Waliosoma Jitegemee Secondary School hebu ingieni hapa Tusalimiane

Ivi afande Ndiamkama yupo. Yule nae alikuwa mtata sana. Mkisi ndio usiseme ile program yake '''''Mkisi program''''
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mnanikumbusha mbali kweli
 
Usisikie mihogo na chachandu kwa chinga ukirudi class kusinzia tu.
My time was 1998 to 2001 olevel chini ya kanali masawe. Nilikuwa form 4 A1
 
halafu huyu jamaa si alianzia pale pale olevel akapanda alevel
Duh alikuja kuwa headmaster kumbe
Mbonabucha sijui yuko wapi na yule mama wa skauti alikuwa mnoko kama nini
Mbonabucha alishafariki 2003 au 2002 (RIP). Mwalimu wangu wa darasa na physics ya form1&2
 
Namkumbuka afande bruno siku king'ora cha saa sita kimelia ili twende kwenye kwata halafu tukachelewa kidogo kwa sababu ya kukopi homework alivofka na kusimama mlangon tu ilikuwa ni kichurachura hadi uwanja wa damu kilichotokea hakutoa amri ya sisi tusimame acha watu waruke hadi watu wakafka mwisho wa uwanja wa damu kwenye ile mitaro mirefu watu wakabak wakirukaruka tu sehem moja na hawaend mbele niliogopa sana kama angesema turuke ile mitaro lakini akasema tugeuke daaaahhh
 
Dah afu mkisi kwa sasa ni mkuu wa wilaya wilaya moja hivi ya huko kigoma mpakani
 
Nimesoma muda huu kwenye FB kwamba yule mwalimu mtaalam wa adhabu tatanishi (Mr. Ndeha) alishafariki dunia.

Mwenye kumfahamu huyu mwalimu, unamkumbukaje?
Ndeha alishanipa bakora tatu takatifu wkt nipo form4 mwl wa darasa mama shalua alinisakizia kwake eti nimeshindikana
 
kadoda11 huoni jamaa anasema Jitegemee ni kwa wale waliofail form four ndo wanaenda pale hajui wengine walifaulu msingi ila wakaona haina haja ya kwenda government school wakaishia Jitegemee
Mimi ni mmojawapo nilichaguliwa government school mzazi akaona miyeyusho akapiga biti utasoma hapo
mkuu hawa ni form six wa mwaka gani?.nimeipenda sana hii picha.naona swala la usafi si jambo la kuhoji.
 
Wadau kwa waliosoma Jitegemee enzi hizo na pia wale waliosoma Dar miaka ya 90 kuna wahenga maarufu sana wafuatao sijui wako wapi miaka hii,
a) Pomp Duu- Huyu alikuwa anapendelea sana muziki,alikuwa rasta kimtindo halafu alikuwa mshiriki mzuri sana wa shughuli nyingi za pale shuleni.
b) Adam Kimanyo- Huyu naye alikuwa maarufu san enzi hizo, siku za mechi na timu za shule nyingine alitumika sana kwenye kamati za ufundi. Ilikuwa ngumu kwenda kwenye mechi bila kumshirikisha.
c) Edd Cocks- Huyu dogo alikuwa maarufu sana na pia machachari kweli.habari zote za mujini alikuwa anazijua.
d)Mwalimu Kidenya- Huyu mwalimu nae alijipatia umaarufu sana kwani alikuwa yupo serious sana.

Karibuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…