Waliosoma Jitegemee Secondary School hebu ingieni hapa Tusalimiane

Waliosoma Jitegemee Secondary School hebu ingieni hapa Tusalimiane

Nimesoma muda huu kwenye FB kwamba yule mwalimu mtaalam wa adhabu tatanishi (Mr. Ndeha) alishafariki dunia.

Mwenye kumfahamu huyu mwalimu, unamkumbukaje?
 
Niliangalia matokeo ya mwaka jana
S0496 JITEGEMEE SECONDARY SCHOOL

DIV-I = 1 DIV-II = 2 DIV-III = 26 DIV-IV = 210 FLD = 443

Nilitamani kulia. Nilikutana wakati huo na mwanafunzi mmoja wa kidato cha tatu ambapo aliniambia kwamba sasa ili kuvuka darasa inabidi mwanafunzi asiwe below 20 wastani wa alama zake.

Mnakumbuka below 50?


Jitegemee imebakia jina tuu mkuu Paw na sijui ni nini kimewapata pale na hata Lugalo nayo imebakia jina baada ya kuondoka Kipingu
Hawa jamaa Massawe na Kipingu waliendesha zile shule japo kwa mkono wa chuma ila zilikuwa ziko juu yaani kuingia pale ilikuwa upambane haswa na ukiingia class uwe na performance nzuri na uendelee nayo kwa muda sio uwe na no za viatgu aise
na ndo wakati huo watu kama Mwalimu Mnzava, mama Maruma, Mrimi, Bwenge, Wajadi, mama Lyimo walikuwa juu sana kwenye ufundishaji na Unakumbuka Massawe alivyokuawa anafanya ziara madarasani kuangalia kama walimu wanafundisha na kuuliza maswali kuangalkia uelewa wa wanafunzi na alikuwa na utaratibu kama mwalimu hajaingia darasani unaenda kureport kwake moja kwa moja
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Paw
JITEGEMEE ndio nini? ,ipo nchi gani?

ni shule tuliosoma sisi wajanja wa town,watukutu na mabrazameni but too smart upstairs wa wakati ule headmaster akiwa ni col. massawe.inapatikana dsm eneo la jkt mgulani. CC Paw , Mr Rocky et al
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Paw
Niliangalia matokeo ya mwaka jana
S0496 JITEGEMEE SECONDARY SCHOOL

DIV-I = 1 DIV-II = 2 DIV-III = 26 DIV-IV = 210 FLD = 443

Nilitamani kulia. Nilikutana wakati huo na mwanafunzi mmoja wa kidato cha tatu ambapo aliniambia kwamba sasa ili kuvuka darasa inabidi mwanafunzi asiwe below 20 wastani wa alama zake.

Mnakumbuka below 50?


OMG!kwa matokeo hayo ya mwaka jana naona aibu kuji-introduce kwamba mimi ni alumni wa jitegemee secondary.nazama uvunguni mwa meza aisee.
 
ni shule tuliosoma sisi wajanja wa town,watukutu na mabrazameni but too smart upstairs wa wakati ule headmaster akiwa ni col. massawe.inapatikana dsm eneo la jkt mgulani. CC Paw , Mr Rocky et al
lakini mlikuwa mmefeli form form four undo maana mkaenda jitegemee sec
 
Last edited by a moderator:
lakini mlikuwa mmefeli form form four undo maana mkaenda jitegemee sec

haya wewe ulichaguliwa darasa la saba ndio maana ukaenda kibasila secondary.kwa sasa hivi standards za kimaisha ndio zina determine kupasi kwetu na kufeli kwetu.huku mtaani tunawakimbiza hata wale waliosoma shule za kuchaguliwa-shule za serikali.
 
haya wewe ulichaguliwa darasa la saba ndio maana ukaenda kibasila secondary.kwa sasa hivi standards za kimaisha ndio zina determine mupasi kwetu na kufeli kwetu.huku mtaani tunawakimbiza hata wale waliosoma shule za kuchaguliwa-shule za serikali.

Mimi ni alumni wa taboraboys na mzumbe sec
 
Nimesoma muda huu kwenye FB kwamba yule mwalimu mtaalam wa adhabu tatanishi (Mr. Ndeha) alishafariki dunia.

Mwenye kumfahamu huyu mwalimu, unamkumbukaje?

nawewe mkuu paw ni alumni was jitegemee?
 
  • Thanks
Reactions: Paw
Kumbe paw kasomea jitegemee maana yake alifeli form4 ndio akaenda jitegemee yaani blog kubwa kama jamiiforums inaongozwa na watu waliofeli sekondari ni aibu kubwa kwa blog kama hii kuongozwa na vilaza
 
Kumbe paw kasomea jitegemee maana yake alifeli form4 ndio akaenda jitegemee yaani blog kubwa kama jamiiforums inaongozwa na watu waliofeli sekondari ni aibu kubwa kwa blog kama hii kuongozwa na vilaza

hiyo name calling style yako itakusababishia ban ndg.i think wewe ni mmoja ya wale walioota sana kusoma jite na wakakosa admission during col. massawe administration.grow up and leave jite's alumni share their past experiences .hujakatazwa kuanzisha thread ya tabora boys or mzumbe sec. cc Paw
 
Last edited by a moderator:
Kumbe paw kasomea jitegemee maana yake alifeli form4 ndio akaenda jitegemee yaani blog kubwa kama jamiiforums inaongozwa na watu waliofeli sekondari ni aibu kubwa kwa blog kama hii kuongozwa na vilaza
Dah kumbe!
Basi mwenzio nilidanganywa na NECTA kuwa nimefaulu hata cheti walikipamba kwa flying colours.
 
733866_596153547079315_1159468310_n.jpg


Hapo sasa !!!
 
  • Thanks
Reactions: Paw
kadoda11 achana na jamaa bana atakukera tuu na wala hajui kwanini tulienda Jiteute
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Paw
Back
Top Bottom