Waliotaka kumchezea Rais Samia kama Bibi yao wameufyata. Rais kamatia hapo hapo

Waliotaka kumchezea Rais Samia kama Bibi yao wameufyata. Rais kamatia hapo hapo

Bado yule Dr anayeidhalilisha Harvard Law School. Harvard haina sifa ya kutoa wajinga. Ina sifa ya kutoa watu wenye impact duniani. Wanakosoa kwa kutumia ueledi na ushawishi wa hali ya juu. Sielewi huyu dr wetu anakwama wapi.
Kale kamama ka vijisenti vya mboga na kengine kanitwa Ananilea Nkya ,dawa Yao inachemka.
 
Binafsi nimefurahi sana jinsi Rais Samia ameamua kuwanyoosha waliotaka Kumchezea na kumdhihaki Toka Mwanzo wa Utalala wake.

Mara kadhaa nilitoa maoni ya yangu kwamba Rais asikubali kuchezewa maana mtu mweusi hajui maana ya ustaarabu Huwa wanaenda Kwa mijeredi na bakora nadhani Sasa wameelewa.

Mara nyingi sana wakiambiwa wasitumie uhuru wao vibaya kumdhihaki Rais na kumtukana badala yake wajenge constructive criticism ila wakaona hakuna kitu..

My Take
My.Rais wavutie kamba zaidi Bado wapo Baadhi Yao huko Twitter,Africa inaenda Kwa mijeredi bila hivyo mtu mweusi Huwa haelewi,Wananchi wako busy na kuchapa kazi hakuna mtu ataacha kazi eti ahangaike na hao wapuuzi.
Andika vizuri,"utalala" ndo ujinga gani
 
Issa Shivji kakosoa na kupinga Kwa adabu...hatakamatwa..
Mnyika kakosoa na kupinga Kwa adabu hatakamatwa..
Mbowe kakosoa na kupinga Kwa adabu hatakamatwa...

Padri Slaa na wenzie wanajua kabisa mistari waliyovuka....waacheni wapate wanachostahili
Nilijua tu hili litakuja ktk sisi Watanzani.
 
Binafsi nimefurahi sana jinsi Rais Samia ameamua kuwanyoosha waliotaka Kumchezea na kumdhihaki Toka Mwanzo wa Utalala wake.

Mara kadhaa nilitoa maoni ya yangu kwamba Rais asikubali kuchezewa maana mtu mweusi hajui maana ya ustaarabu Huwa wanaenda Kwa mijeredi na bakora nadhani Sasa wameelewa.

Mara nyingi sana wakiambiwa wasitumie uhuru wao vibaya kumdhihaki Rais na kumtukana badala yake wajenge constructive criticism ila wakaona hakuna kitu..

My Take
My.Rais wavutie kamba zaidi Bado wapo Baadhi Yao huko Twitter,Africa inaenda Kwa mijeredi bila hivyo mtu mweusi Huwa haelewi,Wananchi wako busy na kuchapa kazi hakuna mtu ataacha kazi eti ahangaike na hao wapuuzi.
DP world imeleta kizaazaa 🤣🤣🤣pesa tam jmn!!!
 
Binafsi nimefurahi sana jinsi Rais Samia ameamua kuwanyoosha waliotaka Kumchezea na kumdhihaki Toka Mwanzo wa Utalala wake.

Mara kadhaa nilitoa maoni ya yangu kwamba Rais asikubali kuchezewa maana mtu mweusi hajui maana ya ustaarabu Huwa wanaenda Kwa mijeredi na bakora nadhani Sasa wameelewa.

Mara nyingi sana wakiambiwa wasitumie uhuru wao vibaya kumdhihaki Rais na kumtukana badala yake wajenge constructive criticism ila wakaona hakuna kitu..

My Take
My.Rais wavutie kamba zaidi Bado wapo Baadhi Yao huko Twitter,Africa inaenda Kwa mijeredi bila hivyo mtu mweusi Huwa haelewi,Wananchi wako busy na kuchapa kazi hakuna mtu ataacha kazi eti ahangaike na hao wapuuzi.
Asingefanya hivyo wangezidi kumdhihaki na kuubeza utawala wake.
Kuna sehemu ukichezewa lazima ushtuke.Usiposhtuka unakuwa wewe siye huyo.
 
Issa Shivji kakosoa na kupinga Kwa adabu...hatakamatwa..
Mnyika kakosoa na kupinga Kwa adabu hatakamatwa..
Mbowe kakosoa na kupinga Kwa adabu hatakamatwa...

Padri Slaa na wenzie wanajua kabisa mistari waliyovuka....waacheni wapate wanachostahili
Hata mama mboga mboga na kardinal Pengo wamepinga kistaraab hawakuguswa.

Hao waliofikiri kuwa sikio litazidi kichwa acha wale walichovuna.
 
Haiwezekani utoe hoja kwa kutukana na kudhihaki taasisi ya raisi ukaachwa,mfano ingekua mbow ndio raisi angekubali ukosoaji huu wa kihuni uliofanywa na padre na kundi lake?
 
Binafsi nimefurahi sana jinsi Rais Samia ameamua kuwanyoosha waliotaka Kumchezea na kumdhihaki toka Mwanzo wa utawala wake.

Mara kadhaa nilitoa maoni ya yangu kwamba Rais asikubali kuchezewa maana mtu mweusi hajui maana ya ustaarabu Huwa wanaenda kwa mijeledi na bakora nadhani sasa wameelewa.

Mara nyingi sana wakiambiwa wasitumie uhuru wao vibaya kumdhihaki Rais na kumtukana badala yake wajenge constructive criticism ila wakaona hakuna kitu.

My Take:
My Rais wavutie kamba zaidi Bado wapo Baadhi yao huko Twitter, Afrika inaenda kwa mijeredi bila hivyo mtu mweusi huwa haelewi, wananchi wako busy na kuchapa kazi hakuna mtu ataacha kazi eti ahangaike na hao wapuuzi.
Hujitambui.. Tatizo ni elimu yako ya madrasa na kukaririshwa. Huwezi changanua mambo. Sio kosa lako...!
 
Back
Top Bottom