuwa anakula pesa za rambirambi mbaya mnachangishwa anapelekewa na zinazoenda utashangaa

Yale mashati ya shule waliyokuwa wanatupa pale shule...mabayaa!! Yaliitwa bwenge! Yaani baada ya wiki tu, shati limefubaa, mziki wake ukutwe nalo sasa limefubaa siku ya inspection...utajuta kumjua bwenge dadadadeki
 
Hali ni mbaya sana wakuu. Hebu kama alumni tunaojivunia shule yetu iliyotufikisha tulipo tuisaidie kurejesha heshima na performance yake.

Nafikiri kwanza tuanze na reunion, hapo tukutane na tuunde executive committee kwaajili ya kufacilitate na kuja na ideas on how we can help Jitegemee.

Kuna watu wa muhimu sana katika nchi hii waliotoka hapo, ila ni kama hawaioni vile, na kama wanaiona basi hawajui waanzie wapi, Mh. Massawe, Kiswaga, Mkisi....shule inazidi kuzama na kunasa kwenye tope la kuwa kitovu cha matokeo mabaya.

Ni kweli mkuu hali ni mbaya sana Msaada wa haraka sana unahitajika ni watu wengi sana wqmepita pale naamini kabisa tukiunganisha nguvu tunaweza kutoka hatua moja kwenda hatua nyingine
 
Back
Top Bottom