Waliouza madafu kwenye futari ya Ikulu wahojiwa, mmoja ni mwanafunzi wa Chuo cha NIT. Ni wauza madafu kweli?

Waliouza madafu kwenye futari ya Ikulu wahojiwa, mmoja ni mwanafunzi wa Chuo cha NIT. Ni wauza madafu kweli?

Wabongo wengi wanapenda kujitekenya na kucheka wenyewe tu.

Hao watu wakiwa wanausalama, au wakiwa wauza madafu wa kawaida, hapo hamna habari.
Sioni cha kujadili kabisa hapo...
Hata humu wapo wa kutosha bado watahoji why wawepo?.
 
Kwa maisha ya sasa ya Kibongo Wauza Madafu ni among the top earners ukilinganisha na peasants wengine...

Kwahio Ukweli hayo ndio maisha yetu, tena bora muuza madafu anakula Profit yake huku pengine TRA unamlipa hata kabla haujaingiza hata senti; kama tungetaka uhalisia wa kada ya shughuli Bongo kwa sasa hapo wangeitwa Mission Town, Madalali, Vibaka na Jobless (Wapiga Mizinga) - Hio ndio TZ ya Sasa ya waagiza Magari ya Namba E
 
Sioni cha kujadili kabisa hapo...
Hata humu wapo wa kutosha bado watahoji why wawepo?.
Kwenye misiba ya Lowassa na Mwinyi nimegundua zaidi kwamba Watanzania wengi wanapenda siasa za uzushi na majungu.

Wanapenda sana siasa za maneno ya kuzusha ambayo hayana uthibitisho.

Wanapenda sana kufanya critiques dhidi ya uongozi, lakini hawana uwezo wa kufanya hivyo kwa hoja za kimantiki.

Mwishowe inakuwa wanaishia kwenye habari za kizushizushi, za kuunga unga.

Ndiyo utasikia uzushi kuwa Mwinyi aliacha wosia azikwe Mkuranga, lakini familia yake imemzika Zanzibar kisiasa, ukiuliza uthibitisho uko wapi, hakuna anayeweza kukupa.

Hizi habari ni muendelezo wa hizi habari za kuungaunga.

Yani Samia ana ma scandal kibao ya wazi wazi, rais wa nchi secular anawaasa wateule wake kwa somo la albadiri.

Wabongo wamekaa kimya tu, kama kitu cha kawaida.

Ila, picha ya wauza madafu inawatoa maneno kibao ya kuungaunga.

It is so sad.
 
Sioni shida wanavofanya
Shida ni kwa nini kwenye maigizo yao wanashindwa ku cover identity zao mpaka tukawatambua wanafanya makosa madogo madogo ambayo yanatoa hint kwa civilian
Kama walikosea waliotumwa wamuassassnate TL watakuwa hawa tena wameingia kitengoni hawana muda mrefu😃
Haya ndio mambo yanayodhihirisha ni kwa jinsi gani tumebebwa na maigizo na si uhalisia katika mambo mengi sana.
 
Juzi Rais alialika wasanii (chawa?) wakajumuike nae Ikulu kwa ajili ya kupata futari ya mwezi mtukufu wa Ramadhan ambao ndio ilikua chungu cha kwanza, jambo jema!

Baada ya hapo taharuki kuu imejitokeza baada ya picha ya Rais Samia akikatiza mbele ya wauza madafu wawili ambao walikua wamesimama kwa utii na upole(ukakamavu kiasi).


Swali la kujiuliza wauza madafu wale walikua na mapanga na mabisu yao kwenye viuno na mtenga kama wauza madafu wa mitaani kwetu?

Ikiwa waalikwa walipewa mualiko wa karamu ya chakula, wauza madafu walikua pale kwa ajili ya kumuuzia nani?!! Kwa mamia ya watu waliolikwa, tenga 2 za madafu zingewatosha wakina nani? Tutarajie siku nyingine wauza pweza, ngoka 11 nao kujumisha?

