Waliowahi kulala gesti za ajabu na kukutana na visa tukutane hapa

Waliowahi kulala gesti za ajabu na kukutana na visa tukutane hapa

Tatizo ni ile joto tukiwabana mnawah kukojoa [emoji23][emoji23]

Sent from my SM-T230NU using JamiiForums mobile app

acha tu yani ..na hapo unakuta mwingine kimaumbile tu joto lake la maeneo lipo juu plus na hayo mautundu yenu na bado natakiwa nisiwahi kukojoa ili nionelane kidume na kumrishisha

wanaume tumeumbwa mateeeeesooooo kuhangaika x2

nimejikuta naimba tu
 
Wakuu kuna gest moja niliwahi kulala maeneo flani hivi Duuuuu. Niliingia saa 8 mchana nikitoka safari yangu kwenda mkoa kucheki kibarua. Aiseee Mhudumu wa pale aliGONGWA NA WATU 7 Tofauti tofauti mzee duu nikachoka alafu akawa ananiuliza kwani unamtu utalala nae nije tulale wote !?? Nikamjibu ndio akawa anazunguka zunguka kaa Kishada kuandalia kama kunamtu naingiza. Asubuhi akawa ananilaani kweli eti wewe sio Mwanaume, unalalaje pekeyako na baridi wakati sie tupo! Kimoyomoyo nkanasonya nyoooooo kafilie mbali hukooo! Naomba kuwasilisha vituko vya magest

Duuuh huyo mdada ni hatari
 
Hahaha humu kuna visa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Aisee mm nilienda gest moja maeneo ya buguruni na mtoto flani hiv ila wakawaida

Daah kulikua na kunguni katika godoro hadi ikawa balaa

Nilikula mzigo kibishi bishi ila niliapa mm na gest za buguruni basi tena
Hii ya kunguni imenikuta mtwara juzi
 
Back
Top Bottom