Waliouza madafu kwenye futari ya Ikulu wahojiwa, mmoja ni mwanafunzi wa Chuo cha NIT. Ni wauza madafu kweli?

Waliouza madafu kwenye futari ya Ikulu wahojiwa, mmoja ni mwanafunzi wa Chuo cha NIT. Ni wauza madafu kweli?

Ni ngumu Sana, kuaminisha uma kua hao, Ni wauza madafu...
Tatizo lako hujielewi kuna muuza madafu namjua ana hadi gari na nyumba nzuri sana tu kigamboni la ukimkuta na baiskeli yake ya madafu huwezi amini.anaingiza laki tano kwa siku amejiwekea kwa siku auze madafu 500 ya elfu moja moja

Anao hao wauza madafu wenye baiskeli kumi kila moja anapewa madafu 50 na yeye 50 na baiskeli yake .kisha huwapa vituo vya kuuza City center wako watano na kariakoo watatu na kigamboni wawili kila dafu elfu moja jioni wanampa hesabu yake anawapa Chao.
Kwa mwezi anaingiza milioni 15 tax free

Kaa hapo hapo na ubwege wako ohhh muuza madafu hana lolote
Wewe na elimu yako unaingiza nini.lofa wewe mwenye pepo la umaskini
 
Watz, tunapoteza muda na vitu vya kijinga sana..vile vya msingii hatuna navyo muda.

Okay, let say ni usalama, so what?
Au sio usalama, so what??

Tuanze kudiscuss vitu vyenye tija jamni..

Pettu issues ndio zinapoteza muda sanaa,

Shida watu wameaminishwa Usalama ni kazi nzuri na yenye ufahari.

Kuna vitu vya kuzingumza ving sanaa
Aaah me nna watu usalama na ni stupid sana na wako corcle yangu ya ndani kabisa, anyways unataka tudiscuss nini ili hawa wakubwa wasikilixe kwa ukuu kabisa sababu the whole situation is fuwkedup, watu wafanyaje ili reflection yake ilete matokeo positive ?
 
Kama ni kweli Cha ajabu nini ? wengi waliomaliza JKT mbona hawana ajira hadi leo .ulitaka akae nyumbani bila kazi au shughuli ya kujipatia kipato? Mbona wako graduates wa vyuo vikuu kibao machinga na bodaboda na makonda wa mabasiya daladala na wapiga debe standi.za mabasi. .Ulitakaje labda wakiwa wanauza matunda au bodaboda au makonda au wapiga debe wawe wanajitambulisha kama graduates wa vyuo.vikuu au waliomaliza JKT au? Mjinga wewe.Riziki popote

Huna akili wewe .Kwa hiyo mtu akimaliza JKT mtu akae nyumbani kama hajapata kazi alale tu nyumbani kisa kamaliza JKT na ajira hamna?

Hivi wewe kichwani zimo mpuuzi wewe? Kwa hiyo kama ajira hamna ulitaka akae awe omba omba barabarani kama mlemavu asitafute shughuli yeyote ya kumwingizia kipato?
Mdau nani unagombana naye ? Je ni picha hiyo au huyu mdau wa jf?
 
Tatizo lako hujielewi kuna muuza madafu namjua ana hadi gari ina nyumba nzuri sana tu kigamboni la ukimkuta na baiskeli yake ya madafu huwezi amini.anaingiza laki tano kwa siku amejiwekea kwa siku auze madafu 500 ya elfu moja moja

Anao hao wauza madafu wenye baiskeli kumi kila moja anapewa madafu 50 na yeye 50 na baiskeli yake .kisha huwapa vituo vya kuuza City center wako watano na kariakoo watatu na kigamboni wawili kila dafu elfu moja jioni wanampa hesabu yake anawapa Chao.
Kwa mwezi anaingiza milioni 15 tax free

Kaa hapi hapo na ubwege wako ohhh muuza madafu hana lolote
Wewe na elimu yako unaingixa nini.lofa wewe mwenye pepo la umaskini
Hiyo minazi ya kutungua madafu 500 kila siku anaitoa wapi?
 
Hiyo minazi ya kutungua madafu 500 kila siku anaitoa wapi?
Hayatoki jijini unakula madafu na nazi unafikiri vinatoka Dar kwa wingi ? Dar kuna shamba large scale la minazi? Sikupi siri maana na mimi pia mdau wa hiyo biashara
Sababu biashara siri ingekuwa kitu cha wazi kila mtu angekuwa tajiri

Tuishie hapo pambana na hali yako
 
Sasa clouds walikuwa na makusudu gani na huyu jamaa yao au ni kuwaadaa watanganyika ni nani na walimtoa wapi huyu binadamu?

IMG_20240314_200642.jpg
 
Hili tukio lingetakiwa li-develop stories nyingi lakini watu wameng'ang'ania usalama usalama. Mambo yafuatayo yangetakiwa yafuatiliwe na wasndisi wetu
1. Issue ya ajira wakati wa masomo. Vijana wengine wanabweteka na kugombana na serikali kwenye suala la 'boom'. Samwel ameshatuonyesha kuwa tunaweza kuwa na side hussle while in college
2. Recruiting vendors wa ikulu
3. Usalama wa Mh. Rais
4. Performance ya huyo kijana shuleni na mahusiano na wanafunzi wenzake
5. Etc
Umeongea point sana sana.. rulitakiwa tuangazie hayo maeneo lkn wengi wetu tumeshikilia tu usalama usalama
 
Back
Top Bottom