Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kale kamama ka vijisenti vya mboga na kengine kanitwa Ananilea Nkya ,dawa Yao inachemka.Bado yule Dr anayeidhalilisha Harvard Law School. Harvard haina sifa ya kutoa wajinga. Ina sifa ya kutoa watu wenye impact duniani. Wanakosoa kwa kutumia ueledi na ushawishi wa hali ya juu. Sielewi huyu dr wetu anakwama wapi.
Mtoa Siri za serikali Kwa kutumia nafasi yake ya UbaloziWewe sheikh Twambie Slaa Kavuka wapi?
Andika vizuri,"utalala" ndo ujinga ganiBinafsi nimefurahi sana jinsi Rais Samia ameamua kuwanyoosha waliotaka Kumchezea na kumdhihaki Toka Mwanzo wa Utalala wake.
Mara kadhaa nilitoa maoni ya yangu kwamba Rais asikubali kuchezewa maana mtu mweusi hajui maana ya ustaarabu Huwa wanaenda Kwa mijeredi na bakora nadhani Sasa wameelewa.
Mara nyingi sana wakiambiwa wasitumie uhuru wao vibaya kumdhihaki Rais na kumtukana badala yake wajenge constructive criticism ila wakaona hakuna kitu..
My Take
My.Rais wavutie kamba zaidi Bado wapo Baadhi Yao huko Twitter,Africa inaenda Kwa mijeredi bila hivyo mtu mweusi Huwa haelewi,Wananchi wako busy na kuchapa kazi hakuna mtu ataacha kazi eti ahangaike na hao wapuuzi.
Wewe bado hujafikia uchawa wa akina Stroke kipara kipya mama D Kawe Alumni lakini hao wote saivi wameufyata. Hizi ni zama tu na zitapitaHuu ujinga peleka Ufipa huko ,eti umoja wa Mataifa 😆😆😆😆😆
Nilijua tu hili litakuja ktk sisi Watanzani.Issa Shivji kakosoa na kupinga Kwa adabu...hatakamatwa..
Mnyika kakosoa na kupinga Kwa adabu hatakamatwa..
Mbowe kakosoa na kupinga Kwa adabu hatakamatwa...
Padri Slaa na wenzie wanajua kabisa mistari waliyovuka....waacheni wapate wanachostahili
Wewe bado hujafikia uchawa wa akina Stroke kipara kipya mama D Kawe Alumni lakini hao wote saivi wameufyata. Hizi ni zama tu na zitapita
DP world imeleta kizaazaa 🤣🤣🤣pesa tam jmn!!!Binafsi nimefurahi sana jinsi Rais Samia ameamua kuwanyoosha waliotaka Kumchezea na kumdhihaki Toka Mwanzo wa Utalala wake.
Mara kadhaa nilitoa maoni ya yangu kwamba Rais asikubali kuchezewa maana mtu mweusi hajui maana ya ustaarabu Huwa wanaenda Kwa mijeredi na bakora nadhani Sasa wameelewa.
Mara nyingi sana wakiambiwa wasitumie uhuru wao vibaya kumdhihaki Rais na kumtukana badala yake wajenge constructive criticism ila wakaona hakuna kitu..
My Take
My.Rais wavutie kamba zaidi Bado wapo Baadhi Yao huko Twitter,Africa inaenda Kwa mijeredi bila hivyo mtu mweusi Huwa haelewi,Wananchi wako busy na kuchapa kazi hakuna mtu ataacha kazi eti ahangaike na hao wapuuzi.
Asingefanya hivyo wangezidi kumdhihaki na kuubeza utawala wake.Binafsi nimefurahi sana jinsi Rais Samia ameamua kuwanyoosha waliotaka Kumchezea na kumdhihaki Toka Mwanzo wa Utalala wake.
Mara kadhaa nilitoa maoni ya yangu kwamba Rais asikubali kuchezewa maana mtu mweusi hajui maana ya ustaarabu Huwa wanaenda Kwa mijeredi na bakora nadhani Sasa wameelewa.
Mara nyingi sana wakiambiwa wasitumie uhuru wao vibaya kumdhihaki Rais na kumtukana badala yake wajenge constructive criticism ila wakaona hakuna kitu..
My Take
My.Rais wavutie kamba zaidi Bado wapo Baadhi Yao huko Twitter,Africa inaenda Kwa mijeredi bila hivyo mtu mweusi Huwa haelewi,Wananchi wako busy na kuchapa kazi hakuna mtu ataacha kazi eti ahangaike na hao wapuuzi.
Hata mama mboga mboga na kardinal Pengo wamepinga kistaraab hawakuguswa.Issa Shivji kakosoa na kupinga Kwa adabu...hatakamatwa..
Mnyika kakosoa na kupinga Kwa adabu hatakamatwa..
Mbowe kakosoa na kupinga Kwa adabu hatakamatwa...
Padri Slaa na wenzie wanajua kabisa mistari waliyovuka....waacheni wapate wanachostahili
Chato twende lini?Kunywa Panadol na maji ya kutosha
Ndio Kwa nini upinge maendeleo?DP world imeleta kizaazaa 🤣🤣🤣pesa tam jmn!!!
Bahati nzuri Mimi sio chawa maana sinufaiki Kwa loloteWewe bado hujafikia uchawa wa akina Stroke kipara kipya mama D Kawe Alumni lakini hao wote saivi wameufyata. Hizi ni zama tu na zitapita
Kauza wap?leta ushahidi hapa,acheni kukaririshwa ujingaKuambiwa ukweli ndiyo kuchezewe?ni uongo kuwa anauza maliasili zetu?
Mbona Wengi tuu wanasema ukweli Kwa nini hao tuu? Kina Shivji,Butiku Hadi Mkuu wa Mkoa wa Moro umeona wamezinguliwa?Kuambiwa ukweli ndiyo kuchezewe?ni uongo kuwa anauza maliasili zetu?
Pumbav kbs! Nyie ndio wapotoshaji kbs hakuna mtanzania anaepinga maendeleo. Hoja zao zipo waz dhidi ya vifungu kweny mkataba!! Pepopunda wewe!!Ndio Kwa nini upinge maendeleo?
Chato twende lini?
Hujitambui.. Tatizo ni elimu yako ya madrasa na kukaririshwa. Huwezi changanua mambo. Sio kosa lako...!Binafsi nimefurahi sana jinsi Rais Samia ameamua kuwanyoosha waliotaka Kumchezea na kumdhihaki toka Mwanzo wa utawala wake.
Mara kadhaa nilitoa maoni ya yangu kwamba Rais asikubali kuchezewa maana mtu mweusi hajui maana ya ustaarabu Huwa wanaenda kwa mijeledi na bakora nadhani sasa wameelewa.
Mara nyingi sana wakiambiwa wasitumie uhuru wao vibaya kumdhihaki Rais na kumtukana badala yake wajenge constructive criticism ila wakaona hakuna kitu.
My Take:
My Rais wavutie kamba zaidi Bado wapo Baadhi yao huko Twitter, Afrika inaenda kwa mijeredi bila hivyo mtu mweusi huwa haelewi, wananchi wako busy na kuchapa kazi hakuna mtu ataacha kazi eti ahangaike na hao wapuuzi.