Year uko right mkuu ni Mama Anyitike na wanasema yule mama hakuwahi kuwa na mtoto ndo maana alikuwa mkali vibaya sana nanasikia pia Mama Lyimo alishafariki pia mkuu
Unamkumbuka yule mwalimu wa Biology alikuwa akija darasani hashiki chaki kwa ajili ya kuogopa kuchafuka achana na Mama Mnzava aliyekuwa bingwa wa Bios sanapale Jiteute
halafu unakumbuka Form Four moja ya biashara nafikiri ni D1 wakati huo sisi tukiwa Form IV C1 ilikuwa ya matoz wakiingia darasani wana perfume na vitana na brush wakitoka ile mchana huwezi jua ndo wanaingia au wanatoka maana ni wasafi mbaya na walimu walikuwa washajua darasa lile ni la matoz so wakiingia kufundisha waelewe wasielewe hakuna anayejali
Nimekutajia na darasa mkuu unaweza pata picha
Nakuja PM mkuu
Paw