Waliowahi kulala gesti za ajabu na kukutana na visa tukutane hapa

Waliowahi kulala gesti za ajabu na kukutana na visa tukutane hapa

yalikuta Msata Tanga nimeingia mida ya saa 2 hivi usiku nikamwendea bodaboda anipeleke gest yoyote ya karibu jamaa akatekeleza bahati zuri vyumba vipo. sijachelewa fasta nikalipia ishu ndani sasa, ile naingia tu chumbani nkachek kitanda hammmmadi weee yaaaala aisee kitanda ni cha zege yaani wamejenga kama kaburi esp yaale makauri ya Waislam ya kuacha space katikati then juu wameweka godoro la wanafunzi 3/6. nikasema silali juu ya kaburi never. hatimaye nikalala chini yaani pembeni na kaburi. sikupata usingizi abadani. duu Tanga noma
Kwahiyo ukaona ni afadhali kulala pembeni ya kaburi ukiwa kuliko juu ya kaburi? [emoji23] [emoji23]
 
yalikuta Msata Tanga nimeingia mida ya saa 2 hivi usiku nikamwendea bodaboda anipeleke gest yoyote ya karibu jamaa akatekeleza bahati zuri vyumba vipo. sijachelewa fasta nikalipia ishu ndani sasa, ile naingia tu chumbani nkachek kitanda hammmmadi weee yaaaala aisee kitanda ni cha zege yaani wamejenga kama kaburi esp yaale makauri ya Waislam ya kuacha space katikati then juu wameweka godoro la wanafunzi 3/6. nikasema silali juu ya kaburi never. hatimaye nikalala chini yaani pembeni na kaburi. sikupata usingizi abadani. duu Tanga noma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi pale bugurun baada ya kulipia chumba mhudumu wa guest akaja kuniuliza kama nahitaji huduma ya mauno, nikajivuga nikamwambia aniletee Dada mdogo mdogo asiwe jimama likaniteka usiku dah dakika tano nyingi mlango ukagongwa akaingia na kadada kadogooo kananyonyesha mtoto miezi saba mpaka tisa hivi nikauliza ndo huyu? wakaitikia ndio. Sikumbuki niliwajibu nini ila niliona wanafungua mlango na kuondoka.
Ahaaaa na mtoto?
 
ilikuwa siku moja kabla ya kurudi bongo baada ya wiki nzima ya mishemishe bangkok sasa nikasema lazima nile malaya wa kithailand... kuna red light street moja ipo kama unatoka bangkok nikazama mzee mida kama saa nne usiku nikala bia za kutosha sasa nikicheki hizi malaya kibao wakikuona mgeni wanakumendea

kuna moja hilo lilikuwa lina bonge chura na Boobs za kubust zile nikasema yeeees ndio mambo yangu haya

nikamwita kwa ishara ya mkono akaja baada ya kuongea naye bei akasema kama sina thailand Bhaht 1300 basi nimpe USD 40 usiku mzima nikasema haina mbaya ilimradi fantasy yangu itimie

room akasema palepale pub kuna rooms nzuri tu hapo kashaniruhusu nimpapase kifua ila mkono hataki kabisa nipeleke kunako papuchi

basi hao tukaingia room piga romance sana sasa akaanza zile za kizungu.. akanisukuma kitandani alafu akasimama mbele yangu anavua nguo mambo kote yalienda fresh

akabaki na chupi akaniuliza nakumbuka hadi maneno "how would u like it? i take it first or u will take it first or am all yours?" bado nang'aa sharubu nashangaa

akatoa chupi mungu wanguuuu demu ana dudu bhna yani hapo ndio nikakumbuka kuwa bangkok kumejaa wale SHEMALES huku bado nikiwa katika taharuki

akaanza kunambia dont be dissapoited bby there is always a first time in everything

nakumbuka nilimpa hela yake na kutoka mbio pombe zote zimeniisha.. nikamsimulia mwenyeji wangu akanicheka sana.. akasema wenyewe kule wanawaita kayote
*****.. angekula tigo hyo mkuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28]mkuu Ahsante, ila imenibidi nicheke kwa sauti nikikumbuka lile jinamizi daaah hapanaa
Usijali mapito tuu hayo mie napendaga sana kujifunza. Natamani niende huko Siku moja mkuu
 
Tuendelee na mada mkuu Niilingiaga lodge na demu wa udsm kumbe anapumu katikati ya gemu ikamtokea akazirai nikampigia rafiki yake ikabidi nigharamike initoke 100,000 matibabu plus usafiri
Eeh shekh uanaume Mateso. Unafikiri ungekuwa wewe ndio umefaint au imekushika pumu Dem angegharamikia yote hayo! Nakusepa angeona nini , fastaaaa angekula kona. Ila ulikuwa muungwana . Mungu akujalie upate 9 wenye scenario kama hizo. Soo andaa 900,000/= bro. Ahahha just jocking. Ubarikiwe kwa utu wako
 
Kuna gesti moja nililala siku moja nikiwa safarini nilikesha macho baada ya jamaa mmoja aliyekuwa chumba cha pili karibu na mimi alikesha anato.mba demu yaani makelele ya demu na sauti ya mlio wa kitanda usiku kucha jamaa yuko kifuani kwa demu.!
Halafu mbaya zaidi asubuhi namuona jamaa akitoka chumbani ni jitu la miraba minne lakini demu ni kabinti kadogo kafupi kama kanafunzi hivi nilichoka.!
Hela haipatikani kirahisi . full kusuguliwa
 
***** hiyo naijua niliwahi kulipa pesa ya kulala ila nikaishia saa 5 tu nikasepa
Feyzal mie pia ikabidi nitoke nitafute boda boda akanipeleka Kongowe aisee. Kuuunguni balaaa, afu kelele noma, wenye mipombe, wenye mahaba yao vyumbani, wenye kupigana makofi ya vurugu, wenye kupigana makofi ya sambusa ya papuchi yaani Ta Ta Tah Tah Tah, basii purikushani tuu. Alafu muonekano kwa nje iko Poa kweli.... Nyambaf
 
Kuna gesti zingine uswazi mikosi tupu.!
Ukute kunguni halafu mashuka yananuka shahawa na yana madoa doa sehemu ya kichwa na katikati.
Uvunguni kumejaa kondom zilizotumika siku nyingi halafu kuna mapanya mbaya zaidi kitanda kina kelele upande wa dirishani ni nyumba wanaishi familia ya kiswahili kuna muda mzee anapiga chabo.
Mie hao wapiga chabo ndo nawapenda nikijua yupo tuu ndo napiga kama watu wanaopiga makofi vile TAH, TAH , TAH, alafu namwambia kwanguvu dem UMEONAAA EEHN WANAUME TUNAVYOFANYAGAAA ENH. Watatoka tuu kwenye chabo
 
Kiufupi tu, kama sio mshenzy usithubutu kung'oa malaya. Utajuta
Ukuwi amekujibu Veget . nadhani nitashindwa kuandika yote hapa, isitoshe naona Uzi huu wadada wametuachia mens tuu hawachangii.
tapatalk_1532878028907.jpeg
 
Mkuu kwamba alikuwa ana bwawa au
Nashindwa kuelezea bab TCRA c wapo ningekuonesha mfano wake ungepata angalau picha. Ila unajua kitu kama jani LA mpapai alafu ulichukue lile alafu ulichapechape kwenye jiwe bila kukatika ile hali itakayobakiwa nalo ndo hivyo mfano wake KiTAFSIDA. Asante
 
Back
Top Bottom