Waliotaka kumchezea Rais Samia kama Bibi yao wameufyata. Rais kamatia hapo hapo

Waliotaka kumchezea Rais Samia kama Bibi yao wameufyata. Rais kamatia hapo hapo

kama wewe ulivyo kwenye keyboard unavyojipa matumain kuwa kuna kesi ya uhain kumbe ni ujinga wako wa kutokujiendeleza kielimu ili upate maarifa, utaishi kukoment kuna uhain kumbe ni ujinga ulionao kichwani na wapuuz wenzio hapo lumumba, wenzio kina chongolo walijaribu kuzunguka nchi nzima kuhadaa watanzania walichokutana nacho ni aibu wakagundua ni bora kujikalia kwenye makorido ya lumumba na kula posho za hongo kutoka kwa warabu ili kuwapa bandari bure. Wewe ndio umebaki uhain uhain ujinga mzigo.
Keyboard warriors
 
bora akili hizo kuliko za nyie makuwadi ya warabu aka puppets au vibaraka wa warabu koko.
Shida yenu waarabu tu wala sio vipengele vya Mkataba. Na huo ni udhaifu wa akili zenu. Ila eleweni kuwa Dunia inahamia middle east, sasa mtaendelea kuumia sjui hadi lini.
 
Back
Top Bottom