Mtamile
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 2,838
- 1,274
- Thread starter
- #81
Nakumbuka tuliifunga Tambaza that day ndo balaa likaanza. Kwa wasiofahamu ni kwamba Vurugu ile ndo ilipelekea Tambaza kubadilisha mchepuo kutoka Olevel to Alevel. Nilikuwepo ktk wanafunzi waliokwenda Tambaza kuwatambua vinara wa vurugu.
Mkuu hivi beef kati ya Tambaza na Jite au Azania na Jite Ipi ilikuwa hatari zaidi?