feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 7,683
- 15,128
Mimi sikwenda mwenyewe nilikua natoka zangu mishe sasa kuna dada mmoja hivi alinizidi miaka 5+ ila ilikuwa sikuwahi kula siku hiyo ndo akawa anataka gemu sasa nikamtumia buku 20 achukue room kabisa khaa si kaleta ubahili akaenda pale kuchukua room ya elfu 10 ***** tulipata hasara ikabidi atoe na ile 10 iliyobakia nikaongeza na nyingine tukaenda sehemu nyingine...ukiona kwa nje iko poa ila ndani tanda la zege tv haifanyi kazi yaan kupo rafu vurugu tupu afu nje ndo bar jau jau *****Feyzal mie pia ikabidi nitoke nitafute boda boda akanipeleka Kongowe aisee. Kuuunguni balaaa, afu kelele noma, wenye mipombe, wenye mahaba yao vyumbani, wenye kupigana makofi ya vurugu, wenye kupigana makofi ya sambusa ya papuchi yaani Ta Ta Tah Tah Tah, basii purikushani tuu. Alafu muonekano kwa nje iko Poa kweli.... Nyambaf