Mwezi mtukufu, kuna ulazima wa kuleta matukio ya kupika?

Ukiwaza kidogo nje ya box,ikiwa maigizo Hadi kwenye mambo ya mwezi mtukufu,je mambo mangapi muhimu na nyeti Watanzania wanafanyiwa hadaa na maigizo?

Imenikumbusha enzi za Magufuli kusambaziwa picha akiwa kijiweni anakunywa gahawa na walalahoi huku walalahoi hao wakiwa na fulana zenye nembo ya serikali ya Bibi na Bwana!

Wa OP usihangaike sana, kuna waliohitajika especially OP K baada ya kutoboa na mmoja wapo ndio huyo course mate wako. Hakuna raia wanaoweza kuwa karibu na rais hivyo achilia mbali hao wauza madafu wakiwa na visu au sime kwaajili ya kukata madafu. Najua unaelewa how security parameters set especially kwa no. 1
 
Kitu kikubwa kabisa ni kwamba hakuna ushahidi kwamba hao watu si wauza madafu.

Hayo mambo ya unadhani unadhani unaweza kudhani vyovyote unavyotaka kudhani, ukabaki unadhani tu. Kudhani si ushahidi, hapa unatakiwa ushahidi.

Wewe unaweza kudhani muuza madafu atavaa vizuri hivi, kumbe mwenzako hapo ndiyo anaona kavaa vizuri, nguo zake za kila siku zinaweza kuwa za viraka hapo ndiyo kajitahidi kabisa.

Mimi huwa naona hakuna sehemu ya kuvaa kwa heshima kama kwenye msiba, kumzika mtu.

Lakini wabongo wanavyovaa kwenye misiba huwa nashangaa.

Lakini, baada ya kushangaa, huwa najiuliza, hawa watu pengine hiyo ni kawaida kwao mtu kwenda kuzika na jezi ya basketball ya "Boston Celtics". Habari za suti nyeusi ni itifaki ambazo hata hawazielewi wala kuzifuatilia.

Sasa watu kama hao, unaweza kukuta wamechagua kati ya nguo zao nzuri kabisa za kwenda Ikulu wakakuta ni T- Shirt ya Converse.

Wabongo wa kawaida hawana standards wala protocol kwenye mavazi.

Utasemaje huyu si mbongo wa kawaida kwa sababu hana standard wala protocol kwenye mavazi? Hiyo ndiyo kawaida yao!

If anything, hao jamaa wangevaa suti kali au kanzu kali ndiyo ningesema hawa si wauza madafu wa kawaida.
Fafanua zaidi🙏😀
 
Ushahidi wa macho unatosha, maana hakuna case hapa,

Waliopanga move hizi duni, wafukuzwe KAZI haraka.
Ushahidi maana yake nini na ushahidi wa macho unaupata vipi na kuhakikisha ni ushahidi na si kasumba yako tu kuona unachotaka kuona?

Mtu akikusingizia wewe muuaji kwa ushahidi huo wa macho tu, uhukumiwe kunyongwa, wakati hujaua, utakubali kunyongwa kwa ushahidi huo wa macho?
 
Kama ni kweli Cha ajabu nini ? wengi waliomaliza JKT mbona hawana ajira hadi leo .ulitaka akae nyumbani bila kazi au shughuli ya kujipatia kipato? Mbona wako graduates wa vyuo vikuu kibao machinga na bodaboda na makonda wa mabasiya daladala na wapiga debe standi.za mabasi. .Ulitakaje labda wakiwa wanauza matunda au bodaboda au makonda au wapiga debe wawe wanajitambulisha kama graduates wa vyuo.vikuu au waliomaliza JKT au? Mjinga wewe.Riziki popote

Huna akili wewe .Kwa hiyo mtu akimaliza JKT mtu akae nyumbani kama hajapata kazi alale tu nyumbani kisa kamaliza JKT na ajira hamna?

