Tatizo lako hujielewi kuna muuza madafu namjua ana hadi gari na nyumba nzuri sana tu kigamboni la ukimkuta na baiskeli yake ya madafu huwezi amini.anaingiza laki tano kwa siku amejiwekea kwa siku auze madafu 500 ya elfu moja mojaNi ngumu Sana, kuaminisha uma kua hao, Ni wauza madafu...
Anao hao wauza madafu wenye baiskeli kumi kila moja anapewa madafu 50 na yeye 50 na baiskeli yake .kisha huwapa vituo vya kuuza City center wako watano na kariakoo watatu na kigamboni wawili kila dafu elfu moja jioni wanampa hesabu yake anawapa Chao.
Kwa mwezi anaingiza milioni 15 tax free
Kaa hapo hapo na ubwege wako ohhh muuza madafu hana lolote
Wewe na elimu yako unaingiza nini.lofa wewe mwenye pepo la umaskini