Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamefanya vizuri sana.Nimefurahi sana chuo cha MUST kuanza kutoa ualimu wa masomo ya ufundi maana watatoa walimu vijana watakaoenda kubadirisha mambo mengi ambayo yalikua chini ya wazee. Tanga tech tulikua tunafundishwa architecture na mr Mgonja ambaye ana notes alizofundisha 70s, Necta walishavitoa kwenye mtaala [emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Da umenikumbusha mbali sana mkuu kuiona shuleyangu nilipoivia apoIfunda Technical Secondary school
View attachment 2645250
Sasa kuna huyo magoiga atakua ndo kamrithi huyo yaan ni mnoko tulikua tunamuita mbwa wa shuleIfunda tech moja hiyo,sema sahizi wameikarabati inavutia kinoma.
Changamoto lilikuwa liticha linaitwa mwakalago,yani ticha kama upo humu nakumind mpaka leo.Ulikuwa mnoko kichizi
hongera mkuuDa umenikumbusha mbali sana mkuu kuiona shuleyangu nilipoivia apo
hata kama ndo mbwa jamaniSasa kuna huyo magoiga atakua ndo kamrithi huyo yaan ni mnoko tulikua tunamuita mbwa wa shule
Magoiga si ndo man2man, yupo pale zaidi ya miaka 20 sasa, huyo Mwakalago atakuwa kamkuta Magoiga.Sasa kuna huyo magoiga atakua ndo kamrithi huyo yaan ni mnoko tulikua tunamuita mbwa wa shule
bwiru boys tech school yakitambo sana unaisahauBinafsi, shule za sekondari za ufundi hapa Tanzania ni zile tano tu na zilikuwa zina workshop kamilifu haswa. Hizi za baadaye sina imani nazo. Shule hizo tano ni hizi;
1. Ifunda Tech
2. Tanga Tech
3. Mtwara Tech
4. Mazengo
5. Moshi Tech
Nje ya hizo, ni mfano wa shule za ufundi
shule bora kabisa kuwahi kutokea Bongobwiru boys tech school yakitambo sana unaisahau
Tano tu mwanabwiru boys tech school yakitambo sana unaisahau
kwenye uzi wenu but karibuni piaSt Kayumba tucomment wapi
Iyunga tech class of 2000/2003... Miaka 20 iliyopita sio mchezo!
tano zipi shule za ufundiziko 9 sasaTano tu mwana
Unamjua mwalimu sakafuHahaha bado hajaacha utoto na sifa za kijinga. Ila ni mchapa kazi japo anapenda sana kujipendekeza kwa maboss wake.
Mkurya wa wapi sijui yule.
Hii imefanyiwa ukarabat, before haikuwa hivi ilikuwa ya vigae iking'ara japo sio kitoIfunda Technical Secondary school
View attachment 2645250
Yeah, nampata.Unamjua mwalimu sakafu