Hivi wewe kichwani zimo mpuuzi wewe? Kwa hiyo kama ajira hamna ulitaka akae awe omba omba barabarani kama mlemavu asitafute shughuli yeyote ya kumwingizia kipato?
Sawa ni muuza madafu
 
Juzi Rais alialika wasanii (chawa?) wakajumuike nae Ikulu kwa ajili ya kupata futari ya mwezi mtukufu wa Ramadhan ambao ndio ilikua chungu cha kwanza, jambo jema!

Baada ya hapo taharuki kuu imejitokeza baada ya picha ya Rais Samia akikatiza mbele ya wauza madafu wawili ambao walikua wamesimama kwa utii na upole(ukakamavu kiasi).


Swali la kujiuliza wauza madafu wale walikua na mapanga na mabisu yao kwenye viuno na mtenga kama wauza madafu wa mitaani kwetu?

Ikiwa waalikwa walipewa mualiko wa karamu ya chakula, wauza madafu walikua pale kwa ajili ya kumuuzia nani?!! Kwa mamia ya watu waliolikwa, tenga 2 za madafu zingewatosha wakina nani? Tutarajie siku nyingine wauza pweza, ngoka 11 nao kujumisha?

Mwezi mtukufu, kuna ulazima wa kuleta matukio ya kupika?

Ukiwaza kidogo nje ya box,ikiwa maigizo Hadi kwenye mambo ya mwezi mtukufu,je mambo mangapi muhimu na nyeti Watanzania wanafanyiwa hadaa na maigizo?

Imenikumbusha enzi za Magufuli kusambaziwa picha akiwa kijiweni anakunywa gahawa na walalahoi huku walalahoi hao wakiwa na fulana zenye nembo ya serikali ya Bibi na Bwana!

Acha umbeaaaaaaq
 
Kwenye misiba ya Lowassa na Mwinyi nimegundua zaidi kwamba Watanzania wengi wanapenda siasa za uzushi na majungu.

Wanapenda sana siasa za maneno ya kuzusha ambayo hayana uthibitisho.

Wanapenda sana kufanya critiques dhidi ya uongozi, lakini hawana uwezo wa kufanya hivyo kwa hoja za kimantiki.

Mwishowe inakuwa wanaishia kwenye habari za kizushizushi, za kuunga unga.

Ndiyo utasikia uzushi kuwa Mwinyi aliacha wosia azikwe Mkuranga, lakini familia yake imemzika Zanzibar kisiasa, ukiuliza uthibitisho uko wapi, hakuna anayeweza kukupa.

Hizi habari ni muendelezo wa hizi habari za kuungaunga.

Yani Samia ana ma scandal kibao ya wazi wazi, rais wa nchi secular anawaasa wateule wake kwa somo la albadiri.

Wabongo wamekaa kimya tu, kama kitu cha kawaida.

Ila, picha ya wauza madafu inawatoa maneno kibao ya kuungaunga.

It is so sad.
Kutawala ktk nchi za bara hili la Afrika au Tanzania ni kazi rahisi sana hata kama Mtawala mwenyewe uwezo wake ni mdogo kwa sababu watu wengi sana upeo wao wa kufikiri ni mdogo Sana. Most of the people just have a very short-sighted mind.
 
Tatizo lako hujielewi kuna muuza madafu namjua ana hadi gari na nyumba nzuri sana tu kigamboni la ukimkuta na baiskeli yake ya madafu huwezi amini.anaingiza laki tano kwa siku amejiwekea kwa siku auze madafu 500 ya elfu moja moja

Anao hao wauza madafu wenye baiskeli kumi kila moja anapewa madafu 50 na yeye 50 na baiskeli yake .kisha huwapa vituo vya kuuza City center wako watano na kariakoo watatu na kigamboni wawili kila dafu elfu moja jioni wanampa hesabu yake anawapa Chao.
Kwa mwezi anaingiza milioni 15 tax free

Kaa hapo hapo na ubwege wako ohhh muuza madafu hana lolote
Wewe na elimu yako unaingiza nini.lofa wewe mwenye pepo la umaskini
Chai
 
Juzi Rais alialika wasanii (chawa?) wakajumuike nae Ikulu kwa ajili ya kupata futari ya mwezi mtukufu wa Ramadhan ambao ndio ilikua chungu cha kwanza, jambo jema!

