Waliotaka kumchezea Rais Samia kama Bibi yao wameufyata. Rais kamatia hapo hapo

Waliotaka kumchezea Rais Samia kama Bibi yao wameufyata. Rais kamatia hapo hapo

Nimemsikiliza Padre Slaa eti anasema dawa ni kupindua serikali daah halafu kuna mapunguani wanasema kaonewa.
 
Binafsi nimefurahi sana jinsi Rais Samia ameamua kuwanyoosha waliotaka Kumchezea na kumdhihaki toka Mwanzo wa utawala wake.

Mara kadhaa nilitoa maoni yangu kwamba Rais asikubali kuchezewa maana mtu mweusi hajui maana ya ustaarabu Huwa wanaenda kwa mijeledi na bakora nadhani sasa wameelewa.

Mara nyingi sana wakiambiwa wasitumie uhuru wao vibaya kumdhihaki Rais na kumtukana badala yake wajenge constructive criticism ila wakaona hakuna kitu.

View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1691158828430118912?t=EuMmam_ESfauwcHmgGdBmA&s=19

My Take:
My Rais wavutie kamba zaidi Bado wapo Baadhi yao huko Twitter, Afrika inaenda kwa mijeredi bila hivyo mtu mweusi huwa haelewi, wananchi wako busy na kuchapa kazi hakuna mtu ataacha kazi eti ahangaike na hao wapuuzi.

Uhuru wa maoni kwa maana yao ni kumtukana rais kadri wanavyojisikia na sio zaidi ya hapo.

Madonna alidhani umaarufu wake utamsaidia akamdhihaki Donald Trump katika mkutano mmoja wa kudai haki ya wanawake, CIA na vyombo vya dola vya Marekani vikamwambia afute kauli yake na akaifuta mara moja.

Majuzi serikali ya Biden imemuua mwanaharakati mmoja mwenye sera za wazungu wenye siasa kali, baada ya huyo jamaa kusema kuwa atamuua rais Biden iwapo atakwenda kwenye mji wake. FBI wakamuwahi yeye mapema.

Rais ni taasisi na lazima iheshimiwe, sio mtu mmoja anayeonakana akihutubia mbele ya kamera za runinga.
 
shivji wapi alitukana? utamlinganisha na huyo zuzu mwambukusi au hicho ki mdude?
Kwani amekamatwa? Si yupo anaendelea na maisha ila hao wengine Sasa waliotaka kufanya uhaini ndio washughulikiwe
 
Uhuru wa maoni kwa maana yao ni kumtukana rais kadri wanavyojisikia na sio zaidi ya hapo.

Madonna alidhani umaarufu wake utamsaidia akamdhihaki Donald Trump katika mkutano mmoja wa kudai haki ya wanawake, CIA na vyombo vya dola vya Marekani vikamwambia afute kauli yake na akaifuta mara moja.

Majuzi serikali ya Biden imemuua mwanaharakati mmoja mwenye sera za wazungu wenye siasa kali, baada ya huyo jamaa kusema kuwa atamuua rais Biden iwapo atakwenda kwenye mji wake. FBI wakamuwahi yeye mapema.

Rais ni taasisi na lazima iheshimiwe, sio mtu mmoja anayeonakana akihutubia mbele ya kamera za runinga.
safi sana nhiyo ndiyo dawa yao hata hapa wanasytahili hivyo wapuuzi wamoja hawa
 
Binafsi nimefurahi sana jinsi Rais Samia ameamua kuwanyoosha waliotaka Kumchezea na kumdhihaki toka Mwanzo wa utawala wake.

Mara kadhaa nilitoa maoni yangu kwamba Rais asikubali kuchezewa maana mtu mweusi hajui maana ya ustaarabu Huwa wanaenda kwa mijeledi na bakora nadhani sasa wameelewa.

Mara nyingi sana wakiambiwa wasitumie uhuru wao vibaya kumdhihaki Rais na kumtukana badala yake wajenge constructive criticism ila wakaona hakuna kitu.

View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1691158828430118912?t=EuMmam_ESfauwcHmgGdBmA&s=19

My Take:
My Rais wavutie kamba zaidi Bado wapo Baadhi yao huko Twitter, Afrika inaenda kwa mijeredi bila hivyo mtu mweusi huwa haelewi, wananchi wako busy na kuchapa kazi hakuna mtu ataacha kazi eti ahangaike na hao wapuuzi.

Nakuona tu CHAWA katika ubora wako.
 
Tufanye siasa bila kuvunja sheria zetu za Nchi yetu hii nzuri yenye milima mabonde na mito
 
Binafsi nimefurahi sana jinsi Rais Samia ameamua kuwanyoosha waliotaka Kumchezea na kumdhihaki toka Mwanzo wa utawala wake.

Mara kadhaa nilitoa maoni yangu kwamba Rais asikubali kuchezewa maana mtu mweusi hajui maana ya ustaarabu Huwa wanaenda kwa mijeledi na bakora nadhani sasa wameelewa.

Mara nyingi sana wakiambiwa wasitumie uhuru wao vibaya kumdhihaki Rais na kumtukana badala yake wajenge constructive criticism ila wakaona hakuna kitu.

View: https://twitter.com/swahilitimes/status/1691158828430118912?t=EuMmam_ESfauwcHmgGdBmA&s=19

My Take:
My Rais wavutie kamba zaidi Bado wapo Baadhi yao huko Twitter, Afrika inaenda kwa mijeredi bila hivyo mtu mweusi huwa haelewi, wananchi wako busy na kuchapa kazi hakuna mtu ataacha kazi eti ahangaike na hao wapuuzi.

Mjeredi upigwe wewe na baba ako mama ako na baasha zakk
 
Toka hadharani kamdhalilishe tena uone
Mbona amedharirishwa akili matope na hakuna kilichofanyika, unafikir wewe kuwadi la warabu na huyo mamako mnaweza kusumbua watu by the way hata kipindi cha wakolon makuwadi yalikuwepo yaliyofahamika kama vibaraka au mapuppets lakin pamoja na uwepo wa mapeppets wakolon waliondoka sembuse wewe nguruwe keyboard jubilant wa marabu.
 
Nilimlaani sana Magufuli kwa autocratic leadership yake ila kumbe alikuwa sahihi. Mtu mweusi bila mikwaju haendi. Hawezi ustaarabu.
makuwadi ya warabu jiandaen 2025 kumsindikiza mamayenu kibandamaiti na nyie mkimbilie burundi maana msipofanya hivyo mtakijua kisasi kilivyo.
 
😂😂😂😂😀😀 Hakuna Cha mgao, kwani saizi mnapata mgao wa Bandari?
makuwadi ya warabu mwambieni mamayenu arudishe hela ya hongo aliyopewa na hao warabu tofauti na hapo anajichosha tu kukamata watu na kesi za kipuuz na kijinga ambazo washangiliaji wake ni nguruwe wake pekee.
 
Bado yule Dr anayeidhalilisha Harvard Law School. Harvard haina sifa ya kutoa wajinga. Ina sifa ya kutoa watu wenye impact duniani. Wanakosoa kwa kutumia ueledi na ushawishi wa hali ya juu. Sielewi huyu dr wetu anakwama wapi.
Ushawishi na weledi unaupima wewe na nguruwe wenzio hapo lumumba na makuwadi ya warabu koko dpworld, nenda na wewe havard university kama unazo sifa na mkwanja wa kwenda huko, utabaki lumumba mpaka uzee wako wote.
 
Back
Top Bottom