Baada ya hapo taharuki kuu imejitokeza baada ya picha ya Rais Samia akikatiza mbele ya wauza madafu wawili ambao walikua wamesimama kwa utii na upole(ukakamavu kiasi).


Swali la kujiuliza wauza madafu wale walikua na mapanga na mabisu yao kwenye viuno na mtenga kama wauza madafu wa mitaani kwetu?

Ikiwa waalikwa walipewa mualiko wa karamu ya chakula, wauza madafu walikua pale kwa ajili ya kumuuzia nani?!! Kwa mamia ya watu waliolikwa, tenga 2 za madafu zingewatosha wakina nani? Tutarajie siku nyingine wauza pweza, ngoka 11 nao kujumisha?

Mwezi mtukufu, kuna ulazima wa kuleta matukio ya kupika?

Ukiwaza kidogo nje ya box,ikiwa maigizo Hadi kwenye mambo ya mwezi mtukufu,je mambo mangapi muhimu na nyeti Watanzania wanafanyiwa hadaa na maigizo?

Imenikumbusha enzi za Magufuli kusambaziwa picha akiwa kijiweni anakunywa gahawa na walalahoi huku walalahoi hao wakiwa na fulana zenye nembo ya serikali ya Bibi na Bwana!

Kuna wale wengine eti Wananchi wamemuuzia Mwendazake mahindi anakula mara wanakunywa kahawa mara sijui wamemuuzia jogoo na maigizo mengine ya kipumbavu wajinga kama hayo 😂😂😂😂

Wanyonge hapo walikuwa wanaona yule alikuwa Rais wa wanyonge anafanya mambo ya wanyonge 🤣🤣🤣🤣🤣

Ndio hayo ya madafu,Sasa jichanganye uone
 
Kwenye misiba ya Lowassa na Mwinyi nimegundua zaidi kwamba Watanzania wengi wanapenda siasa za uzushi na majungu.

Wanapenda sana siasa za maneno ya kuzusha ambayo hayana uthibitisho.

Wanapenda sana kufanya critiques dhidi ya uongozi, lakini hawana uwezo wa kufanya hivyo kwa hoja za kimantiki.

Mwishowe inakuwa wanaishia kwenye habari za kizushizushi, za kuunga unga.

Ndiyo utasikia uzushi kuwa Mwinyi aliacha wosia azikwe Mkuranga, lakini familia yake imemzika Zanzibar kisiasa, ukiuliza uthibitisho uko wapi, hakuna anayeweza kukupa.

Hizi habari ni muendelezo wa hizi habari za kuungaunga.

Yani Samia ana ma scandal kibao ya wazi wazi, rais wa nchi secular anawaasa wateule wake kwa somo la albadiri.

Wabongo wamekaa kimya tu, kama kitu cha kawaida.

Ila, picha ya wauza madafu inawatoa maneno kibao ya kuungaunga.

It is so sad.
Ndio unagundua Leo? 😁😁 Ongeza maigizo na upuuzi mwingine ila hawataki kabisa siasa za kutumia ukweli uhalisia akili au kuweka hoja zao kwenye masuala seriously.

Kinachompa Ugumu Samia kwenye siasa za Bongo ni hayo mambo,yey Kwa Asili sio wa hivyo,hata ungenwambia Mtanzania utamhakikishia mambo ya maana kwenye maisha yake ila kama hujaweka maigizo sijui kujifanya mchana Mungu na mazingaombwe mengine umeliwa.

Bashite anajua vizuri Sana hili ndio maana anawakamata.
 
Back
Top Bottom